Taarifa kwa waliotoswa na heslb

Taarifa kwa waliotoswa na heslb

Hawa jamaa wa bodi ya mikopo Wahabis Channa kweupe kwa ushirikiano na baadhi ya wakubwa
 
We want to make way, kama hatutafaidika sisi watafaidika wadogo zetu watakao kuja, kufika kwako ni muhimu usipuuze
 
mtuwakilishe vizuri wakuu...tupo pamoja kwa kila kitu hata wakihitaj vote zetu kupia mtandao wowote wa kijamii tupo tyr
 
Nimelamba kila kitu 100%, lakini moyo unanisuta kubaki mathkani...
Lazima nitie maguu hizo pande, mpaka kieleweke...
Oyah! Na wengine muliopata mkopo, msisite kufika yale maeneo, tuwapige kiki wana...
 
Simbaya mkituambia ofisi ziko maeneo gan huko dar hasa kwa sisi wageni. Hivi ndo nipo kwenye gari kutokea mbeya to dar. Help please
 
Nimelamba kila kitu 100%, lakini moyo unanisuta kubaki mathkani...
Lazima nitie maguu hizo pande, mpaka kieleweke...
Oyah! Na wengine muliopata mkopo, msisite kufika yale maeneo, tuwapige kiki wana...

wachache sn wenye moyo kama wako maana kuna weng kama wewe wamepata mkopo ila hawana ushirikiano kbsa na sisi ambao ha2japewa mkopo
 
Simbaya mkituambia ofisi ziko maeneo gan huko dar hasa kwa sisi wageni. Hivi ndo nipo kwenye gari kutokea mbeya to dar. Help please
Kijana una moyo wa kuwajali wenzio sio km wengine wanodai nao hawakupata wakati ukweli walipata kwanini sasa wakane labda walitoa hongo inauma sana
 
Back
Top Bottom