heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
kulikuwa na maana gani kuwahi kupost habari hii huku huna details za kutosha kama venue, kiingilio na tarehe, au ndo kimbelembele tukujue unajuana sana na dimondo?
Kwa wapenzi nn mashabik wa music wa Tanzania mjini Guangzhou China....for the first time.
WCB president,Diamond.
weekend ijayo atakuwa na maonyesho ya music mjini humo..
tarehe na detail zingne zitakujia soon..
#They hatin eer day..we earning more eer day.
Napata shida sana kutambua uwezo na elimu uliyonayo na ukakamavu wako. Inawezekana kweli ukiamka asubuh cha kwanza kutangaza anachofanya mwanaume mwenzio au kufikia hata kumtetea anapovurunda kwenye maswala yake ya ngo.no? Ile suruali unapoegeshiaga katkat ya makalio na ulivyojibu huku umebana pua, eti wee vipi nmetambua ww ni mtu wa namna gani? Jahazi leo wapo lango la jiji vipi utaudhulia?
Maneno tu hayo.
hayawez nifanya niwe hivyo unavyosema.
TANZANIA BILA VIJANA WENYE CHUKI NA WIVU INAWEZEKAN IKIWA KILA MMOJA ATAFANYA KAZ KWA BIDII.
Keep hatin..we keep earning more eer day.
Kwa wapenzi nn mashabik wa music wa Tanzania mjini Guangzhou China....for the first time.
WCB president,Diamond weekend ijayo atakuwa na maonyesho ya music mjini humo.
Tarehe na detail zingne zitakujia soon.
Weekend ijayo tarehe haijulikani??