TAARIFA; Matibabu ya Edgar Mwakabela (SATIVA)

Mama Samia kasema atalipa gharama zote za matibabu kuanzia sasa za nyuma wamelipa wasamaria wema wabarikiwe za kuanzia sasa atalipa Raisi Mama Samia hivyo hakuna haja ya michango tena
 
Pamoja na yote hayo, Kwani mpaka sasa hivi POLISI WANASEMAJE??? Hawajaweka Press conference yoyote kulihusu hili swahibu la huyu jamaa???Mkiambiwa kua mnaishi kwenye bara la giza, la nchi masikini sana duniani kwamba uhai wa mtu ni kama chai ya rangi basi mue mnakubali. Sio mkishashiba matapu tapu yenu na tu bia twa Samaki samaki basi mnaanza ngenge bongo New york. Mara Kagame ni dictator, wakati nchini kwake hamna huu upuuzi. Nyanoko bhebhe.
 
Eee Mungu, inua tu watu wako watoe michango.

Hii nchi ni nini hiki
MUNGU ni mkuu Mungu ananguvu kuliko CCM na ndiyo maana leo tumuona hapo amefanya peke yake hana muda na wanaojiita viongozi wa dini wanafiki anajua nao ni wachumia tumbo tu anachora hata uwezo wa watu kumchangia apone ni nguvu zake anataka kutuonesha kwamba yupo hakuna zaidi yake na atawajibu watesi wote.
 
Mi hata simwamini bi Samia. Ina maana hii plot ya dogo alikua haijui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…