Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Kama umewahi kufika au upo dar, kuna kanisa linaitwa saint peters. Utaelewa maeneo hayo kuna nini
Ooh, i see. I know ni kanisa na majasusi. Ama wamaanisha wanahusika ktk kupanga safu ya uongozi?
 
Good
 
Mkuu wewe ni nani kwenye serikali ya Tanzania?
 
Namba 14 nimeielewa sana..


Kama ni kweli hayo basi NYUMBANI KUMENOGA.. YAJAYO YANAFURAHISHA
 

Aiseee
 
Binafsi nimetaka sana kujua maana yake..

Ama ndo hawa waseminari wanaopokezana na hawa waislamu?
Mkuu, TWIGA ana sifa gani?
Anzia hapo
 
Nimejifunza haya:-
1.kanisa la mtakatifu petro sio kanisa kama kanisa Bali ni sehem ya ofisi ya kijasusi ya kidola hapa nchini!!na ina compromise na Dola kamili ambayo ndio hiyo The state!!
2.Kesi ya mbowe ni ya kubumba ili kumzuia kuharakisha mchakato wa katiba mpya ambao Dola imepanga ufanyike mwakani!!!Mbowe ataachiwa huru hapo baadae mwakani au mwisho wa Mwaka!!!
3.Mchakato wa katiba mpya utaanza 2022 na watakao pinga wataondolewa kimya kimya!!!
4.Katiba mpya itakamilika na kuwa rasmi kuanzia 2023 kuendelea na uchaguzi wa 2025 utafanywa kwa katiba mpya!!!
5.Inawezekana 2025 chama cha upinzani kikatwaa nchi kwa mfumo wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…