Kwa waliochaguliwa kozi tajwa hapo juu mnatakiwa kuomba mkopo bodi ya mikopo haraka sana, hii kwa wale wa masomo ya sayansi na hisabati tu.
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 10/9/2014
Kumbuka kuwa mtasoma kwa mfumo wa chuo kikuu kwa miaka mitatu, ada ni laki sita na chakula mtajitegemea,
Kwa maelezo zaidi tembelea www.heslb.go.tz
Naambatanisha majina ya waliochaguliwa na kwa ufafanuzi na msaada zaid
View attachment 183155
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 10/9/2014
Kumbuka kuwa mtasoma kwa mfumo wa chuo kikuu kwa miaka mitatu, ada ni laki sita na chakula mtajitegemea,
Kwa maelezo zaidi tembelea www.heslb.go.tz
Naambatanisha majina ya waliochaguliwa na kwa ufafanuzi na msaada zaid
View attachment 183155