King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
King Kong III utabisha na hapa tena?
Ngoja tuone itakavyokuwa hiyo mwakani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
King Kong III utabisha na hapa tena?
Mimi nauliza kwani kuna makubaliano yoyote ambayo Rais anaingia nanyi kabla hajawa rais?Nimekusoma mkuu
Changamoto ya kwanza ni katiba. Rais anapata madaraka yake kwenye katiba ambapo 'theState', pamoja na kuwa na capacity, wako well trained kujua mipaka yao, kwamba lazima katiba na sheria ziheshimiwe.
Ikiwa sisi tutaona ni sawa kuvunja katiba na kuyapoka madaraka ya rais, basi nasi hatutakuwa tofauti na hao tutakaokuwa tunataka kuwapoka madaraka. Lazima kila mtu afanye kazi kwenye misingi ya utawala wa sheria.
Ajenda kuu na ya mwanzo kwa sasa, hasa kuanzia kipindi kile cha awamu ya nne na yaliyotokea awamu ya tano, ni uundwaji wa katiba mpya. Sasa imekuwa lazima na pressure imekuwa kubwa sana hata pale 'stpeters'.
Kwa miaka mingi 'stpeters' pale kumekuwa na nguvu kubwa kwenye kulinda wakubwa. Lakini sasa kwa madhaifu ya nyuma na matatizo ya hapa karibuni, wapo wanaoona umuhimu wa kuwa na taasisi zitakazofuata msingi ya sheria na haki.
Kumbuka 'stpeters' na 'theState' sio taasisi moja. Hawa 'theState' wao wametoa muda mpaka mwakani kwa mchakato wa katiba kuanza. Nachelea kusema kama 'aliyepewa muda' hataanza hili inaweza kuwa 'too late' kwake.
Sasa kule 'stpeters' bado kuna wale conservatives ambao wanataka mambo yaende hivihivi na wanaamini wanazo means za kuhakikisha inabaki hivi. Wapo ambao wanashughulikiwa kimyakimya na muda mchache hawatakuwepo tena. Watakaobaki wakiendelea wanaweza kufanya too late ya 'aliyepewa muda' isiwe beyond mwakani.
Traditionally, kwenye miradi huko na utendaji kuliachiwa wanasiasa. Maslahi ya kiuchumi yaliachwa sana kwa watendaji serikalini. Mabadiliko ya kuweza kuwa na 'economic intelligence' kwenye taasisi ya pale 'stpeters' yatakuja mfumo wote utakapobadilishwa.
Yaani hii itakuwa transformation kubwa sana kuona focus isiwe tu kwenye ulinzi na usalama bali iende pia kwenye uchumi na biashara. Hapa bado kuna jukumu kubwa sana ila najua wapo watu kadhaa pale 'stpeters' wamekuwa wakipikwa kwa takribani miaka 12 sasa. Mmoja wao akipewa kuongoza ile idara basi anaweza kuleta tija.
Mpaka wakati huu hakujakuwa na vitendo vya kulipiza kisasi. Watu wamebadilishwa na wengi wamepewa nafasi nyingine, tena zenye heshima kabisa, ili wapate nafasi ya kujitafakari na kujipanga. Ila utashi wa kisiasa utaamua nani abaki na nani aendelee.
Mie nasubiri 2022 nione mchakato wa new constitution ndo ntaamini.Ndipo nilipo amini uzi wake wa kwanza na huu wa pili
Nawapongeza kwa kumuua dhalimu lkn bado ntawalaumu kwanini walichelewa? Yule dhalimu hakupaswa kumaliza mwaka akiwa ikulu.Eti thestate, mkuu acha kutisha watu
Mnachokipigania nyinyi ni matumbo yenu tu, wenye akili wanawajua
Tunajua nyinyi ni kakikundi flani ka kihuni ambako, maslahi yao yaliguswa, hamna maslahi yeyote na taifa hili
Mngekua mpo kwa ajili ya taifa hili, hata kikwete mngemuondoa
Ila kwasababu mpo kwa ajili ya matumbo yenu ndio maana hamkuona udhaifu wa kikwete, maana hakuwagusa
NB: ni kweli mlimuua Magufuli, na mlianza na Mkapa maana mlijua atakua kikwazo kwenu.
Usijeniquote tena afu ukaandika ujinga.Nawapongeza kwa kumuua dhalimu lkn bado ntawalaumu kwanini walichelewa? Yule dhalimu hakupaswa kumaliza mwaka akiwa ikulu.
Nimekusoma mkuu
Changamoto ya kwanza ni katiba. Rais anapata madaraka yake kwenye katiba ambapo 'theState', pamoja na kuwa na capacity, wako well trained kujua mipaka yao, kwamba lazima katiba na sheria ziheshimiwe.
Ikiwa sisi tutaona ni sawa kuvunja katiba na kuyapoka madaraka ya rais, basi nasi hatutakuwa tofauti na hao tutakaokuwa tunataka kuwapoka madaraka. Lazima kila mtu afanye kazi kwenye misingi ya utawala wa sheria.
Ajenda kuu na ya mwanzo kwa sasa, hasa kuanzia kipindi kile cha awamu ya nne na yaliyotokea awamu ya tano, ni uundwaji wa katiba mpya. Sasa imekuwa lazima na pressure imekuwa kubwa sana hata pale 'stpeters'.
Kwa miaka mingi 'stpeters' pale kumekuwa na nguvu kubwa kwenye kulinda wakubwa. Lakini sasa kwa madhaifu ya nyuma na matatizo ya hapa karibuni, wapo wanaoona umuhimu wa kuwa na taasisi zitakazofuata msingi ya sheria na haki.
Kumbuka 'stpeters' na 'theState' sio taasisi moja. Hawa 'theState' wao wametoa muda mpaka mwakani kwa mchakato wa katiba kuanza. Nachelea kusema kama 'aliyepewa muda' hataanza hili inaweza kuwa 'too late' kwake.
Sasa kule 'stpeters' bado kuna wale conservatives ambao wanataka mambo yaende hivihivi na wanaamini wanazo means za kuhakikisha inabaki hivi. Wapo ambao wanashughulikiwa kimyakimya na muda mchache hawatakuwepo tena. Watakaobaki wakiendelea wanaweza kufanya too late ya 'aliyepewa muda' isiwe beyond mwakani.
Traditionally, kwenye miradi huko na utendaji kuliachiwa wanasiasa. Maslahi ya kiuchumi yaliachwa sana kwa watendaji serikalini. Mabadiliko ya kuweza kuwa na 'economic intelligence' kwenye taasisi ya pale 'stpeters' yatakuja mfumo wote utakapobadilishwa.
Yaani hii itakuwa transformation kubwa sana kuona focus isiwe tu kwenye ulinzi na usalama bali iende pia kwenye uchumi na biashara. Hapa bado kuna jukumu kubwa sana ila najua wapo watu kadhaa pale 'stpeters' wamekuwa wakipikwa kwa takribani miaka 12 sasa. Mmoja wao akipewa kuongoza ile idara basi anaweza kuleta tija.
Mpaka wakati huu hakujakuwa na vitendo vya kulipiza kisasi. Watu wamebadilishwa na wengi wamepewa nafasi nyingine, tena zenye heshima kabisa, ili wapate nafasi ya kujitafakari na kujipanga. Ila utashi wa kisiasa utaamua nani abaki na nani aendelee.
Eti thestate, mkuu acha kutisha watu
Mnachokipigania nyinyi ni matumbo yenu tu, wenye akili wanawajua
Tunajua nyinyi ni kakikundi flani ka kihuni ambako, maslahi yao yaliguswa, hamna maslahi yeyote na taifa hili
Mngekua mpo kwa ajili ya taifa hili, hata kikwete mngemuondoa
Ila kwasababu mpo kwa ajili ya matumbo yenu ndio maana hamkuona udhaifu wa kikwete, maana hakuwagusa
NB: ni kweli mlimuua Magufuli, na mlianza na Mkapa maana mlijua atakua kikwazo kwenu.
Tatizo hukosima aliyoyaandika mwaka JanaMsitishe Madame President, Tanzania iko imara na Hayati John P. Magufuli alifariki kifo Cha kawaida na kila mtu anajua na sio ule utabiri wako feki.
Pengine sababu kuu ni ukaidi wake wa namna ya kupambana na COvid-19 na kisha akaji- expose kupita kiasi ili Hali alikuwa katika kundi hatarishi. Hili lilionekana dhahiri na hata lilionekana wazi linaweza muathiri kama ilivyotokea kwa Mkurunzinza.
You're nobody...wewe ni kama wasaliti wengine walioko kwenye serikali wenye access ya information muhimu ambao wanavujisha kabla hazijatangazwa.
Imeamuliwa 'next stage' isitishwe. Baadhi ya maombi ya unyenyekevu ya 'theState':
1. Sheria zifuatwe na zile zisizofaa zibadilishwe.
2. Mwakani kuwe na mwendelezo wa kuandika katiba ambapo bunge liundwe na lisilazimike kuingiza wabunge waliopo sasa isipokuwa wale wenye tija.
3. Wabunge wasiokuwa halali waondolewe kutoka bungeni.
4. Ikiwezekana yale majimbo na kata ambayo ilionekana kabisa kulikuwa na upotoshaji wa matokeo basi uchaguzi urudiwe. Uchaguzi wa serikali za mitaa usubirie mpaka katiba mpya.
5. Stahiki za wafanyakazi wa umma na wastaafu zilipwe. Fao la kujitoa lirejeshwe kwa wale waliopoteza ajira.
6. Fungua milango ya nchi ili biashara na mitaji ikaribie na ku-unlock uchumi. Wawekezaji wakaribishwe kwa sera na sheria wezeshi.
7. Wananchi kule kimara walipwe fidia na kwingineko ambapo watu waliumizwa.
8. Ofisi ya DPP na mwanasheria mkuu ifumuliwe na watu watendewe haki.
9. Watendaji wote 'walio-dance the tune' na kuvunja sheria huku wakiumiza watu waondolewe.
10. Miradi ya SGR na Stiegler's iendelezwe pamoja na ile ya barabara lakini upembuzi ufanyike ili ikiwepo isiyo na tija iachwe.
11. Kuna tatizo kubwa sana deni la taifa.. angalau punguza sasa kukopa na weka mazingira ili uvutie wawekezaji na hasa wale wa ndani ambao wameficha matrilioni ardhini na nje ya nchi.
12. Uchunguzi huru ufanyike kwa yale matukio yote ya utekaji, mauaji na mashambulizi dhidi ya binadamu.
13. Ondoa elimu bure kwasababu inajenga taifa lenye 'irresponsible' minds. Angalia namna ya kubadilisha mfumo wa elimu ili uendane na nyakati tulizonazo.
14. Fanya maridhiano na wapinzani na taasisi zilizotengwa ili kuleta umoja wa kitaifa.
15. Serikali iendelee kubaki Dodoma na ikiwezekana ikulu ya Dar es salaam pajengwe kituo maalum cha utalii.
16. Chama bado kina misingi mizuri, imarisha kwa kuteua watu wenye maono na uzalendo kwa nchi.
17. Sisi hatutakuja kukuingilia, teua na unda timu kwa kadri unavyoona inafaa.. watendee watu haki nasi tutaendelea kukuunga mkono.
18. Mpaka sasa umetuonesha mwanga mwema nasi kwakuwa tunaipenda nchi tumesitisha 'mipango' yetu ili utimize majukumu yako na kusimamia haki.
Tulishauri, hakusikiliza na sasa hayupo. Nimepewa ujumbe, nimeufikisha.
Kwakweli kama ndio hivi, tumekwisha, Mungu tu atunusuruEti thestate, mkuu acha kutisha watu
Mnachokipigania nyinyi ni matumbo yenu tu, wenye akili wanawajua
Tunajua nyinyi ni kakikundi flani ka kihuni ambako, maslahi yao yaliguswa, hamna maslahi yeyote na taifa hili
Mngekua mpo kwa ajili ya taifa hili, hata kikwete mngemuondoa
Ila kwasababu mpo kwa ajili ya matumbo yenu ndio maana hamkuona udhaifu wa kikwete, maana hakuwagusa
NB: ni kweli mlimuua Magufuli, na mlianza na Mkapa maana mlijua atakua kikwazo kwenu.
Mshenzi mkubwa wewe, ukitoka hapo unaenda kupita Kijazi flyover kumuwahi basha wako, bogusNawapongeza kwa kumuua dhalimu lkn bado ntawalaumu kwanini walichelewa? Yule dhalimu hakupaswa kumaliza mwaka akiwa ikulu.
Umejibu majibu mazito sana mkuuMkuu 'theState' ina wajibu juu ya taifa tu. Haina 'feelings' towards or against any individual. We are only loyal to the nation.
Pia taasisi hii tangu kuasisiwa kwake haijihusishi na vitendo vya mauaji au kuleta maumivu kwa watu.
kama ni hivyo basi atakuwa ni mpiga ramli mzuriWe mleta mada unazingua tu. Unajifanya mtu nyeti ktk info za chini ya kapeti, kumbe ni mpiga ramli kama wengineo.
Hivi unajibu kwa kutumia kichwa au tumbo mkuuHuwezi kumhukumu Bashiru kwa maneno aliyoongea jukwaani. Ye alikuwa mwanasiasa, wanasiasa wanaongea chochote popote ilimradi kumtisha mpinzani wao.
Hata hivyo ukiamua kuyatilia maanani maneno yake hasa yale ya dola, utaona kuwa tunahitaji katiba mpya. Kwa namna katiba ilivyo chama tawala ndo kinachomiliki dola.
Mpumbavu babu yako wa chatto, kama dhumuni tu lilikuwa maflyova akina nyerere walikuwa ni wapumbavu wa kutupwa kufanya harakati za kumuondoa mkoloni, make mkoloni angeyajenga nayo tangu mwaka70, nyie ndo yale mashenzi ambayo yako tayari mkewe afilwe kisa tu anayefila kaleta msaada wa chumvi nyumbani, oneni maza kaanza kujenga busisi na sgr mwz to isaka na hajateka wala kuua mpinzani wake kiitikadi.Mshenzi mkubwa wewe, ukitoka hapo unaenda kupita Kijazi flyover kumuwahi basha wako, bogus
Namba 3 na 7 zinaonesha jinsi ambavyo upeo wako ulivyo mdogo! Punguza misokoto ya bangi1: Fufua uchumi imarisha vyanzo vya mapato
2:Ongeza msisitizo kwa watanzania juu ya umuhimu wa kuchapa kazi kukuza uchumi
3:Fungia kabisa shughuli za kisiasa ili watu wapate wasaa wa kufanya kazi.Siasa ziwe wakati wa kampeni tu
3:Jenga miundombinu mingi zaidi kwakuwa ndiyo uti wa mgongo katika kuinua uchumi
4:Tumbua na fuatilia kwa karibu kabisa utendaji wa wateule wako
5:Kipaumbele cha kwanza iwe kuinua uchumi watanzania tuondokane na mateso ya umasikini
6:Fungia vyombo vya habari vinavyoendekeza siasa
7:Funga viongozi wa upinzani wanaoenda kinyume na maazimio ya taifa kwani hawana tofauti na wauaji kwa kujaribu kuua na kutesa wananchi kwa umasikini
8:Fufua mashirika ya serikali yote ikiwezekana wale wanaobainika kuhujumu mashirika ya Umma adhabu iwe kifo
9:Swala la elimu iwe ni lazima ma iwe bure kabisa
10:Kila kijiji kiwe na shamba la kijiji litakalohudumiwa na wanakijiji
11:............
12............