Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Kiti kamsaliti Jini?
 
Exactly
 
Hii jigsaw puzzle hawaichezeshwi hivyo sahau
 
Nimekuelewa....


We're everywhere!
Upande wa pili alikuwa amekaa Director akiongoza.

'Upande wa Pili' 👉Code unlocked


'theState' ina wajibu juu ya taifa tu. Haina 'feelings' towards or against any individual. We are only loyal to the nation.


Sasa imekuwa lazima na pressure imekuwa kubwa sana hata 👉pale 'stpeters'.
👇
Kumbuka 'stpeters' na 'theState' sio taasisi moja.
Hawa 'theState' 👉wao wametoa muda mpaka mwakani kwa mchakato wa katiba kuanza. Nachelea kusema kama 'aliyepewa muda' hataanza hili inaweza kuwa 'too late' kwake.
Kwa miaka mingi 'stpeters' 👉pale kumekuwa na nguvu kubwa kwenye kulinda wakubwa. Lakini sasa kwa madhaifu ya nyuma na matatizo ya hapa karibuni, wapo wanaoona umuhimu wa kuwa na taasisi zitakazofuata msingi ya sheria na haki.
Upande wa pili alikuwa amekaa Director akiongoza.

St Petersburg, Russia
The 'United' States 'of America', USA
 
Ukichaa,kahyo ndege hyo itazidi ndege za mashirika kongwe kama Ethiopie airlines, Tunis air, Égypte air,au south African Airlines ?
 
Sasa mama hapo kwenye namba 9 si ndio umewachefua kabisa!!?

Yaani badala ya kuwashughulikia wewe ndio unawateua kwenye.chama au!!?

Aiseh ngoja tuone!!!
 
Hii comment inapaswa ibandikwe pale Lumumba aiseh!

"Conservative watashughulikiwa kimya kimya" RIP Mr Mango

"Mpaka muda huu hakuna vitendo vya kulipiza visasiwatu wamepewa na kubadilishwa vitengo"Dr. Kakurwa!

Pale st. Peters!!!?

Sawa!!
 
Asante.kwa Maelezo murua kabisa!!

Lakini hiyo" Beyond mwakani" ambayo ni mwaka jana imepitiliza Hadi Sasa tunaelekea December ya 2023!

Kuna hii tetesi ya kulazwa namba mbili huko america.je. ndio mpango wenyewe au ni kawaida mja kupitishwa kwenye vi homa homa kidogo kama ilivyo desturi ya viumbe!!

Inaonekana mmechelewa sana mkuu Kuna tatizo labda!!?
 
Aroooo
 
Mmeishia wapi na hizi mbanga zenu mpaka Sasa?
Maslahi yenu kisiasa sio maslahi ya taifa kamwe wapuuzi wahed nyie
 
Naona wabunge wasio takiwa Bungeni wameshinda kesi!!he maono ya awali yanarudi!!?

Tunasubiri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…