Kwahiyo basi kumbe washawajua mpaka kufika sehemu wanasema ni wanachama yawezekana wana uhakika tayari wa kwanza majina ya wanachama hao na pili namba za kadi za uanachama za watu hao ili kuonesha kweli ni wanachama ...kwahiyo watutajie majina na namba zao alafu polisi wanatakiwa kuandika wanachama badala ya kuandika kama chama kizima kumbe watu wenyewe ni wahuni wachache tu
Lema ni mbunge M.pu,mbavu,
SAMAHANI SANA KWA KUSEMA KAULI HII,JE NA WALE WALIOMCHAGUA KWA MARA KWANZA TUNAWEZA KUSEMA KWAMBA SIO KOSA LAO HAWAKUJUA KUWA LEMA NI BALAA KWAO,JE WAKIMCHAGUA KWA MARA NYINGINE TUTAKOSEA NA HAO TUKIWAITA WA.PUMBA.VU??
Tatizo la chadema, wanajipiga hadi mabomu wenyewe
Sawa kumbe unazungumzia TISS!! akina ighondu na jack zoka!! hao ndio polisi siyo!. Ndiyo wapo TISS waaminifu kwa usalama wa nchi na ustawi wanaripoti kwa Dr lakini akina IGHONDU wameanza kuwapiga risasi subiri utayajua ukombozi ukija 2015Ndugu yangu leo wamekuwa hawafai..,wakati katibu mkuu wenu alikuwa kila kukicha anasema kuwa robo tatu ya usalama wa Taifa wanaripoti kwake.,au kuna new recruitment ambayo haimtambui dokta..?
Tatizo la chadema, wanajipiga hadi mabomu wenyewe
polisi mkoani arusha imekamilisha uchunguzi wake kuhusiana na kuungua kwa ofisi za chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) na kusema wanachama wa chama hicho ndio waliohusika.
Hata hivyo, mbunge wa arusha mjini (chadema) godbless lema amepinga kauli hiyo na kulipa jeshi hilo siku nne kuwakamata na kuwahoji watuhumiwa watano baada ya kulipatia majina hayo akidai kuwa ndio wanaohusika na uchomaji moto ofisi za chama hicho.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, kaimu kamanda wa polisi mkoani arusha japhet lusinga alisema;
".. Katika uchunguzi wetu tumebaini kuwa hakuna mahali palipovunjwa kutoka nje ya uzio na kuruhusu watu kuingia ndani...tumegundua kuna tundu dogo darini eneo la kuelekea bafuni la upana wa futi moja na nusu kiasi haliwezi kuruhusu mtu kupita.
Tumejiridhisha kuwa hakuna mtu anayeweza kupita hapo na ndani tulikuta majibu na baadhi ya vitu vilivyoungua na vifaa vingine.."
source:
Mwananchi, alhamis, desemba 5, 2013 (front page)
my take:
Polisi watuambie ripoti ya uchunguzi wa mlipuko wa bomu imefikia wapi.,maana kama hali iko hivi nina mashaka kuwa hata mlipuko wa bomu inawezekana waliutengeneza wenyewe kama zilivyo hisia za wengi katika watu wenye kuwaza sawasawa.
Nikweli Mkuu Wateleban wapo vizuri ndio maana yule Rais wao Chongo hakukimbia wamarekani walivyowavamia
khaaa wewe sharmuta bado upo
Polisi mkoani Arusha imekamilisha uchunguzi wake kuhusiana na kuungua kwa ofisi za Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kusema wanachama wa Chama hicho ndio waliohusika.
hata hivyo, Mbunge wa Arusha Mjini (chadema) Godbless Lema amepinga kauli hiyo na kulipa jeshi hilo siku nne kuwakamata na kuwahoji watuhumiwa watano baada ya kulipatia majina hayo akidai kuwa ndio wanaohusika na uchomaji moto ofisi za chama hicho.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Arusha Japhet Lusinga alisema;
".. katika uchunguzi wetu tumebaini kuwa hakuna mahali palipovunjwa kutoka nje ya uzio na kuruhusu watu kuingia ndani...tumegundua kuna tundu dogo darini eneo la kuelekea bafuni la upana wa futi moja na nusu kiasi haliwezi kuruhusu mtu kupita.
Tumejiridhisha kuwa hakuna mtu anayeweza kupita hapo na ndani tulikuta majibu na baadhi ya vitu vilivyoungua na vifaa vingine.."
SOURCE:
Mwananchi, alhamis, desemba 5, 2013 (FRONT PAGE)
MY TAKE:
Polisi watuambie ripoti ya uchunguzi wa mlipuko wa bomu imefikia wapi.,maana kama hali iko hivi nina mashaka kuwa hata mlipuko wa bomu inawezekana waliutengeneza wenyewe kama zilivyo hisia za wengi katika watu wenye kuwaza sawasawa.
Tatizo la chadema, wanajipiga hadi mabomu wenyewe
Ndo yale yale ya kujiteka na kumwagia Said Kubenea tindikali na kuisingizia serikali ili chama kipate huruma ya wananchi. JAMANI SASA HIVI WANANCHI HAWADANGANYIKI. Jaribuni kubadili mbinu.
Tulijua tu kuwa CHADEMA watatumia fursa ya kutoelewana kwao kufanya mambo kwa lengo la kumjenga Lema kisiasa kama kawaida yake kupitia matukio ya kulipua mabomu na kuchoma moto
Kabisa mkuu. Chdema wana mbinu za kzamani zilizokataliwa pahala pengine
Mkuu, chadema hawana tofauti na Wataleban
Nilisema tangu mwanzo, niwanachama wenyewe wa CDM ndio walio husika na uchomaji huo wakiongozwa na Mzee wa kitofali.
Mkuu, unatoka na mapovu bure. Polisi wamekamilisha kazi yao na ukweli ndo huo. Kama hamkubaliani na ripoti hiyo, ni vema mkawaita wachunguzi binafsi kufanya kazi hiyo. Hata FBI mnaweza kuwaita
Sana tu Mkuu. Swali la kujiuliza, kwa nini iwe Arusha tuuuuuu?
Lema anatoa amri kwa polisi kama nani IGP au Waziri, kila siku nasema uwezo wa Lema ni mdogo mno katika masuala ya utawala.
Hivi wazee hili suala la LEMA kupiga kibiriti ofisi ya CHADEMA mkoani Arusha, nyie mnalitazamaje?
Ilo bichwa ulililo nalo jaribu kulitendea haki japo kidogo.Mahala gani ktk jamhuri hii ambapo CDM wamejenga nyumba? (achana na office) unashangaa CDM kupiga moto office yake? Kwanini usianze kushangaa walipo jilipua kwa bomu hapohapo Arusha.
Ile ilikuwa ni porojo tu! Kama kawaida ya Mbowe, hamaanishi anachokitamka, Pale NMC aliwahi kusema kuwa hataki gari la KUB kwa sababu ana magari mazuri kuliko lile, Lakini mpaka kesho analitumia.
Sasa kama hakuna polisi nchini, hao CHADEMA wa Arusha wanasumbua nini kupeleka stori zisizo na mbele wala nyuma ati watu wachunguzwe!Miye nilishaandika hapa kuwa Tz hakuna polisi watu wanabisha!!Tufanye mazoezi tujilinde wenyewe haya yamezama kwenye tope la magamba na UFISI WOTE wanao haya ni majambazi yaliyovaa uniform na kulipwa kwa kodi zetu!! Polisi polisi wako wapi!! damn it!!
Tulijua tu kuwa CHADEMA watatumia fursa ya kutoelewana kwao kufanya mambo kwa lengo la kumjenga Lema kisiasa kama kawaida yake kupitia matukio ya kulipua mabomu na kuchoma moto
acha kujitoa ufahamu. maadui huweza kutumia ugomvi wenu kutimiza adhima yao. CDM ni taasisi, wawakate watu waliohusika. mbona kuna mambo makubwa yametokea kwa CDM lkn policeccm imeyaweka makalion. hapa wanamsaidia zzk aonekane anakubalika saana na wanacdm wamekasirishwa na maamuzi ya kamati kuu ya cdm juu ya zzzk et al.
"ng'ombe akivunjika mguu malishoni hujikongoja zizini asaidiwe." Naipenda POLISINYINYIEMU.....!