Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

NI MARUFUKU KUPINGA WALA KUSAPOTI JAMBO USILO NA UHAKIKA NALO.
 
KWA hio kumbe mlipoona aliypewa muda anachelewesha mchakato wa katiba ikawa too late kwake si NDIO?Ndio mkaja na Mpango wa FDR na miaka 12 hapa kwetu si ndio!!??naToo late ya aliyepewa Muda isiwe beyond Mwaka huu!!??Hapo swali FDR wetu ni nani!!??je ni katibu mkuu kiongozi wa mwenda zake!!??au katibu mwenezi wa chama wa Mwendazake!!??au mtamtafuta mnyenyekevu atakae fuata maelekezo yenu nyinyi popote pale hata kama ni mtumishi wa umma mzalendo asietia shaka!hata kama hana historia ndefu Sana ndani ya chama chochote kile?yaani hana mtandao KABISA!!!
 
Mtoto mnyenyekevu, mchapakazi, msikivu, mwenye hofu ya Mungu, asiye na makuu.......

Kakulia na kusomea kule kwenye Mapiramidi wakati babake akiwa Balozi huko.

Binafsi nampenda sana kwa haiba alonayo.
Natamani akuwe Rais wa JMT
 
Namba 12 na 14 vimetekelezwa jana na leo...
 
The state bado naona kuna vitu hajatimiza..na kero za muungano zinazidi kuibuka mpya.

#MaendeleoHayanaChama
 
Taarifa kamili! "nuru imeonekana na 'the State wamesema apewe muda."
 
Nimesoma mkuu hiyo post Magufuli alikuwa mgonjwa wa moyo zamani, na huyu alikuwa anafahamu. So obviously alikuwa na information za ndani juu ya Hali tete ya Rais alitumia kupredict his end.
nakubaliana n ww,huyu ni msaliti kma wasaliti wengine.alijua jp ni mgonjwa wa moyo,alikuwa na information zote tangu zamani,so akatumia hizo taarifa kujifanya katabr.pumbavu kabisa.watu Kama hawa hawatakiwi kupewa nafasi za juu serikalini,au kuwekwa karibu na viongozi wa juu wa nchi,NI hatari Sana kwa nchi!!

Ushauri. mama SSH ,huyu mtu anayejiita tumia akili ,kaa naye mbali Kama unamjua,na Kama humjui basi ,jitahidi umjue .....
 
Achaguzi urudiwe,ngoma iwekwe kati tuone CCM itakovyobuluza,tena mbuluzo wa haja kuzidi uliopita"kundanda ndeki"
Mrudisheni jpm na lissu uchaguzi urudiwe,hapo ndipo mtajua kumbe mlioko humu jf msiompenda jpm mko kiduchu tu,hata kwenye kikombe cha kahawa hamjai
 
Akili yako ndogo tu hana kipawa chochote
 
Chanzo au source!??
 
Kwani uo uzi aliandika lini mkuu? Yani ajue mtu huyu atafariki miezi kumi mbele? Serious?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mrudisheni jpm na lissu uchaguzi urudiwe,hapo ndipo mtajua kumbe mlioko humu jf msiompenda jpm mko kiduchu tu,hata kwenye kikombe cha kahawa hamjai
Utampenda huyo JPM wako kwa kipi hasa ndugu? unless na wewe unapenda mtu with no reason kama mwanamke.
 
Na huyu aliepo mlimpa mapendekezo 18 hakusikiliza wala kuyafanyia kazi sasa nae aondoke aache kiti kistaarabu tu bila maumivu!au sio???
Na ndivyo mtu mwenye msimamo anatakiwa kuwa sio kuendeshwa kwa remote.Hakuna kitu rahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…