Taarifa kwa wana Simba

Teh teh teh hongera zao wakina Aveva na kundi lake kwa kuwashika masikio na akili mashabiki na wanachama wa simba,duh kweli kali. Yaani kabisa mnafunga safari mpaka airport kupokea zigo babu lenye mamvi yake?. Hapo points za FIFA ndio msahau kabisa.
Povu
 
Kama hutaki sio lazima kwanza hata kadi huna
 
Simba kweli ni mapopoma,ya FIFA mshasahau sasa hivi....
 
Hamna kazi za kufanya ni maandamano tu leo nenda airport rudi mjini nenda airport rudi mjini.

Mchezaji anasign kimya kimya then huwa washabiki wanajitokeza kutambulishwa uwanjani.

Afande Mpinga usiruhusu maandano kama hayo yasiyokuwa na tija yoyote zaidi ya kuzuia barabara kutumiwa na watuamiaji wengine
 
Vipi msafara umefanyika wa mapokezi!??
 

Washabiki wakiwa uwanja wa Ndege Mw.Nyerere waki msubili OKWII
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…