Taarifa muhimu kwa Umma, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Simon Sirro atakutana na mwenzake wa Msumbiji leo Mkoani Mtwara

Hao ni wanasiasa tu hawana lolote
Waliwahi kuwa na kikao Kama hicho miaka miwili iliyopita na hakuna walichofanya
 
Vikundi vyote vya kigaidi ni attention seekers, hao dawa yao ni kuwakamata mmoja mmoja bila kuwapiga mkwara. Ukipiga mkwara tu wanapata Air time kwenye media, lengo lao linatimia.
 
msumbiji wamekodisha mpaka askari kutoka ufaransa lakini imeshindikana
 
Sirro embu waingize wale jamaa ambao hua wanaingiaga uwanja wa taifa kwa kurukaruka na mibegi mgongoni na mitutu wakati wa sherehe za kitaifa wafanye shuhuli hapo chap wamalize hao wapuuzi vigaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…