Mbona kama.....Msitishe Madame President, Tanzania iko imara na Hayati John P. Magufuli alifariki kifo Cha kawaida na kila mtu anajua na sio ule utabiri wako feki. Pengine sababu kuu ni ukaidi wake wa namna ya kupambana na COvid-19 na kisha akaji- expose kupita kiasi ili Hali alikuwa katika kundi hatarishi. Hili lilionekana dhahiri na hata lilionekana wazi linaweza muathiri kama ilivyotokea kwa Mkurunzinza.
You're nobody...wewe ni kama wasaliti wengine walioko kwenye serikali wenye access ya information muhimu ambao wanavujisha kabla hazijatangazwa.
Jambo unalopaswa kujua ni kwamba 'hatma' ipo kwenye ule ujumbe wa rais ambaye hajawahi kugombea ila fursa ya 'neema' inaachiliwa kufanya remedy.Hii mada angeileta baada ya angalau miezi miwili huko mbele tungemuelewa lakini tukio la juzi tu hili alafu anataka kusema eti tayari wamesha kaa na mama kumpa hayo
Nakuelewa mkuu, lakini kama huyu jamaa aliweza kusema kabla haijatokea, tutafanyejeHii mada angeileta baada ya angalau miezi miwili huko mbele tungemuelewa lakini tukio la juzi tu hili alafu anataka kusema eti tayari wamesha kaa na mama kumpa hayo
Halafu mkuu taarifa unayopata wewe kwenye media siku ya leo basi mara nyingi inakuwa mezani kwetu karibu wiki nzima kabla.Hii mada angeileta baada ya angalau miezi miwili huko mbele tungemuelewa lakini tukio la juzi tu hili alafu anataka kusema eti tayari wamesha kaa na mama kumpa hayo
Huyu mshkaji anaonekana Yuko idara nyeti. Na huyu[emoji116]
Nimesoma mkuu hiyo post Magufuli alikuwa mgonjwa wa moyo zamani, na huyu alikuwa anafahamu. So obviously alikuwa na information za ndani juu ya Hali tete ya Rais alitumia kupredict his end.
Sijakurupuka mkuu, huo utabiri hata mfanyakazi mwenzangu alishafanya baada ya Mange Kimambi kueleza tukio la Hayati 'kupata mstuko wa moyo' Wakati wa ufunguzi wa uwanja ndege za kijeshi. Hakuna kipyaTatizo unakurupuka sana kwa kubwabwaja.
Hakuna mtu nayemuheshimu humu JF kama Mkuu Tumia akili huyu jamaa ni asset humu. Kila andiko lake linabeba uzito wa hali juu.
Mmmhhh upande wa pili..., ndio upi huo?Ikiwa sisi nasi tunaua kwa namna unayoongelea wewe basi hatutakuwa na tofauti na hao.. hatupo na hatuwezi kwenda level za kumfanyia mtu ubaya kwa namna ya mwilini.
Upande wa pili unaona namna ambavyo dhamira ya huyu ni njema kutenda haki na imempa kibali kufanya hivyo.
Huo upande wa pili?Halafu mkuu taarifa unayopata wewe kwenye media siku ya leo basi mara nyingi inakuwa mezani kwetu karibu wiki nzima kabla.
Mfano maamuzi ya leo wewe unaona yametolewa pale wakati anaongea live? Kama hivi ndivyo unafikiri basi, 'karibu upande wa pili'.
Huyu mtu aliyeandika haya mambo ni mtafiti halisi ,hiyo namba 13 iko very smart and thoughtfulMh SSH inabidi afanyie kazi hayo mambo.