Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Hakuna hata moja linaloelekea kufanyika katika hii orodha!
 
Nimesoma mkuu hiyo post Magufuli alikuwa mgonjwa wa moyo zamani, na huyu alikuwa anafahamu. So obviously alikuwa na information za ndani juu ya Hali tete ya Rais alitumia kupredict his end.
Kwann usingetumia wew ku predict???
 
Namba 11 Mama kakiuka kwa kuendelea kukopa na kuongeza Deni la Taifa!!Mumemtuma Ndugai aseme !!! Mmechukia jamaa kazinguliwa uspika!!nadhani operation Will be executed next stage itaendelea na mpo jikoni mnajipanga kwa sasa!!see you soon comrade!!
 
Thid plan is ahead I wonder
 
Namba 11 Mama kakiuka kwa kuendelea kukopa na kuongeza Deni la Taifa!!Mumemtuma Ndugai aseme !!! Mmechukia jamaa kazinguliwa uspika!!nadhani operation Will be executed next stage itaendelea na mpo jikoni mnajipanga kwa sasa!!see you soon comrade!!
Na kweli kaja.
 
Unajua kuunganisha matukio,kuna ka ukweli fulan hapa
Si unaona jamaa juzi kaja na uzi wa FDR na utawala wa miaka 12!!!na neno next stage limo kwenye huo uzi!!!maana yake next operation loading now!!!!hadi mwakani muda kama huu mission over!!!!Kumbuka operation ile uzi wake ulikuja humu March 2020 mission over ikawa March 2021! Baada ya mwaka !tutarajie mwakani mwanzoni operation next stage itakuwa over!!jamaa hua wanatoa mwaka moja kabla alert na kukamilisha Mwaka unaofuata!!!
 
Imekuuma sana jamaa kuwa na access na information kuliko wewe?
 
Aiseee hatari Sana
 
Nawapongeza kwa kumuua dhalimu lkn bado ntawalaumu kwanini walichelewa? Yule dhalimu hakupaswa kumaliza mwaka akiwa ikulu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji375]
 
Aiseee hatari Sana
Kumbe mama anaposema eti kipaumbele sio katiba Bali ni kuwaletea watu maendeleo anawakosea the state na hao wanafanya too late ya mama hence utawala wake usiwe beyond Mwaka huu!!ndio maana FDR Lazima aingie ikulu akae miaka 12 kuifanya tz kuwa super power ya kiuchumi!!!next stage Operation ipo on!!tutarajie kuanzia mwezi wa tatu Mwaka huu tutaanza kuona vugu vugu la Roosevelt kushika hatamu!!!tujiandae kwa Mabadiliko!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…