Taarifa: waandamana kupinga ujio waBUSH

Taarifa: waandamana kupinga ujio waBUSH

Mwafrika wa Kike,
Kila kitu kinahitaji organisation fulani. Hakuna jumuiya yoyote ya kisiasa ama kijamii ambayo ilikuwa tayari kuandaa maandamano haya kwa sababu ambazo siwezi kuzifahamu. Hii ikiwa ni pamoja na Bakwata ama toka dini dhehebu jingine. Hawa viongozi wa dini ktk msikiti huo ambao huwezi sema waislaam wote kama wanavyotaka tuamini kwani wana dhehebu lao na msikiti ndipo hoja ilipoanzia. Kama vile Mtikila akiongoza maandamano toka kanisani kwake hivi kweli nitashindwa kwenda kwa sababu ni mkristu?....
Hawa watu ndio pekee wanaume waliojijenga wakasema ni lazima tumwonyesha Bush kuwa hatukubaliani na siasa zake. Sasa swala la kuandaman halina mitulinga huwezi kuvuta watu kwa nguvu, hili huwa ni swala la jumuiya fulani inayo organise kisha hupatikana watu ku support na kuomba kibali kisheria. Yote haya yalifanyika wadanganyika wakijua wazi kwa nini wao wasisimame na kusema noo wazo lenu zuri lakini let us organise nje ya msikiti!

Tatizo la Bongo maadam swala hili lilikuwa raised na waislaam basi pale tayari kulikuwa na Mgawanyiko. Na wengine baadhi viongozi waislaam kwa sababu hawakubaliani na maono hayo walikuwa against, hivyo basi tusijenge hoja ya kusema waislaam. No ni baadhi ya watu ambao kwa kutumia jumuiya yao wamejenga hoja wakaiwakilisha ktk vyombo vya Usalama na wakakubaliwa kuandamana. Taarifa zilipelekwa ktk vyombo vya habari kutaka watu washiriki lakini ndio hivyo wachache walijitokeza kama ile issue ya vyama vya Upinzani kuungana na kufanya maandamano ya pomja ambayo hayakuhudhuliwa na Wadanganyika wengi. Reason being hawa waliwaona wachawi tu, lakini sio siku aliyopokelewa Zitto baada ya mtu huyo kujitoa Mhanga.
We always wait for someone kujitoa mhanga kisha tukiona mambo salama basi ndio tunakimbilia kupongeza..Hata mwalimu Nyerere alipata taabu sana tena basi kwa habari nilizozisikia kuna watu waliokuwa wakitoa taarifa za Nyerere na wanamapinduzi wa Tanu ktk kila walichokuwa wakikifanya. Ilibidi mikutano yao iwe ya siri na hata malazi yao yalikuwa siri kubwa.. Mbona watu hatukujiuliza kwa nini lisiwe Uhuru wetu ni swala la Taifa zima na sio TANU peke yake..
Hii ndio problem kubwa ya Wadanganyika dada yangu nadhani hata hapo Marekani utaona wadanganyika wapo radhi kwenda kunywa ama kula ktk Bar ya Mkenya ama Mpopo (Nigeria) lakini sio ya Mbongo na sababu ni tofauti fulani ya Utanzania wake..Hata jumuiya zetu zimekuwa na utata huo huo kwa sababu tunatazama zaidi ni mtu gani ameandaa jumuiya hiyo, na mara zote huwa tunawababaikia matapeli, mafisadi watu kama kina Mkapa, Yona, Lowassa, Karamagi, Mama Meghiji na sio kina Malecela, Warioba, Salim ambao hawakuweza kuiba. If they can't steal then how can they lead us?...
Taifa la Amani na Utulivu..
 
Mwafrika wa Kike,
Kila kitu kinahitaji organisation fulani. Hakuna jumuiya yoyote ya kisiasa ama kijamii ambayo ilikuwa tayari kuandaa maandamano haya kwa sababu ambazo siwezi kuzifahamu. Hii ikiwa ni pamoja na Bakwata ama toka dini dhehebu jingine. Hawa viongozi wa dini ktk msikiti huo ambao huwezi sema waislaam wote kama wanavyotaka tuamini kwani wana dhehebu lao na msikiti ndipo hoja ilipoanzia. Kama vile Mtikila akiongoza maandamano toka kanisani kwake hivi kweli nitashindwa kwenda kwa sababu ni mkristu?....

Hili ni kweli na mimi nakubaliana nalo..... lakini vipi kuhusu mabango na sentiment kuwa wanapiga suala la Bush kuwauwa waislam (na wala sio waarabu au wasomali au waburushi?). Watu wengi wangeweza kujiunga na maandamano lakini kama moto wa maandamano ni kupinga mauaji ya waislam na sio ya binadamu wengine bila kujali dini zao inakuwa vigumu kwa watu wengine ambao sio waislam kujiunga.


Hawa watu ndio pekee wanaume waliojijenga wakasema ni lazima tumwonyesha Bush kuwa hatukubaliani na siasa zake. Sasa swala la kuandaman halina mitulinga huwezi kuvuta watu kwa nguvu ni hili huwa ni swala la jumuiya fulani inayo organise kisha hupatikana watu ku support.
Tatizo la Bongo maadam swala hili lilikuwa raised na waislaam basi pale tayari kulikuwa na Mgawanyiko. Na wengine baadhi viongozi waislaam kwa sababu hawakubaliani na maono hayo walikuwa against, hivyo basi tusijenge hoja ya kusema waislaam. No ni baadhi ya watu ambao kwa kutumia jumuiya yao wamejenga hoja wakaiwakilisha ktk vyombo vya Usalama na wakakubaliwa kuandamana. Taarifa zilipelekwa ktk vyombo vya habari kutaka watu washiriki lakini ndio hivyo wachache walijitokeza kama ile issue ya vyama vya Upinzani kuungana na kufanya maandamano ya pomja ambayo hayakuhudhuliwa na Wadanganyika wengi. Reason being hawa waliwaona wachawi tu, lakini sio siku aliyopokelewa Zitto baada ya mtu huyo kujitoa Mhanga.
We always wait for someone kujitoa mhanga kisha tukiona mambo salama basi ndio tunakimbilia kupongeza..Hata mwalimu Nyerere alipata taabu sana tena basi kwa habari nilizozisikia kuna watu waliokuwa wakitoa taarifa za Nyerere na wanamapinduzi wa Tanu ktk kila walichokuwa wakikifanya. Ilibidi mikutano yao iwe ya siri na hata malazi yao yalikuwa siri kubwa.. Mbona watu hatukujiuliza kwa nini lisiwe Uhuru wetu ni swala la Taifa zima na sio TANU peke yake..

Nilipokuwa bado mtoto nakumbuka yale maandamano ya wanafunzi wa chuo kikuu wakati wa utawala wa Mwinyi ya kudai katiba huru na haki za raia. Nakumbuka kabisa kuwa jamaa pia walipinga suala la kuanzisha cost sharing ambayo serikali ilikuwa inataka kuanzisha kuanzisha.

Nakumbuka kabisa kuwa wananchi mtaani na sisi watoto tuliwapondea wanafunzi kwa ubinafsi na wazazi wetu wakaandamana kesho yake kuipongeza na kuiunga mkono serikali ya Mwinyi bila kujua kuwa miaka mingi baadaye sisi watoto tutakuwa tumefikia umri wa kusoma chuo kikuu na sisi ndio tutalazimika kulipa hizi gharama (na sio wale waliokuwa wakiandamana).

Wakati juzi serikali ikitangaza kuwa wanafunzi wa chuo kikuu waanze kulipia asilimia 40, anti yangu mmoja alilalamika kweli kuwa serikali haijali watu na mimi kwa umbea nikamkumbusha vile alivyoandamana kupinga jamaa wa mlimani kwa maandamano yao.

Najaribu kabisa hapa nisiwe kama anti yangu kwa kupondea maandamano haya ya waislam bila kufikiri kwa upana kuwa jamaa wanafanya kitu kikubwa kwa nchi na uhuru wa kujieleza. Kinachotia wasiwasi ni sentiment za kidini na nothing more!

Hii ndio problem kubwa ya Wadanganyika dada yangu nadhani hata hapo Marekani utaona wadanganyika wapo radhi kwenda kunywa ama kula ktk Bar ya Mkenya ama Mpopo (Nigeria) lakini sio ya Mbongo na sababu ni tofauti fulani ya Utanzania wake..Hata jumuiya zetu zimekuwa na utata huo huo kwa sababu tunatazama zaidi ni mtu gani ameandaa jumuiya hiyo, na mara zote huwa tunawababaikia matapeli, mafisadi watu kama kina Mkapa, Yona, Lowassa, Karamagi, Mama Meghiji na sio kina Malecela, Warioba, Salim ambao hawakuweza kuiba. If they can't steal then how can they lead us?...
Taifa la Amani na Utulivu..

Asante kabisa Mkandara, nafikiri ungekuwepo siku memba mmoja hapa alivyowaambia wana JF kuwa wanamsakama Mkullo kwa vile ni muislam (hata sijui dini ya Mkullo ni ipi) bila kujali kuwa hao hao wana JF ndio walimshikia bango Lowasa (nasikia ni mkristo) mpaka akajiuzulu?!?!

Kazi iko mbele yetu lakini tutafanikiwa tu!
 
Unafiki mwengine hata haueleweki, eti mtu hajuwi kama MUSTAFA Mkullo ni Muislam na hajuwi kama EDWARD Lowassa ni Mkristo!

Mijitu mingine hata sijuwi inafikiri watu wote ni watoto wadogo kama wao humu kwenye JF.
 
Hivi mnajua baadhi ya walioandamana kupinga ujio wa Bush kesho yake ndiyo walikuwa wamejipanga na vibendera vya Marekani wakinyosha mikono ili wampungie? Unajua baadhi yao watoto wao wakipewa neti za kuzuia Malaria watazipokea kwa mikono ya shukrani? Hivi Unajua kama Marekani ikigoma kutoa misaada hii mingine ya kijamii watu wangeona makosa kuwa "bush haipendi Afrika, Tanzania"? Kwa maneno mengine hakuna kitu ambacho Bush anaweza kufanya kikamfurahisha kila mtu..
 
Unafiki mwengine hata haueleweki, eti mtu hajuwi kama MUSTAFA Mkullo ni Muislam na hajuwi kama EDWARD Lowassa ni Mkristo!

Mijitu mingine hata sijuwi inafikiri watu wote ni watoto wadogo kama wao humu kwenye JF.


yaani kwa kuangalia majina umeshaamua nani ni mkristu na nani ni muislamu? Mkristu au Muislamu hajulikani kwa kuingia Msikitini au Kanisani...
 
Hivi mnajua baadhi ya walioandamana kupinga ujio wa Bush kesho yake ndiyo walikuwa wamejipanga na vibendera vya Marekani wakinyosha mikono ili wampungie? Unajua baadhi yao watoto wao wakipewa neti za kuzuia Malaria watazipokea kwa mikono ya shukrani? Hivi Unajua kama Marekani ikigoma kutoa misaada hii mingine ya kijamii watu wangeona makosa kuwa "bush haipendi Afrika, Tanzania"? Kwa maneno mengine hakuna kitu ambacho Bush anaweza kufanya kikamfurahisha kila mtu..

Hii ni puzzle kubwa sana hapa na ndio maana nikaweka mifano ya saudi arabia na kwingine maana wakati ambapo wengine wanapinga kwa nguvu sana safari za Bush viongozi wa sehemu kama Dubai wanatoa day off ili watu wampokee mzee kichaka,

Hii ni kazi kubwa sana!
 
yaani kwa kuangalia majina umeshaamua nani ni mkristu na nani ni muislamu? Mkristu au Muislamu hajulikani kwa kuingia Msikitini au Kanisani...

Exactly,

Sidhani kama ukiona mtu akitoka msikitini au kanisani basi hiyo ni sababu tosha ya kumfanya awe muislam au mkristo respectively.

Kuwa na imani ni zaidi ya kudai kuwa una imani fulani au kuwa na majina fulani?!
 
yaani kwa kuangalia majina umeshaamua nani ni mkristu na nani ni muislamu? Mkristu au Muislamu hajulikani kwa kuingia Msikitini au Kanisani...

nani asiyejuwa kuwa Mustafa ni jina lingine la Mtume Muhammad, na mkiristo gani umjuwaye wewe anaitwa hivyo? au mTanzania gani asiyejuwa hayo? Au mTanzania gani asiyejuwa kama Edward Lowassa ni Mkristo.

Mambo ya kitoto hayo, hebu tuwe watu wazima kidogo.
 
Exactly,

Sidhani kama ukiona mtu akitoka msikitini au kanisani basi hiyo ni sababu tosha ya kumfanya awe muislam au mkristo respectively.

Kuwa na imani ni zaidi ya kudai kuwa una imani fulani au kuwa na majina fulani?!

Utoto huo, imani na dini ni vitu tofauti unaweza kuwa na imani na uKiristo/mKiristo lakini usiwe mKiristo na hali kadhalika unaweza kuwa na imani na uIslam/muIslam lakini usiwe muIslam.

Mtume Muhamad (SAW) alipowaamrisha immigrants wa kwanza wa kiIslam kwenda Habash (present Ethiopia) alikuwa ana imani na mfalme waKiKiristo wa huko kuwa hawatowadhuru waIslam watapokwenda. Na mfalme wa huko baada ya kuhadithiwa na waIslamu hao ujio wao akawa na imani na waIslam hao kuwa si watu wabaya akawapokea...

Huo ni mfano tu wa imani.
 
Mwafrika wa Kike,

Shukran nadhani kipengele ambacho nimekiacha wazi ni hicho cha kwanza ulipouliza I quote:- Lakini vipi kuhusu mabango na sentiment kuwa wanapiga suala la Bush kuwauwa waislam (na wala sio waarabu au wasomali au waburushi?). Watu wengi wangeweza kujiunga na maandamano lakini kama moto wa maandamano ni kupinga mauaji ya waislam na sio ya binadamu wengine bila kujali dini zao inakuwa vigumu kwa watu wengine ambao sio waislam kujiunga.

Dadaangu nilishasema kuwa waislaam sio waarabu na yote haya yametokana na maneno yake Bush mwenyewe ambaye alikuja katazwa kutumia dini kama ndio adui wa Marekani. NI lugha iliyoanzishwa na Wamarekani wakatuita sisi mashetani, dini ya mashetani, hadi leo huwezi kumtaja gaidi bila kutumia neno Muislaam kwa sababu Osama na huyo Mullah ni waislaam, lakini kama ulivyosema hawasemi ama kutumia neno hili wanapozungumzia watu kama Sultan wa Saudia, Karzai, Musharaf na kadhalika hali nao ni waislaam. Waislaam kulazimishwa kutovaa nguo zao wakiwa US ama Ulaya lakini hawa waamerika wakienda nchi za waislaam wanataka haki ya kuvaa nguo zao wenyewe.. I mean sielewi kabisa nini policy za Marekani nchi za nje...kisha wanadai wao mabingwa wa haki ya kuabudu sijui nani mwenye haki haswa!
Kuna mifano mingi sana imewahi tolewa na utawala wa Bush ku wa identify waislaam ktk maswala ya Ugaidi, hata neno Allah Akbar kuwa ni uislaam kumbe hili ni neno la Kiarabu ambalo hata Mkristu mwarabu husema hivyo hivyo kuwa Mungu ni mkubwa...
Sasa basi tuzitazame facts, wanaokufa huko Iraq, Afghanstan ni kina nani baada ya kuwa devided?...Majuzi tu wale Ma kudish walikuwa wakivamiwa na majeshi ya Turkey nao waislaam lakini uliona Iraq iliyoungana kujibu mashambulizi?..hapana! their main point waliyotaka kuipeleka duniani walijua wazi kuwa Osama na Mullah sio Wa Afghanstan ila ni waislaam, Saadam mwarabu lakini he is gone sasa waliobaki ni watu wa makabila tofauti kinachowaunganisha ni dini yao. So lets, use the religion ku potray ubaya wa dini hii ili waendelee kuwepo nchi hizo..
Hivyo tunachojaribu kujenga hapa ni swala la wanyonge, waislaam wanakandamizwa na kubanwa kila kona yaani tunashindwa hata kupumua. Hapa JF penyewe inapofikia issue ya Uislaam inakuwa kazi kubwa kujieleza kutokana na maneno ya Bush na hata hao kina Osama. Je, kwa nini hata nyie msitumie Uarabu wao, Usomali wao, na Uburushi wao kuelezea mabaya yao?.. why Islam...Ukiweza nipa jibu hilo nitafurahi zaidi.

Kutokana na siasa za Marekani. It doesn't matter mtawala ni dini ama jina gani. Nitarudia kuwa Uislaam ni jinsi tunavyoishi kwa msisitizo wa amani..Amani ambayo haiwezi patikana bila majeshi ya Marekani kuondoka sehemu hizo na kuwaacha huru.
I, total believe kuwa kama sio Marekani kuingilia nchi hizi na kujenga puppets wake nchi hizi zingekuwa salama na hatuwezi kuwa judge mfano mwingine Wazaire wote kwa sababu Mobutu alikuwa Mzaire, yet tunapozungumzia walioonewa ni lazima tu address kuwa walikuwa wazaire hata kama wapo watu wa mataifa mengine wanaishi nchi hiyo.
Labda nihitimishe maoni yangu hapa ni jinsi tulivyofunzwa na kulelewa maanake hizi dini nazo sometimes zinaongeza mambo mengi ya ajabu ajabu... kama ujuavyo nimejipachika jina la Exploration of reality.. inauma lakini ndio ukweli dadaangu.

Mfano ni hulka ya Mkristu wa Ki-Tanzania kulia... Ohh Yesu wangu wee! Ohhh Mungu wangu! anapoonewa ama kufikwa na balaa! after the fact!...na mara nyingi hukubali kuendelea kuonewa sijui ndio hiyo geuka shavu la pili anapopigwa kofi...yaani akitegemea Mungu kumsaidia toka ktk balaa hilo, hali muislaam husema Mungu mkubwa ama Mungu wangu anapotaka kujibu mashambulizi na hakubali kupigwa zaidi...kwani wao to defend yourself ni wajibu sio swala la Mungu tena..
 
Mwafrika wa Kike,

Shukran nadhani kipengele ambacho nimekiacha wazi ni hicho cha kwanza ulipouliza I quote:- Lakini vipi kuhusu mabango na sentiment kuwa wanapiga suala la Bush kuwauwa waislam (na wala sio waarabu au wasomali au waburushi?). Watu wengi wangeweza kujiunga na maandamano lakini kama moto wa maandamano ni kupinga mauaji ya waislam na sio ya binadamu wengine bila kujali dini zao inakuwa vigumu kwa watu wengine ambao sio waislam kujiunga.

Dadaangu nilishasema kuwa waislaam sio waarabu na yote haya yametokana na maneno yake Bush mwenyewe ambaye alikuja katazwa kutumia dini kama ndio adui wa Marekani. NI lugha iliyoanzishwa na Wamarekani wakatuita sisi mashetani, dini ya mashetani, hadi leo huwezi kumtaja gaidi bila kutumia neno Muislaam kwa sababu Osama na huyo Mullah ni waislaam, lakini kama ulivyosema hawasemi ama kutumia neno hili wanapozungumzia watu kama Sultan wa Saudia, Karzai, Musharaf na kadhalika hali nao ni waislaam. Waislaam kulazimishwa kutovaa nguo zao wakiwa US ama Ulaya lakini hawa waamerika wakienda nchi za waislaam wanataka haki ya kuvaa nguo zao wenyewe.. I mean sielewi kabisa nini policy za Marekani nchi za nje...kisha wanadai wao mabingwa wa haki ya kuabudu sijui nani mwenye haki haswa!

Mkandara,

kama vile ilivyo makosa kabisa kuunganisha uislam na ugaidi, ni hivyo hivyo inabidi iwe makosa kuunganisha mambo ya Bush kuwa ndio sera ya wamarekani wote au wakristo wote in this case.

Unajua mpaka sasa hivi wapinzani wakubwa kabisa wa vita ya Iraq hapa US ni maseneta wayahudi (kina Kohl na wenzake), unajua kuwa aliyepinga kwa wazi kabisa hii vita ya Iraq kabla hata haijapiganwa alikuwa ni yule hayati senator Welstone (ambaye ni yahudi). Lakini angalia dunia nzima watu wote wanavyowashikia mabango wayahudi kwa vita ya Iraq bila kabisa kutenganisha watu wachache na dini ya kiyahudi.

Hii generalization ipo sana na nafurahi sana unavyojaribu kutenganisha hizi dhana mbili ingawa wengi bado hawaoni tofauti kati ya muarabu na muislam (na kuwa akiuwawa mtu Iraq wao wanaona kuwa aliyeuwawa ni muislam na sio muarabu).

Kuna mifano mingi sana imewahi tolewa na utawala wa Bush ku wa identify waislaam ktk maswala ya Ugaidi, hata neno Allah Akbar kuwa ni uislaam kumbe hili ni neno la Kiarabu ambalo hata Mkristu mwarabu husema hivyo hivyo kuwa Mungu ni mkubwa...
Sasa basi tuzitazame facts, wanaokufa huko Iraq, Afghanstan ni kina nani baada ya kuwa devided?...Majuzi tu wale Ma kudish walikuwa wakivamiwa na majeshi ya Turkey nao waislaam lakini uliona Iraq iliyoungana kujibu mashambulizi?..hapana! their main point waliyotaka kuipeleka duniani walijua wazi kuwa Osama na Mullah sio Wa Afghanstan ila ni waislaam, Saadam mwarabu lakini he is gone sasa waliobaki ni watu wa makabila tofauti kinachowaunganisha ni dini yao. So lets, use the religion ku potray ubaya wa dini hii ili waendelee kuwepo nchi hizo..
Hivyo tunachojaribu kujenga hapa ni swala la wanyonge, waislaam wanakandamizwa na kubanwa kila kona yaani tunashindwa hata kupumua. Hapa JF penyewe inapofikia issue ya Uislaam inakuwa kazi kubwa kujieleza kutokana na maneno ya Bush na hata hao kina Osama. Je, kwa nini hata nyie msitumie Uarabu wao, Usolami wao,na Uburushi wao kuelezea mabaya yao?.. why Islam...Ukiweza nipa jibu hilo nitafurahi zaidi.

Mkuu huyu Bush ana idea zake na wala mambo mengine sidhani kama ni sera ya nje ya marekani zaidi tu ya sera ya nje ya watu wachache kwenye serikali ya republicans. Kuna kazi kubwa lakini baada ya muda watu wengi watatambua tofauti ya extremist kwenye pande zote mbili.

Kutokana na siasa za Marekani. It doesn't matter mtawala ni dini ama jina gani. Nitarudia kuwa Uislaam ni jinsi tunavyoishi kwa msisitizo wa amani..Amani ambayo haiwezi patikana bila majeshi ya Marekani kuondoka sehemu hizo na kuwaacha huru.
I, total believe kuwa kama sio Marekani kuingilia nchi hizi na kujenga puppets wake nchi hizi zingekuwa salama na hatuwezi kuwa judge Wazaire wote kwa sababu Mobutu alikuwa Mzaire, yet tunapozungumzia walioonewa ni lazima tu address kuwa walikuwa wazaire.
Labda nihitimishe maoni yangu hapa ni jinsi tulivyofunzwa na kulelewa maanake hizi dini nazo sometimes zinaongeza mambo mengi ya ajabu ajabu... kama ujuavyo nimejipachika jina la Exploration of reality.. inauma lakini ndio ukweli dadaangu.

Mfano ni hulka ya Mkristu wa Ki-Tanzania kulia... Ohh Yesu wangu wee! Ohhh Mungu wangu! anapoonewa ama kufikwa na balaa! after the fact!...na mara nyingi hukubali kuendelea kuonewa sijui ndio hiyo geuka shavu la pili anapopigwa kofi...yaani akitegemea Mungu kumsaidia toka ktk balaa hilo, hali muislaam husema Mungu mkubwa ama Mungu wangu anapotaka kujibu mashambulizi na hakubali kupigwa zaidi...kwani wao to defend yourself ni wajibu sio swala la Mungu tena..

Hapa nakubaliana nawe na I hope kuwa wengi wanaona hii picha kubwa hapa zaidi ya kufanya mambo kwa kutenga na kuchukia wenzao kwa kutumia visingizio vya wengine.
 
Zombe that is not our topic; go straight to the topic; "Taarifa: waandamana kupinga ujio waBUSH"; No rage n Ranting!

soma posts nilizozijibu (quote) uone nani alioanza kutoka kwenye mada, why are you so biased?
 
"unaonaje kama wangeandamana zaidi kama watanzania kuliko kuandamana kama waislam?"
Mkandara, Summary ameitoa Mwafrika, hapo juu! Tumejikomboa kwa wakoloni, sasa tunaanza kutawaliwa na itikadi za KiKristu au Kiislam, kuna wengine hadi mioyo inawauma; Kwa Nini msijisikie WATANZANIA au Wa-Afrika?

UIslam kwanza na vingine vyote baadae!
 
Exactly,

Sidhani kama ukiona mtu akitoka msikitini au kanisani basi hiyo ni sababu tosha ya kumfanya awe muislam au mkristo respectively.

Kuwa na imani ni zaidi ya kudai kuwa una imani fulani au kuwa na majina fulani?!
.


MWANAKIJIJI acha utoto ukiona unashindwa hoja unakimbilia kubadili jina na kutumia la kike ili upewe huruma(Mwafrika wa Kike)

MKANDARA.

Mwafrika wa kike ni yule yule Mwanakijiji ana utoto wa kuingia na majina mengine kama KOBA, MADELA-WA MADILU, MWAFRIKA WA KIKE n.k

turudi kwenye mada vyombo vyote vya habari vya kimataifa vimesema Bush anakuja Tz ili kufuata masilahi ya nchi yake na kusisitiza kuwa AFRICOM ni agenda kuu ya ziara ya bush.

kwanini yuko Arusha kwenye Tanzanite? Ukimwi uko Bukoba vipi hajaenda uko?

Mwanakijiji au Mwafrika wa kike.

mtafute professor JOEL BARKAN yuko washington DC huyu ni mtaalam wa mambo ya Afrika atakupa maelezo ya kina juu ya bush ni mmarekani mwenzake lakini anampinga.vipi wewe au huna makaratasi unaogopa kumpinga utatimuliwa USA? hujaibaka TZ kama umekwama rudi Nyumbani tunakuhitaji hata kwenye kwaya za Kakobe au fanya kama mama Rwekatare omba funds kuwa unaenda kusaidia wajane na yatima na unaenda kufungua kanisa Tanzania, utapata.

jiulize Bush alipeleka jeshi lake somalia akishirikiana na Ethiopia mwaka jana kwanini asipeleke jeshi lake Kenya kutuliza ghasia?kama mpenda amani?

unajua kama DJIBOUT kuna wanajeshi wake 17,00 na Guinea kuna jeshi lake. ameona Tanzania ni eneo tulivu kuweka base yake.

mwanakijijji na Kichuguu.

rais wa China amekuwa akienda Africa kila mwaka toka 2004, kama unafuatilia vyema kulikuwa na African-Chinese Summit ilifanyika china 2006.

Mwaka 2007 kukawa na European-African Summit.
sasa Bush anatumia hii 2008 kuipigia debe nchi yake ni yale yale yamerudi SCRAMBLE FOR AFRICA.hivi sasa wanakuja kwa majina kama wawekezaji, wahisani.

unajua kama mafuta ya Nigeria, ANGOLA na Gabon yanakwenda U.S.A? hivi hamjui kama Tz TUNA mafuta?

miaka yote China imekuwa ikitusaidia kuanzia Tazara, kila mwaka scholarships kwa WaTanzania,kutuletea madaktari ,kusaidia jeshi letu hata vita vya Uganda waChina walifanya kazi kubwa kutupa vifaa na wao kupigana kwa niaba yetu.

nakuomba Mwanakijiji usiache Mbachao kwa msala upitao.

Africom ina Agenda kuu tatu.
1)OIL(2) VITA DHIDI YA CHINA(3) WAR ON TERROR. hana maralia wala Ukimwi hicho ni chambo tu.

KICHUGUU.

Mwalimu Nyerere alikuwa kiongozi wa nchi yetu alikubali kuiasi serikali halali ya Nigeria na kuwa support wakristu wenzake wa Nigeria ya kusini kina General OJUKWU sababu ni wakristu wenzake.

kitendo kile ni cha ajabu. lakini hatujakusikia wewe au Mwanakijiji kusema Nyerere aliteleza. kweli msomi mzima unaumia kuona waislam 2000 wakiandamana kuwa semea watu wa IRAQ na Afghan? Nadhani kama kushangaa tungeanza kwa Mwalimu Nyerere aliyetumia nafasi ya urais kuwasapoti waasi wa serikali halali ya Nigeria.

Bush kapeleka jeshi SERBIA kwa maslahi yake msikilize rais wa SERBIA kasema nini jana?

jana hiyo hiyo Chavez AMESEMA bush hapati mafuta yake hata kwa mtutu.na huko walindamana na vinyango vya bush.

unasema Uislam ni ugaidi nimekupa link ya VYONNE RIDLEY huyu aliishi na Talaban akiwa na fikra kama zako na Mwanakjjj hatimaye akasilimu baada ya kuujua ukweli.

Mwisho.

Wana forum hivi kwanini tunakuwa waongo wa nafsi zetu? Mwanakijiji amekuwa akisema kuwa yeye si mdini huku ukweli ukidhihiri kwenye thread kama hizi, juu ya chuki zake za kidini.

mwanahabari mashuhuri unashindwa kuJUSTIFY maandamano dhidi ya Bush ila kukosoa na kunungunika tu? wewe unatumia majina ya bandia hakuna anyekujua humu bado unaficha hisia zako kali za kidini?. umeshindwa kuwa mkweli humu JF tu? ukipewa nchi tutakujua ukweli wako? kwanini ufiche udini wako wakati wote humu tunatumia pen names with exceptional of KITILA,MNYIKA na Membe?

ungejifunza vizuri kwa mkuu wa kanisa la ANGLIKANA ambaye amekuwa mkweli wa nafsi yake.sisi tutaishi nje ya nchi tutabadili kiingereza na kutakata tu lakini tabia zetu zitabaki zile zile.
 
.


MWANAKIJIJI acha utoto ukiona unashindwa hoja unakimbilia kubadili jina na kutumia la kike ili upewe huruma(Mwafrika wa Kike)

MKANDARA.

Mwafrika wa kike ni yule yule Mwanakijiji ana utoto wa kuingia na majina mengine kama KOBA, MADELA-WA MADILU, MWAFRIKA WA KIKE n.k

turudi kwenye mada vyombo vyote vya habari vya kimataifa vimesema Bush anakuja Tz ili kufuata masilahi ya nchi yake na kusisitiza kuwa AFRICOM ni agenda kuu ya ziara ya bush.

kwanini yuko Arusha kwenye Tanzanite? Ukimwi uko Bukoba vipi hajaenda uko?

Mwanakijiji au Mwafrika wa kike.

mtafute professor JOEL BARKAN yuko washington DC huyu ni mtaalam wa mambo ya Afrika atakupa maelezo ya kina juu ya bush ni mmarekani mwenzake lakini anampinga.vipi wewe au huna makaratasi unaogopa kumpinga utatimuliwa USA? hujaibaka TZ kama umekwama rudi Nyumbani tunakuhitaji hata kwenye kwaya za Kakobe au fanya kama mama Rwekatare omba funds kuwa unaenda kusaidia wajane na yatima na unaenda kufungua kanisa Tanzania, utapata.

jiulize Bush alipeleka jeshi lake somalia akishirikiana na Ethiopia mwaka jana kwanini asipeleke jeshi lake Kenya kutuliza ghasia?kama mpenda amani?

unajua kama DJIBOUT kuna wanajeshi wake 17,00 na Guinea kuna jeshi lake. ameona Tanzania ni eneo tulivu kuweka base yake.

mwanakijijji na Kichuguu.

rais wa China amekuwa akienda Africa kila mwaka toka 2004, kama unafuatilia vyema kulikuwa na African-Chinese Summit ilifanyika china 2006.

Mwaka 2007 kukawa na European-African Summit.
sasa Bush anatumia hii 2008 kuipigia debe nchi yake ni yale yale yamerudi SCRAMBLE FOR AFRICA.hivi sasa wanakuja kwa majina kama wawekezaji, wahisani.

unajua kama mafuta ya Nigeria, ANGOLA na Gabon yanakwenda U.S.A? hivi hamjui kama Tz TUNA mafuta?

miaka yote China imekuwa ikitusaidia kuanzia Tazara, kila mwaka scholarships kwa WaTanzania,kutuletea madaktari ,kusaidia jeshi letu hata vita vya Uganda waChina walifanya kazi kubwa kutupa vifaa na wao kupigana kwa niaba yetu.

nakuomba Mwanakijiji usiache Mbachao kwa msala upitao.

Africom ina Agenda kuu tatu.
1)OIL(2) VITA DHIDI YA CHINA(3) WAR ON TERROR. hana maralia wala Ukimwi hicho ni chambo tu.

KICHUGUU.

Mwalimu Nyerere alikuwa kiongozi wa nchi yetu alikubali kuiasi serikali halali ya Nigeria na kuwa support wakristu wenzake wa Nigeria ya kusini kina General OJUKWU sababu ni wakristu wenzake.

kitendo kile ni cha ajabu. lakini hatujakusikia wewe au Mwanakijiji kusema Nyerere aliteleza. kweli msomi mzima unaumia kuona waislam 2000 wakiandamana kuwa semea watu wa IRAQ na Afghan? Nadhani kama kushangaa tungeanza kwa Mwalimu Nyerere aliyetumia nafasi ya urais kuwasapoti waasi wa serikali halali ya Nigeria.

Bush kapeleka jeshi SERBIA kwa maslahi yake msikilize rais wa SERBIA kasema nini jana?

jana hiyo hiyo Chavez AMESEMA bush hapati mafuta yake hata kwa mtutu.na huko walindamana na vinyango vya bush.

unasema Uislam ni ugaidi nimekupa link ya VYONNE RIDLEY huyu aliishi na Talaban akiwa na fikra kama zako na Mwanakjjj hatimaye akasilimu baada ya kuujua ukweli.

Mwisho.

Wana forum hivi kwanini tunakuwa waongo wa nafsi zetu? Mwanakijiji amekuwa akisema kuwa yeye si mdini huku ukweli ukidhihiri kwenye thread kama hizi, juu ya chuki zake za kidini.

mwanahabari mashuhuri unashindwa kuJUSTIFY maandamano dhidi ya Bush ila kukosoa na kunungunika tu? wewe unatumia majina ya bandia hakuna anyekujua humu bado unaficha hisia zako kali za kidini?. umeshindwa kuwa mkweli humu JF tu? ukipewa nchi tutakujua ukweli wako? kwanini ufiche udini wako wakati wote humu tunatumia pen names with exceptional of KITILA,MNYIKA na Membe?

ungejifunza vizuri kwa mkuu wa kanisa la ANGLIKANA ambaye amekuwa mkweli wa nafsi yake.sisi tutaishi nje ya nchi tutabadili kiingereza na kutakata tu lakini tabia zetu zitabaki zile zile.

Post zingine zinafurahisha sana kusoma.

Mwafrika wa kike ni Mwanakijiji?!..... kazi kweli kweli!
 
Mwafrika wa Kike,

Nashukuru sana kama wanielewa ninapo toka na nitaendelea kukufahamisha kile waislaam wanachosimamia.

kama vile ilivyo makosa kabisa kuunganisha uislam na ugaidi, ni hivyo hivyo inabidi iwe makosa kuunganisha mambo ya Bush kuwa ndio sera ya wamarekani wote au wakristo wote in this case.
Policy zote za kuweka makoloni nchi changa ni policy zinazopishwa na serikali ya Marekani. Bush anaweka sahihi tu ama kushinikiza zaidi... lakini hizi zote ni sera zinazopitishwa ktk senate. Kumbuka kina mama Clinton wanajutia maamuzi ya kura zao kuhusu Iraq.
Swala la Ugaidi ni swala la baadhi ya watu wasiokuwa serikalini na ambao wamechukua njia ya mkato kuhakikisha haki yao inapatikana kwa njia ya ugaidi. Ndio maana baada ya Bush kupewa darasa, vyombo vya habari hutumia zaidi neno zaidi Insurgent..
Hivyo basi waislaam wakiwa pamoja na wananchi wa nchi nyinginezo hawana chuki na Marekani.. ndio maana wanaanda maandamano kisheria badala ya kusika bunduki kuonyesha upinzani wa yale utawala huo unakusudia kufanya.
Mathlan Obama yuko against vita vya Iraq lakini haina maana kabisa kuwa yupo against kuweka koloni nje kwa maslahi ya America. Pengine naweza sema Demokratic hutumia diplomasia zaidi ya matulinga na ndiyo nafuu yao lakini Republican hawana simile. Adui yao huadhibiwa nchi nzima kama wanavyoadhibiwa Zimbabwe kwa sababu ya Mugabe who they can take him down at any time. Lakini kinachowashinda ni kuwa policy ya land itabakia pale pale hivyo basi ni kuwaadhibu watu hawa hadi siku watakapo kubali kuachia ardhi..
Tanzania leo tupo ktk macho yao kuunda hiyo kambi na pengine kuweka Puppet wao. Hii pamoja na kwamba imetokana na Bush lakini imepitishwa na senate yao, jambo ambalo nchi za kiafrika zinaliogopa zaidi ni kwamba adui wa Marekani kiuchumi ni China sasa wanataka kutumia Afrika kama kituo cha mashambulizi yao kiuchumi. Kumbuka wapiganapo nyati majani ndio huumia...
I wish ndugu zangu Wakiristu wangeweza liona hili bila kutumia rangi (dini) ya msemaji bali maslahi ya nchi yetu. Kama waislaam wangekuwa wakiwachukia wakristu basi ungeona account zao zikifungwa na pengine kutoruhusiwa kutuma fedha kisheria kwa sababu ya jina lako tu. Makanisa yao yakiwekewa vinasa sauti na kadhalika kama wanavyotuandama hadi misikitini, ila sisi tuna address tu kuwa tunaonewa. Kama wanavyofanya wanawake ktk issue zao, wanavyofanya watu weusi Marekani ktk issue zao na wote hawa kwa hakika wana kila haki ya kulaumu utawala ambao hutawaliwa na wenye nguvu iwe wanaume ama wazungu. Kwa sabab vitu hivi vinakuwa passed kisheria chini ya flag ya nchi hiyo.
 
Mwafrika wa Kike,

Nashukuru sana kama wanielewa ninapo toka na nitaendelea kukufahamisha kile waislaam wanachosimamia.


Policy zote za kuweka makoloni nchi changa ni policy zinazopishwa na serikali ya Marekani. Bush anaweka sahihi tu ama kushinikiza zaidi... lakini hizi zote ni sera zinazopitishwa ktk senate. Kumbuka kina mama Clinton wanajutia maamuzi ya kura zao kuhusu Iraq.
Swala la Ugaidi ni swala la baadhi ya watu wasiokuwa serikalini na ambao wamechukua njia ya mkato kuhakikisha haki yao inapatikana kwa njia ya ugaidi. Ndio maana baada ya Bush kupewa darasa, vyombo vya habari hutumia zaidi neno zaidi Insurgent..
Hivyo basi waislaam wakiwa pamoja na wananchi wa nchi nyinginezo hawana chuki na Marekani.. ndio maana wanaanda maandamano kisheria badala ya kusika bunduki kuonyesha upinzani wa yale utawala huo unakusudia kufanya.
Mathlan Obama yuko against vita vya Iraq lakini haina maana kabisa kuwa yupo against kuweka koloni nje kwa maslahi ya America. Pengine naweza sema Demokratic hutumia diplomasia zaidi ya matulinga na ndiyo nafuu yao lakini Republican hawana simile. Adui yao huadhibiwa nchi nzima kama wanavyoadhibiwa Zimbabwe kwa sababu ya Mugabe who they can take him down at any time. Lakini kinachowashinda ni kuwa policy ya land itabakia pale pale hivyo basi ni kuwaadhibu watu hawa hadi siku watakapo kubali kuachia ardhi..
Tanzania leo tupo ktk macho yao kuunda hiyo kambi na pengine kuweka Puppet wao. Hii pamoja na kwamba imetokana na Bush lakini imepitishwa na senate yao, jambo ambalo nchi za kiafrika zinaliogopa zaidi ni kwamba adui wa Marekani kiuchumi ni China sasa wanataka kutumia Afrika kama kituo cha mashambulizi yao kiuchumi. Kumbuka wapiganapo nyati majani ndio huumia...
I wish ndugu zangu Wamristu wangeweza liona hili bila kutumia rangi (dini) ya msemaji bali maslahi ya nchi yetu. Kama waislaam wangekuwa wakiwachukia wakristu basi ungeona account zao zikifungwa, makanisa yao yakiwekewa vinasa sauti na kadhalika ila sisi tuna address tu kuwa tunaonewa. Kama wanavyofanya wanawake ktk issue zao, wanavyofanya watu weusi Marekani ktk issue zao na wote hawa kwa hakika wana kila haki ya kulaumu utawala ambao hutawaliwa na wenye nguvu iwe wanaume ama wazungu. Kwa sabab vitu hivi vinakuwa passed kisheria chini ya flag ya nchi hiyo.

Mkandara,

mimi nimeishi marekani kwa muda sana na ninafanya kazi na wato toka India kibao ambao ni waislam na wahindu huku pia nikiwa na marafiki ambao ni wayahudi na wakristo.

Nakuhakikishia kuwa wengi hapa wanakubali kuwa waislam wanapata treatment nzuri sana hapa marekani mara nyingi zaidi ya watu wa dini zingine ambao wanajaribu kushika dini zao kwenye nchi kama Pakistani na kadhalika.

Pamoja na haya yote, mimi sioni kama ni suala langu kuanza kushikia bango waislam walio Tanzania au Marekani just because wale walio arabuni wanachukia dini zingine!

The same way sidhani kama ni suala langu kushikia bango kila mkristo kwa vile eti Bush na serikali ya marekani wanaeneza ukoloni duniani. Mimi nimeanza kudili na watanzania wenzangu ambao wanahusika na kueneza huu ukoloni wa marekani badala ya kuhangaika na label za ukristo au uislam.

Marekani inalaumiwa sana kwa kufilisi nchi za central na south Amerika. Wakati wa Reagan, marekani ilivamia sana nchi za central amerika ambazo raia zake wengi ni wakristo, je kuna sababu sasa kusema kuwa marekani au Reagan alikuwa na chuki na wakristo?

Nadhani ni vizuri kuangalia utu wa mtu kabla ya dini yake maana utu wa mtu unaanza kabla ya dini. wote tunazaliwa kama binadamu kisha tunachagua kama tuwe waislam au wakristo au wasio na imani.

Asante kwa shule yako mkuu!
 
Post zingine zinafurahisha sana kusoma.

Mwafrika wa kike ni Mwanakijiji?!..... kazi kweli kweli!

Mwenye macho haambiwi ona,labda Kichuguu tu anaweza asijue Mwafrika wa kike ni nani kama anavyoshindwa kujua kuwa Bush amekuja kwa maslahi yake, na kuwapinga wazalendo wenzake wanaopinga upumbavu wa Bush, na kama alivyoshindwa kujua kuwa Nyerere aliwaunga mkono wakristu wa kabila la IBO (WAKRISTU) Kuiasi serikali halali ya Nigeria it was a GREAT VIOLATION OF INTERNATIONAL LAW kuingilia mambo ya ndani ya nchi halali.
 
Back
Top Bottom