TAARIFA MUHIMU: Kama ni Mwenyeji wa Arusha kuna bodaboda wa Kibaha amefariki, ndugu zake wanatafutwa

TAARIFA MUHIMU: Kama ni Mwenyeji wa Arusha kuna bodaboda wa Kibaha amefariki, ndugu zake wanatafutwa

Status
Not open for further replies.

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
IMG-20250309-WA0000.jpg

Pichani anaitwa Kevin Charles.

Jina la maarufu hapa kibaha maili moja anaitwa Masai.

Ni kijana mzaliwa wa Arusha alikuja kibaha kwa harakati za kutafuta pesa KELVIN CHARLES alipata ajali ya pikipiki na kufariki dunia kipindi anakimbizwa katika hospital ya Tumbi majuzi Jumatatu jioni.

Mpaka sasa mwili bado upo Tumbi hospitali mpaka ndugu zake wapatikane.

Hivyo watu wa ARUSHA mliopo humu jamvini sambazeni taarifa hii na picha ya ndugu yenu huyo ili ndugu zake wapatikane.

Hadi sasa anahitaji asitiliwe na serikali imetoa siku 7 ili watafutwe ndugu zake na wasipo patikana watamzika serikali.

NB. Pole kwa bodaboda waliokuwa rafiki wa kijana Kelvin.

=====
UPDATE
Ndugu zake walishapatikana kutoka group za Whatsapp.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom