Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha juu ya CHADEMA

Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha juu ya CHADEMA

Kwahiyo basi kumbe washawajua mpaka kufika sehemu wanasema ni wanachama yawezekana wana uhakika tayari wa kwanza majina ya wanachama hao na pili namba za kadi za uanachama za watu hao ili kuonesha kweli ni wanachama ...kwahiyo watutajie majina na namba zao alafu polisi wanatakiwa kuandika wanachama badala ya kuandika kama chama kizima kumbe watu wenyewe ni wahuni wachache tu
 
Kwahiyo basi kumbe washawajua mpaka kufika sehemu wanasema ni wanachama yawezekana wana uhakika tayari wa kwanza majina ya wanachama hao na pili namba za kadi za uanachama za watu hao ili kuonesha kweli ni wanachama ...kwahiyo watutajie majina na namba zao alafu polisi wanatakiwa kuandika wanachama badala ya kuandika kama chama kizima kumbe watu wenyewe ni wahuni wachache tu

Si tu wanachama wenye kadi lakini pia ni waajiriwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) majina yao ni Kitumbizwi Bahati mwenye miaka (42) na Mwingine ni Jenifer Mwasha mwenye miaka (25) ambae ni katibu muhtasi.
 
Eee vijana wa bavicha wakikamatwa wameonewa na utasikia "hao waliochoma moto ni ni CCM"LOL:banghead:
 
Lema ni mbunge M.pu,mbavu,

SAMAHANI SANA KWA KUSEMA KAULI HII,JE NA WALE WALIOMCHAGUA KWA MARA KWANZA TUNAWEZA KUSEMA KWAMBA SIO KOSA LAO HAWAKUJUA KUWA LEMA NI BALAA KWAO,JE WAKIMCHAGUA KWA MARA NYINGINE TUTAKOSEA NA HAO TUKIWAITA WA.PUMBA.VU??

Huyo ndo nyundo ya ccm, unataka wamchague nani?
 
Ndugu yangu leo wamekuwa hawafai..,wakati katibu mkuu wenu alikuwa kila kukicha anasema kuwa robo tatu ya usalama wa Taifa wanaripoti kwake.,au kuna new recruitment ambayo haimtambui dokta..?
Sawa kumbe unazungumzia TISS!! akina ighondu na jack zoka!! hao ndio polisi siyo!. Ndiyo wapo TISS waaminifu kwa usalama wa nchi na ustawi wanaripoti kwa Dr lakini akina IGHONDU wameanza kuwapiga risasi subiri utayajua ukombozi ukija 2015
 
polisi mkoani arusha imekamilisha uchunguzi wake kuhusiana na kuungua kwa ofisi za chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) na kusema wanachama wa chama hicho ndio waliohusika.

Hata hivyo, mbunge wa arusha mjini (chadema) godbless lema amepinga kauli hiyo na kulipa jeshi hilo siku nne kuwakamata na kuwahoji watuhumiwa watano baada ya kulipatia majina hayo akidai kuwa ndio wanaohusika na uchomaji moto ofisi za chama hicho.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, kaimu kamanda wa polisi mkoani arusha japhet lusinga alisema;

".. Katika uchunguzi wetu tumebaini kuwa hakuna mahali palipovunjwa kutoka nje ya uzio na kuruhusu watu kuingia ndani...tumegundua kuna tundu dogo darini eneo la kuelekea bafuni la upana wa futi moja na nusu kiasi haliwezi kuruhusu mtu kupita.
Tumejiridhisha kuwa hakuna mtu anayeweza kupita hapo na ndani tulikuta majibu na baadhi ya vitu vilivyoungua na vifaa vingine.."

source:

Mwananchi, alhamis, desemba 5, 2013 (front page)



my take:

Polisi watuambie ripoti ya uchunguzi wa mlipuko wa bomu imefikia wapi.,maana kama hali iko hivi nina mashaka kuwa hata mlipuko wa bomu inawezekana waliutengeneza wenyewe kama zilivyo hisia za wengi katika watu wenye kuwaza sawasawa.

mtu yeyote akisima report ya polisi kwa makini atagundua kuwa ni chadema wenyewe ndio wamechoma ofisi yao.

Hata kama awajui ukweli wanatakiwa kujua mchawi yuko katikati yao.

Hivi inawezekana vipi maali palipo ungua alaf kukutwe vifaa havijaungua na vikaonekana vimewekwa?

Chadema wanatakiwa kujua dunia hii siyo ya mwaka 47:
 
Polisi mkoani Arusha imekamilisha uchunguzi wake kuhusiana na kuungua kwa ofisi za Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kusema wanachama wa Chama hicho ndio waliohusika.

hata hivyo, Mbunge wa Arusha Mjini (chadema) Godbless Lema amepinga kauli hiyo na kulipa jeshi hilo siku nne kuwakamata na kuwahoji watuhumiwa watano baada ya kulipatia majina hayo akidai kuwa ndio wanaohusika na uchomaji moto ofisi za chama hicho.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Arusha Japhet Lusinga alisema;

".. katika uchunguzi wetu tumebaini kuwa hakuna mahali palipovunjwa kutoka nje ya uzio na kuruhusu watu kuingia ndani...tumegundua kuna tundu dogo darini eneo la kuelekea bafuni la upana wa futi moja na nusu kiasi haliwezi kuruhusu mtu kupita.
Tumejiridhisha kuwa hakuna mtu anayeweza kupita hapo na ndani tulikuta majibu na baadhi ya vitu vilivyoungua na vifaa vingine.."

SOURCE:

Mwananchi, alhamis, desemba 5, 2013 (FRONT PAGE)



MY TAKE:

Polisi watuambie ripoti ya uchunguzi wa mlipuko wa bomu imefikia wapi.,maana kama hali iko hivi nina mashaka kuwa hata mlipuko wa bomu inawezekana waliutengeneza wenyewe kama zilivyo hisia za wengi katika watu wenye kuwaza sawasawa.

Kazi ya polisi si kutafuta ni wanachama Wa chama gani waliohusika kuchoma ofisi. Wakamate hao wahalifu waliohusika na kuwafikisha Mahakamani!
 
Tatizo la chadema, wanajipiga hadi mabomu wenyewe

Ndo yale yale ya kujiteka na kumwagia Said Kubenea tindikali na kuisingizia serikali ili chama kipate huruma ya wananchi. JAMANI SASA HIVI WANANCHI HAWADANGANYIKI. Jaribuni kubadili mbinu.

Tulijua tu kuwa CHADEMA watatumia fursa ya kutoelewana kwao kufanya mambo kwa lengo la kumjenga Lema kisiasa kama kawaida yake kupitia matukio ya kulipua mabomu na kuchoma moto

Kabisa mkuu. Chdema wana mbinu za kzamani zilizokataliwa pahala pengine

Mkuu, chadema hawana tofauti na Wataleban

Nilisema tangu mwanzo, niwanachama wenyewe wa CDM ndio walio husika na uchomaji huo wakiongozwa na Mzee wa kitofali.

Mkuu, unatoka na mapovu bure. Polisi wamekamilisha kazi yao na ukweli ndo huo. Kama hamkubaliani na ripoti hiyo, ni vema mkawaita wachunguzi binafsi kufanya kazi hiyo. Hata FBI mnaweza kuwaita

Sana tu Mkuu. Swali la kujiuliza, kwa nini iwe Arusha tuuuuuu?

Lema anatoa amri kwa polisi kama nani IGP au Waziri, kila siku nasema uwezo wa Lema ni mdogo mno katika masuala ya utawala.

Hivi wazee hili suala la LEMA kupiga kibiriti ofisi ya CHADEMA mkoani Arusha, nyie mnalitazamaje?

Ilo bichwa ulililo nalo jaribu kulitendea haki japo kidogo.Mahala gani ktk jamhuri hii ambapo CDM wamejenga nyumba? (achana na office) unashangaa CDM kupiga moto office yake? Kwanini usianze kushangaa walipo jilipua kwa bomu hapohapo Arusha.

Ile ilikuwa ni porojo tu! Kama kawaida ya Mbowe, hamaanishi anachokitamka, Pale NMC aliwahi kusema kuwa hataki gari la KUB kwa sababu ana magari mazuri kuliko lile, Lakini mpaka kesho analitumia.

Naona mmejazana ujinga hadi mnaacha akili zenu nyuma, Katika hili tukio la Mbinga mnaweza kueleza ni nani alichoma hiyo ofisi? na ni hatua gani zilichukuliwa hadi sasa?

[h=1]Taswira:Ofisi ya CCM Mbinga yachomwa Moto.[/h]

Written by haki | // 0 comments

213.jpg

Katibu wa chama cha Mapinduzi wilaya ya Mbinga Anastasia Amasi akionyesha sehemu iliyoanzia moto kuwaka na kukamata pazia.
58.jpg

Katibu wa chama cha Mapinduzi wilaya ya Mbinga Anastasia Amasi anayeonekana katika picha akitoa maelezo kwa nje ambapo walimwaga mafuta aina ya petroli dirishani na kuwasha moto.
411.jpg

Kama unavyoona katika picha hapo ni ndani ya ofisi baada ya moto kuwaka.
66.jpg

Huu ni mlango uliomwagiwa mafuta katika upenyo kisha kuwashamoto ambao haukuleta madhara kama walivyo kusudiwa na wachomaji.
116.jpg

Katibu wa chama cha Mapinduzi wilaya ya Mbinga Anastasia Amasi akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake ambao hawapo pichani.
--
Watu wasiojulikana wamechoma moto jengo la ofisi ya Chama cha Mapinduzi wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma tukio lililotokea Juni 21 mwaka huu majira ya usiku pamoja mlinzi wa ofisi hizo kuwepo katika eneo hilo la ofisi mpaka majira ya saa 12 asubhi na hakuweza kutambua kutokea kwa kitendo hicho kilichofanywa na watu wasiojulikana usiku huo.


Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo katibu wa chama cha Mapinduzi wilaya ya Mbinga Anastasia Amasi amesema kuwa tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia Juni 21 mwaka huu ambapo watu wasiojulikana walichoma moto moja ya jengo la ofisi za chama hicho wilayani humo moto ambao ulielekelezwa katika chumba cha ofisi ya katibu ambapo walivunja vioo na kuchoma moto mapazia lakini kabla hawajachoma vitu vilivyokuwemo ndani walikimbia na kuacha dumu lililokutwa likiwa na mafuta aina ya petroli.


Alisema kuwa mpaka sasa hakuna hisia zozote zinazohusiana na tukio hilo ingawa uongozi wa chama cha mapinduzi wilayani humo umeshatoa taarifa kwenye vyombo ya ulinzi na usalama ambavyo vinaendelea na uchunguzi wa tukio hilo.


Katika hatua nyingine hali ya sintofahamu imejitokeza katika uchaguzi wa viongozi wa halmashauri ya wilaya ya Mbinga baada ya halmashauri hiyo kugawanywa na kuzaliwa kwa halmashauri mpya ya wilaya Nyasa kwa kuibuka kwa vitendo vya hujuma vinavyodaiwa kufanywa dhidi ya mgombea mmoja wa nafasi ya mwenyekiti jina lake kuenguliwa katika mazingira ya kutatanisha na kuzua maswali mengi miongoni mwa madiwani wa halmashauri pamoja na wananchi na kutaka uchaguzi huo usifanyike mpaka majina yote matatu ya wagombea yawepo.


Mmoja wa wananchi wa halmashauri hiyo ya wilaya ya Mbinga ambaye pia ni katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi wa kata ya Mbinga mjini Monika John alisema kuwa hizo ni dalili za kuwepo kwa njama za wazi za kupanga safu ya uongozi ambao siyo chaguo la walio wengi bali ni chaguo la baadhi ya viongozi wa halmashauri hiyo kwa masilahi yao.


Akizungumzia hali hiyo katibu wa chama cha mapinduzi wilaya ya Mbinga alisema kuwa uteuzi wa wagombea wa nafasi hizo hufanywa kwa kuzingatia kanuni za chama na wenye jukumu la mwisho la uteuzi ni uongozi wa chama ngazi ya mkoa na yeye si msemaji wa maamuzi ya ngazi mkoa ingawa amepokea tarifa ya kusitishwa kwa uchaguzi huo mpaka taarifa nyingine itakapotolewa na ofisi ya chama ngazi ya mkoa.


Picha na Habari kwa hisani ya demashonews


Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook








 
Tukiangalia kwa umakini picha ya mwisho (3) inaonyesha Tundu lililotumika na waharifu je tujiulize ni kweli mtu hawezi kupita katika hilo tundu kama polisi wanavyosema?

Ofisi ya chadema mkoa wa Arusha imechomwa moto hivi sasa juhudi za kuuzima zinaendelea...


Angalia hapa picha za tukio hilo..





 
Miye nilishaandika hapa kuwa Tz hakuna polisi watu wanabisha!!Tufanye mazoezi tujilinde wenyewe haya yamezama kwenye tope la magamba na UFISI WOTE wanao haya ni majambazi yaliyovaa uniform na kulipwa kwa kodi zetu!! Polisi polisi wako wapi!! damn it!!
Sasa kama hakuna polisi nchini, hao CHADEMA wa Arusha wanasumbua nini kupeleka stori zisizo na mbele wala nyuma ati watu wachunguzwe!
Watumie hiyo F4F power!
 
Tulijua tu kuwa CHADEMA watatumia fursa ya kutoelewana kwao kufanya mambo kwa lengo la kumjenga Lema kisiasa kama kawaida yake kupitia matukio ya kulipua mabomu na kuchoma moto

acha kujitoa ufahamu. maadui huweza kutumia ugomvi wenu kutimiza adhima yao. CDM ni taasisi, wawakate watu waliohusika. mbona kuna mambo makubwa yametokea kwa CDM lkn policeccm imeyaweka makalion. hapa wanamsaidia zzk aonekane anakubalika saana na wanacdm wamekasirishwa na maamuzi ya kamati kuu ya cdm juu ya zzzk et al.

"ng'ombe akivunjika mguu malishoni hujikongoja zizini asaidiwe." Naipenda POLISINYINYIEMU.....!
 
acha kujitoa ufahamu. maadui huweza kutumia ugomvi wenu kutimiza adhima yao. CDM ni taasisi, wawakate watu waliohusika. mbona kuna mambo makubwa yametokea kwa CDM lkn policeccm imeyaweka makalion. hapa wanamsaidia zzk aonekane anakubalika saana na wanacdm wamekasirishwa na maamuzi ya kamati kuu ya cdm juu ya zzzk et al.

"ng'ombe akivunjika mguu malishoni hujikongoja zizini asaidiwe." Naipenda POLISINYINYIEMU.....!

saikolojikali mfano unarudi tu nyumbani ukifika tu mlangoni mwanao anakushtakia"SIO MIMI NILIE IBA SAMAKI" basi kama upo sawa up-stairs utajua dogo ndo mwizi huyu..

my point is ,kwa nini ofisi ilipoungua moto tu hata kabla ya uchunguzi wa polisi chadema wamedai inechomwa moto??wamejuaje mapema namna hiyo???

sidhani kama hiki chama kina sera na kinasimamia ilani yake...kinaishi kwa matukio mjini hapa...ofisi zao zipo jf na kila mtu nimsemaji wa chama...poor chadema....
 
Hii inachekesha sana hivi hawa viongozi wa chama wanayaka kututoa kwenye hoja ya msingi kwa wepesi kiasi hiki!!!!. HOJA NI ZITTO ZUBERI KABWE MPAKA MWISHO!!!.
 
POLISI nayo imekuwa PORI-C, sasa hata kama Chadema ndiyo wahusika wa kuunguza hiyo nyumba, kwa nini wasiwakamate hao wahusika waliomo ndani ya Chadema kwa kuhatarisha public safety?? Yaani watu na nyota zao wanawaaga wake zako eti wanakwenda kazini kumbe wanakwenda magengeni.
 
Back
Top Bottom