Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

duuu hili jamaa,ona sasa.Mi nafikiri inaezekana kuna kitu jamaa yupo nacho au basi ndo walee(wasojulikana)
Lakini la kukopa kopa naona bado hajasikia,twambie 'mtafanya nini sasa??
 
Operesheni imesitishwa hadi lini? maana tupo tumekata almost 70% ya mwaka "ujao" na hamna dalili yoyote!
 
Mkuu

The state wameridhishwa na kikosi kazi cha mkandala!?au ni janja janja ya Aliyepewa muda ku delay mchakato HALISI Hadi 2025 uchaguzi Ili washinde KWA katiba iliyopo!!?


"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Huu uzi mbona bado hatuoni Future? TA alituingizachaka?
 
Kwa hiyo ndio maana mmemuacha aanze kufanya mikutano ya kampeni za 2025 Sio!?

Kwamba anafuata vizuri maelekezo yenu si Ndio!?
Mbona ishu ya katiba kama anachenga hivi,halafu elimu hajabadili mitaala zaidi anacheza dana dana au!!

Demokrasia ya mikutano haipo tena Mbona au we unaona sawa sio!!?

Tryagain NJOO ujibu na huku!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…