Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Nimejifunza haya:-
1.kanisa la mtakatifu petro sio kanisa kama kanisa Bali ni sehem ya ofisi ya kijasusi ya kidola hapa nchini!!na ina compromise na Dola kamili ambayo ndio hiyo The state!!
2.Kesi ya mbowe ni ya kubumba ili kumzuia kuharakisha mchakato wa katiba mpya ambao Dola imepanga ufanyike mwakani!!!Mbowe ataachiwa huru hapo baadae mwakani au mwisho wa Mwaka!!!
3.Mchakato wa katiba mpya utaanza 2022 na watakao pinga wataondolewa kimya kimya!!!
4.Katiba mpya itakamilika na kuwa rasmi kuanzia 2023 kuendelea na uchaguzi wa 2025 utafanywa kwa katiba mpya!!!
5.Inawezekana 2025 chama cha upinzani kikatwaa nchi kwa mfumo wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!!!
 
Nimejifunza haya:-
1.kanisa la mtakatifu petro sio kanisa kama kanisa Bali ni sehem ya ofisi ya kijasusi ya kidola hapa nchini!!na ina compromise na Dola kamili ambayo ndio hiyo The state!!
2.Kesi ya mbowe ni ya kubumba ili kumzuia kuharakisha mchakato wa katiba mpya ambao Dola imepanga ufanyike mwakani!!!Mbowe ataachiwa huru hapo baadae mwakani au mwisho wa Mwaka!!!
3.Mchakato wa katiba mpya utaanza 2022 na watakao pinga wataondolewa kimya kimya!!!
4.Katiba mpya itakamilika na kuwa rasmi kuanzia 2023 kuendelea na uchaguzi wa 2025 utafanywa kwa katiba mpya!!!
5.Inawezekana 2025 chama cha upinzani kikatwaa nchi kwa mfumo wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!!!
 
Nimejifunza haya:-
1.kanisa la mtakatifu petro sio kanisa kama kanisa Bali ni sehem ya ofisi ya kijasusi ya kidola hapa nchini!!na ina compromise na Dola kamili ambayo ndio hiyo The state!!
2.Kesi ya mbowe ni ya kubumba ili kumzuia kuharakisha mchakato wa katiba mpya ambao Dola imepanga ufanyike mwakani!!!Mbowe ataachiwa huru hapo baadae mwakani au mwisho wa Mwaka!!!
3.Mchakato wa katiba mpya utaanza 2022 na watakao pinga wataondolewa kimya kimya!!!
4.Katiba mpya itakamilika na kuwa rasmi kuanzia 2023 kuendelea na uchaguzi wa 2025 utafanywa kwa katiba mpya!!!
5.Inawezekana 2025 chama cha upinzani kikatwaa nchi kwa mfumo wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!!!
Ngoja, Tusubiri tuone mkuu.
 
Aisee hawa ndio wenye nchi yao, sisi wengine tunasindikiza.

Mkuu Tumia akili fanya kuniunganisha basi hapo 'the state' wote tule keki ya taifa mtu wangu.
 
Imeamuliwa 'next stage' isitishwe. Baadhi ya maombi ya unyenyekevu ya 'theState':

1. Sheria zifuatwe na zile zisizofaa zibadilishwe.
2. Mwakani kuwe na mwendelezo wa kuandika katiba ambapo bunge liundwe na lisilazimike kuingiza wabunge waliopo sasa isipokuwa wale wenye tija.
3. Wabunge wasiokuwa halali waondolewe kutoka bungeni.
4. Ikiwezekana yale majimbo na kata ambayo ilionekana kabisa kulikuwa na upotoshaji wa matokeo basi uchaguzi urudiwe. Uchaguzi wa serikali za mitaa usubirie mpaka katiba mpya.
5. Stahiki za wafanyakazi wa umma na wastaafu zilipwe. Fao la kujitoa lirejeshwe kwa wale waliopoteza ajira.
6. Fungua milango ya nchi ili biashara na mitaji ikaribie na ku-unlock uchumi. Wawekezaji wakaribishwe kwa sera na sheria wezeshi.
7. Wananchi kule kimara walipwe fidia na kwingineko ambapo watu waliumizwa.
8. Ofisi ya DPP na mwanasheria mkuu ifumuliwe na watu watendewe haki.
9. Watendaji wote 'walio-dance the tune' na kuvunja sheria huku wakiumiza watu waondolewe.
10. Miradi ya SGR na Stiegler's iendelezwe pamoja na ile ya barabara lakini upembuzi ufanyike ili ikiwepo isiyo na tija iachwe.
11. Kuna tatizo kubwa sana deni la taifa.. angalau punguza sasa kukopa na weka mazingira ili uvutie wawekezaji na hasa wale wa ndani ambao wameficha matrilioni ardhini na nje ya nchi.
12. Uchunguzi huru ufanyike kwa yale matukio yote ya utekaji, mauaji na mashambulizi dhidi ya binadamu.
13. Ondoa elimu bure kwasababu inajenga taifa lenye 'irresponsible' minds. Angalia namna ya kubadilisha mfumo wa elimu ili uendane na nyakati tulizonazo.
14. Fanya maridhiano na wapinzani na taasisi zilizotengwa ili kuleta umoja wa kitaifa.
15. Serikali iendelee kubaki Dodoma na ikiwezekana ikulu ya Dar es salaam pajengwe kituo maalum cha utalii.
16. Chama bado kina misingi mizuri, imarisha kwa kuteua watu wenye maono na uzalendo kwa nchi.
17. Sisi hatutakuja kukuingilia, teua na unda timu kwa kadri unavyoona inafaa.. watendee watu haki nasi tutaendelea kukuunga mkono.

18. Mpaka sasa umetuonesha mwanga mwema nasi kwakuwa tunaipenda nchi tumesitisha 'mipango' yetu ili utimize majukumu yako na kusimamia haki.

Tulishauri, hakusikiliza na sasa hayupo. Nimepewa ujumbe, nimeufikisha.
Hamna lolote,acha kudanganya wajinga wajinga
 
Hamna lolote,acha kudanganya wajinga wajinga
Yakitimia mnaanza kusema uchawi upo,mimi nadhani wewe ndio mjinga mjinga kwann usisome na kupita kimya kimya tu?[emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]
 
Imeamuliwa 'next stage' isitishwe. Baadhi ya maombi ya unyenyekevu ya 'theState':

1. Sheria zifuatwe na zile zisizofaa zibadilishwe.
2. Mwakani kuwe na mwendelezo wa kuandika katiba ambapo bunge liundwe na lisilazimike kuingiza wabunge waliopo sasa isipokuwa wale wenye tija.
3. Wabunge wasiokuwa halali waondolewe kutoka bungeni.
4. Ikiwezekana yale majimbo na kata ambayo ilionekana kabisa kulikuwa na upotoshaji wa matokeo basi uchaguzi urudiwe. Uchaguzi wa serikali za mitaa usubirie mpaka katiba mpya.
5. Stahiki za wafanyakazi wa umma na wastaafu zilipwe. Fao la kujitoa lirejeshwe kwa wale waliopoteza ajira.
6. Fungua milango ya nchi ili biashara na mitaji ikaribie na ku-unlock uchumi. Wawekezaji wakaribishwe kwa sera na sheria wezeshi.
7. Wananchi kule kimara walipwe fidia na kwingineko ambapo watu waliumizwa.
8. Ofisi ya DPP na mwanasheria mkuu ifumuliwe na watu watendewe haki.
9. Watendaji wote 'walio-dance the tune' na kuvunja sheria huku wakiumiza watu waondolewe.
10. Miradi ya SGR na Stiegler's iendelezwe pamoja na ile ya barabara lakini upembuzi ufanyike ili ikiwepo isiyo na tija iachwe.
11. Kuna tatizo kubwa sana deni la taifa.. angalau punguza sasa kukopa na weka mazingira ili uvutie wawekezaji na hasa wale wa ndani ambao wameficha matrilioni ardhini na nje ya nchi.
12. Uchunguzi huru ufanyike kwa yale matukio yote ya utekaji, mauaji na mashambulizi dhidi ya binadamu.
13. Ondoa elimu bure kwasababu inajenga taifa lenye 'irresponsible' minds. Angalia namna ya kubadilisha mfumo wa elimu ili uendane na nyakati tulizonazo.
14. Fanya maridhiano na wapinzani na taasisi zilizotengwa ili kuleta umoja wa kitaifa.
15. Serikali iendelee kubaki Dodoma na ikiwezekana ikulu ya Dar es salaam pajengwe kituo maalum cha utalii.
16. Chama bado kina misingi mizuri, imarisha kwa kuteua watu wenye maono na uzalendo kwa nchi.
17. Sisi hatutakuja kukuingilia, teua na unda timu kwa kadri unavyoona inafaa.. watendee watu haki nasi tutaendelea kukuunga mkono.

18. Mpaka sasa umetuonesha mwanga mwema nasi kwakuwa tunaipenda nchi tumesitisha 'mipango' yetu ili utimize majukumu yako na kusimamia haki.

Tulishauri, hakusikiliza na sasa hayupo. Nimepewa ujumbe, nimeufikisha.
 
Acha watu wapate elimu bure waje kuwa hata walinzi .....wewe Kwa sababu ukusoma bure unataka kutengeneza choyo Kwa wenzako........ushaambiwa usipokuwa na form 4 huwezi kupata connection.......so waache waambulie maana ndio mwanzo hata WA certificate
 
Acha watu wapate elimu bure waje kuwa hata walinzi .....wewe Kwa sababu ukusoma bure unataka kutengeneza choyo Kwa wenzako........ushaambiwa usipokuwa na form 4 huwezi kupata connection.......so waache waambulie maana ndio mwanzo hata WA certificate
What hell is this??
 
The state imeanza mchakato wa katiba mpya kwa kauli hizi za Pinda na Warioba!nadhani mchakato upo mbioni hadi mwakani tunayo katiba!!
 
Imeamuliwa 'next stage' isitishwe. Baadhi ya maombi ya unyenyekevu ya 'theState':

1. Sheria zifuatwe na zile zisizofaa zibadilishwe.
2. Mwakani kuwe na mwendelezo wa kuandika katiba ambapo bunge liundwe na lisilazimike kuingiza wabunge waliopo sasa isipokuwa wale wenye tija.
3. Wabunge wasiokuwa halali waondolewe kutoka bungeni.
4. Ikiwezekana yale majimbo na kata ambayo ilionekana kabisa kulikuwa na upotoshaji wa matokeo basi uchaguzi urudiwe. Uchaguzi wa serikali za mitaa usubirie mpaka katiba mpya.
5. Stahiki za wafanyakazi wa umma na wastaafu zilipwe. Fao la kujitoa lirejeshwe kwa wale waliopoteza ajira.
6. Fungua milango ya nchi ili biashara na mitaji ikaribie na ku-unlock uchumi. Wawekezaji wakaribishwe kwa sera na sheria wezeshi.
7. Wananchi kule kimara walipwe fidia na kwingineko ambapo watu waliumizwa.
8. Ofisi ya DPP na mwanasheria mkuu ifumuliwe na watu watendewe haki.
9. Watendaji wote 'walio-dance the tune' na kuvunja sheria huku wakiumiza watu waondolewe.
10. Miradi ya SGR na Stiegler's iendelezwe pamoja na ile ya barabara lakini upembuzi ufanyike ili ikiwepo isiyo na tija iachwe.
11. Kuna tatizo kubwa sana deni la taifa.. angalau punguza sasa kukopa na weka mazingira ili uvutie wawekezaji na hasa wale wa ndani ambao wameficha matrilioni ardhini na nje ya nchi.
12. Uchunguzi huru ufanyike kwa yale matukio yote ya utekaji, mauaji na mashambulizi dhidi ya binadamu.
13. Ondoa elimu bure kwasababu inajenga taifa lenye 'irresponsible' minds. Angalia namna ya kubadilisha mfumo wa elimu ili uendane na nyakati tulizonazo.
14. Fanya maridhiano na wapinzani na taasisi zilizotengwa ili kuleta umoja wa kitaifa.
15. Serikali iendelee kubaki Dodoma na ikiwezekana ikulu ya Dar es salaam pajengwe kituo maalum cha utalii.
16. Chama bado kina misingi mizuri, imarisha kwa kuteua watu wenye maono na uzalendo kwa nchi.
17. Sisi hatutakuja kukuingilia, teua na unda timu kwa kadri unavyoona inafaa.. watendee watu haki nasi tutaendelea kukuunga mkono.

18. Mpaka sasa umetuonesha mwanga mwema nasi kwakuwa tunaipenda nchi tumesitisha 'mipango' yetu ili utimize majukumu yako na kusimamia haki.

Tulishauri, hakusikiliza na sasa hayupo. Nimepewa ujumbe, nimeufikisha.
Jinn
 
Back
Top Bottom