Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha juu ya CHADEMA

Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha juu ya CHADEMA

Polisi mkoani Arusha imekamilisha 9uchunguzi wake kuhusiana na kuungua kwa ofisi za Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kusema wanachama wa Chama hicho ndio waliohusika.

hata hivyo, Mbunge wa Arusha Mjini (chadema) Godbless Lema amepinga kauli hiyo na kulipa jeshi hilo siku nne kuwakamata na kuwahoji watuhumiwa watano baada ya kulipatia majina hayo akidai kuwa ndio wanaohusika na uchomaji moto ofisi za chama hicho.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Arusha Japhet Lusinga alisema;

".. katika uchunguzi wetu tumebaini kuwa hakuna mahali palipovunjwa kutoka nje ya uzio na kuruhusu watu kuingia ndani...tumegundua kuna tundu dogo darini eneo la kuelekea bafuni la upana wa futi moja na nusu kiasi haliwezi kuruhusu mtu kupita.
Tumejiridhisha kuwa hakuna mtu anayeweza kupita hapo na ndani tulikuta majibu na baadhi ya vitu vilivyoungua na vifaa vingine.."

SOURCE:

Mwananchi, alhamis, desemba 5, 2013 (FRONT PAGE)



MY TAKE:

Polisi watuambie ripoti ya uchunguzi wa mlipuko wa bomu imefikia wapi.,maana kama hali iko hivi nina mashaka kuwa hata mlipuko wa bomu inawezekana waliutengeneza wenyewe kama zilivyo hisia za wengi katika watu wenye kuwaza sawasawa.

Kauli kama hizi tulisha zizoea kutoka kwa polisccm.hatushangai.
 
Mwenye ueledi anagundua kuwa hii ni mara ya kwanza kwa polisi kutoa ripoti kamiki mapema kiasi hiki!!

CDM kama taasisi haiwezi kuhusishwa bali watu katika taasisi! Polisi watuambie watu hao ni kina nani now that wamemaliza uchunguzi! Hiyo inaeleza kijumlajumla tu!
 
Nikweli Mkuu Wateleban wapo vizuri ndio maana yule Rais wao Chongo hakukimbia wamarekani walivyowavamia

Sasa Mke wangu Mtarajiwa ASHA,MAADAMU USHAGUNDULIKA HUMU NDAN KUWA WEWE SI ALBANATI TENA HUON KAMA UNASTAHILI KUPEWA JINA LA SHOGA AU MCHELE MCHELE??

KWA SABABU HAINGII AKLINI DUME KUUPENDA UKIKE KIAS HIKI,CHAGUA JINA GANI TUTUMIE KATI YA SHOGA,JIKE DUME AU MCHELE MCHELE,

KUFANYWA KAMA KAUMU LUTI NI HATARI LAKN PIA KWA AFYA YAKO,NA IMEKEMEWA KWENYE VITABU VYOE VITAKATIFU
 
Hivi, ili uwe polisi hapa bongo inabidi uwe na akili ndogo kiasi gani?
 
Mtu ameharibu Mali yake mwenyewe kwa makusudi kwanini akamatwe?

Hawa wanapata ruzuku toka serikalini kwa hio alichokiharibu technicaly ni cha serikali. Lzm akamatwe! Atiwe adabu kidogo!
 
Sasa Mke wangu Mtarajiwa ASHA,MAADAMU USHAGUNDULIKA HUMU NDAN KUWA WEWE SI ALBANATI TENA HUON KAMA UNASTAHILI KUPEWA JINA LA SHOGA AU MCHELE MCHELE??

KWA SABABU HAINGII AKLINI DUME KUUPENDA UKIKE KIAS HIKI,CHAGUA JINA GANI TUTUMIE KATI YA SHOGA,JIKE DUME AU MCHELE MCHELE,

KUFANYWA KAMA KAUMU LUTI NI HATARI LAKN PIA KWA AFYA YAKO,NA IMEKEMEWA KWENYE VITABU VYOE VITAKATIFU

Bro acha utani..!!! ina maana hii akaunti inatumiwa na LEMA..?
 
kwa hiyo kama waliochoma ni wafuasi wa chadema hawarusiwi kukamatwa.?
 
Sasa Mke wangu Mtarajiwa ASHA,MAADAMU USHAGUNDULIKA HUMU NDAN KUWA WEWE SI ALBANATI TENA HUON KAMA UNASTAHILI KUPEWA JINA LA SHOGA AU MCHELE MCHELE??

KWA SABABU HAINGII AKLINI DUME KUUPENDA UKIKE KIAS HIKI,CHAGUA JINA GANI TUTUMIE KATI YA SHOGA,JIKE DUME AU MCHELE MCHELE,

KUFANYWA KAMA KAUMU LUTI NI HATARI LAKN PIA KWA AFYA YAKO,NA IMEKEMEWA KWENYE VITABU VYOE VITAKATIFU

Mkuu huyu hata mimi nimemshtukia, ana jina la kike lakini maneno yake kama ya anty sudi.
Kkkkkkkkkkk.
 
Sasa kama ni CDM wamechoma, kwa nini wasiwakamate waliochoma..???

Unakuta wasomi wetu maaskari Polisi wanafanya mambo ya ajabu sana kwa kutaka kutetea ujinga. Nafikiri kwenye suala hili kinachotakiwa ni kuwakamata waliochoma hiyo ofisi, bila kujali kama ni CCM, CDM, CUF au mtu asiyekuwa na Chama. Hivi huyu polisi aliambiwa achunguze kama waliochoma ofisi ni CCM? Haya ndiyo yanaitwa majanga!!!. Kwa lugha nyingine huyu Bwana anasema ofisi ilijichoma?

Tiba
 
Nikweli Mkuu Wateleban wapo vizuri ndio maana yule Rais wao Chongo hakukimbia wamarekani walivyowavamia

Hao wateleban mi sijawahi kuwasikia hebu tujuze kidogo manake unaonekana una domo reefu sana linalomwaga mapovu ovyo.
Huyo mumeo inaonekana ile fimbo lugoda hupati sawasawa manake ungepewa vizuri ungefunga hilo kopo lako
 
Mkuu, unatoka na mapovu bure. Polisi wamekamilisha kazi yao na ukweli ndo huo. Kama hamkubaliani na ripoti hiyo, ni vema mkawaita wachunguzi binafsi kufanya kazi hiyo. Hata FBI mnaweza kuwaita

FBI wepi? Wale wachora kibaraghashea wa mauaji ya Padri Zanzibar? Kweli CCM hamuishi vituko mkaenda kutuletea Wahuni fulani wa Marekani, wapiga dili mkatudanganya eti FBI!. Ile kesi ya mauaji ya Padri Zanzibar imeishia wapi vile!
 
Inawezekana waliochoma ni wafuasi wa yule samsoni mwigambaaliyekuwa mwenyekiti wa cdm Arusha, ambao hawakupendezwa na kiongozi wao kuondolewa madarakani.
 
Unakuta wasomi wetu maaskari Polisi wanafanya mambo ya ajabu sana kwa kutaka kutetea ujinga. Nafikiri kwenye suala hili kinachotakiwa ni kuwakamata waliochoma hiyo ofisi, bila kujali kama ni CCM, CDM, CUF au mtu asiyekuwa na Chama. Hivi huyu polisi aliambiwa achunguze kama waliochoma ofisi ni CCM? Haya ndiyo yanaitwa majanga!!!. Kwa lugha nyingine huyu Bwana anasema ofisi ilijichoma?

Tiba

lakini ni kwa sababu watu hawafuatilii na kutaka kujua ukweli wa juu ya matukio ndio maana siku zote wamejikuta wapo nyuma kupata taarifa sahihi za matukio yanayoendelea na hata kushindwa kuconnect dots ya yale yanayoendelea nchini na operation za kisiasa.

kuhusu watu waliohusika na uchomaji huo tayari polisi imeshakamata watu zaidi ya watatu ambapo mmoja ni Kitumbizwi Bahati (42) na Mwingine ni Jenifer Mwasha (25) ambao wote wawili imethibitika kuwa ni wanachama wa Chadema na pia ni waajiriwa wa chama hicho katika ofisi husika ya Arusha.

Uchunguzi wa Polisi umetaja majina haya wazi na kusema kuwa uchunguzi umekamika na kwamba wanaoshikiliwa si ti kuwa wanapisha uchunguzi uendelee bali wanatuhumiwa moja kwa moja na kutenda kosa hilo.

Ni siasa za kishenzi ambazo hazina sura ya utu wa ustaraabu kwa watu kuamua kujifanyia hujuma ili kupata public sympathy katika yale wanayoyatenda. Si jambo zuri hata kidogo.
 
Inawezekana waliochoma ni wafuasi wa yule samsoni mwigambaaliyekuwa mwenyekiti wa cdm Arusha, ambao hawakupendezwa na kiongozi wao kuondolewa madarakani.
Lakini kauli yako inapingana na kauli ya Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini ambae anasema kuwa ofisi yao imechomwa moto na wanachama wa chama cha mapinduzi maarufu kama CCM.
 
Back
Top Bottom