Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Inafikirisha, wacha niweke makao hapa
 
Wewe ni kilaza upinzani wanaletaje umaskini, na hawana serikali
 
Bila katiba mpya kukurukakara zoote za maendeleo ya vitu siyo sustainable!. The only way ya kuguarantee maendeleo halisi ni kuwa na katiba nzuri
 
Siku ile nchi nzima walipotangaza kwamba mchwa wooooote wameuliwa na vichuguu vyao kubomolewa nilikuwa team Mzee ila kwa hilo I was against sio siri niliwaonea huruma sana walibaki kama watoto waliofungiwa nje na mvua ,baridi, radi zote nilikuwa zao hawakuwa na mtetezi maana kuna muhimimili ulishikiliwa na mkata vichuguu...ilitia huruma sana sana kwakweli ....mama amewafunika kwa shuka amewaingiza ndani bado kuvishwa mablankents heili to the Queen hatujafika ila walau....asikiaye na afahamu kwa tone dogo la amani aliloachia tusimsumbue sumbue.
 
Mabwawa ya maji yalijengwa kipindi cha awamu ya ngapi? Kwani yeye hakujua wakoloni wangeyajenga?
 
Mabwawa ya maji yalijengwa kipindi cha awamu ya ngapi? Kwani yeye hakujua wakoloni wangeyajenga?
Hivi unajua kuwa mkoloni kabla ya Uhuru alikuwa Ana surplus mpaka akawa anauza umeme Mombasa? Umeme huo alizalisha ktk maporomoko ya mto pangani nenda kagugo.
 
Natamani kuona haya yakitimia. Taifa hili lina kila kitu cha kulifanya kuwa superpower katika ukanda huu, utashi wa kisiasa unatukwamisha
 
Hivi unajua kuwa mkoloni kabla ya Uhuru alikuwa Ana surplus mpaka akawa anauza umeme Mombasa? Umeme huo alizalisha ktk maporomoko ya mto pangani nenda kagugo.
Kwamba waliyajenga hivyo tusijenge na sisi, tuwarudishe wakoloni watujengee? Au tunabishana nini hasa?
 
Kwamba waliyajenga hivyo tusijenge na sisi, tuwarudishe wakoloni watujengee? Au tunabishana nini hasa?
Ndo maana nakwaambia we ni mmoja wa wale washenzi, yaani mwendakuzimu kujenga flyova ndo iwe justification ya kuminya na kuua Uhuru wa asiokubaliana nao kiitikadi? Kama shida ilikuwa ni miundombinu akina nyerere waliondoa mkoloni wa nini? Mbona hata hao wakoloni waliunda miundombinu tofauti tofauti?
 
acheni kujifariji Samia huyu ni yule yule aliewafanyia mtimanyongo kwenye bunge la katiba.
Mlitaka Magufuli afe,lakini hamkujua Magufuli akifa mtafanya nini,matokeo yake ni haya mnajikuta mnasahau kwamba ccm bado wapo madarakani
Hapo kwenye...

Hamkujua Magu akifa mtafanya nini...

Mmh! Ngachoka!
 
Wapi nimesema kujenga flyover ndio justification ya kuua watu? Kila nchi ina Intelligensia yake, na kama mtu ni hatari kwa taifa kuna mechanism ya kumu-elliminate, hiyo ipo duniani kote, CIA wameua viongozi wangapi wa KiAfrika kisa tu wanatikisa maslahi yao? Sembuse kwa anaetutia mashakani na yupo nchini kwetu....,
 
Tuambie huo upande wa pili ni upo
 
Nimesoma mkuu hiyo post Magufuli alikuwa mgonjwa wa moyo zamani, na huyu alikuwa anafahamu. So obviously alikuwa na information za ndani juu ya Hali tete ya Rais alitumia kupredict his end.
Basi hukusoma kwa umakini
 
Maono lazima yatimie vinginevyo siyo maono ni mpango mkakati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…