Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Huko hapana maswala ya kunywea maji kwenye vibuyu hayafai.Msata Kilingeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko hapana maswala ya kunywea maji kwenye vibuyu hayafai.Msata Kilingeni
Karibu sana.. Karibu bila shakaHabari Kaka mkubwa ,heshima kubwa kwako .
Mimi nina Jambo nataka kuongea na wewe alafu nitakuwa na mda siku ya sikukuu ,naomba nikubalie siku hiyo nije kwako tuzungumze maana hili Jambo linanitatiza Sana .
Ila naomba ukubali kunisikiliza Ila nyumbani kwako
Nilijua unasema karibu,kumbe kila mtu akiweza afanye nyumbani kwake?Mimi hasara sina kama huyo mwamba hapo juu tu.