Taarifa ya daktari wa rais

Haya tena,na mimi itabidi niwatafute/niwaambie ili wawe wana-check afya yangu pia mmoja mmoja ndiyo mpango.
 

Tatizo la wabongo bwana Daktari kaongea mnataka aseme kitakacho kufurahisha aina ya mawazo mabovu,pure sudist mind mnaambiwa hana Tatizo ooooooooooo semeni mtaaibika Nchi ngumu kukubali ukweli HAUMWIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII KAFANYENI KAZI AU MZEE UNATAKA NAFASI YAKE I MEAN WOTE WENYE MAWAZO KAMA WEWE
 
teh teh nimecheka barua ilivyoanza kwa utambulisho eti mimi ni daktari wa rais....teh teh ngoja na kamati ya ufundi nayo ilete ripoti hapa...we dokta aliyesema watu wanahofu na afya ya raisi nani?walaa sie tuko bize tunapiga tusker baridiii mambo hayo hayatuhusu
 
Rais amefanyiwa colonoscopy mwaka 2007, mnatuambia leo !!???
Kwa kawaida Rais anapofanyiwa kipimo kama hiki inabidi itangazwe promptly,
- kwanza kwa sababu ninavyoelewa mimi mgonjwa anakuwa sedated for a few hours, Rais anakuwa hana uwezo wa kuendesha nchi muda huo, sasa who was running the show during those few hours ?
- It also serves the purpose ya kuelimisha wananchi umuhimu wa wao pia kufanya vipimo hivi.

Lakini sisi kila kitu siri tuuu.....
 
Mkuu aliishaanguka na kupoteza kumbu kumbu mara kadhaa ulizieni jamaa aliokuwa nao Foreign affairs ha hata wizara ya fedha! Kuna kitu kinafichwa ni tatizo alilonalo muda tu, Shame on you Dr mumesahau profesional zenu na kuwa wanasiasa!
 
Maneno mengi, ufafanuzi mrefu, the guilt are afraid, hivi ulitegemea daktari wa rais aseme nini?. Hii ni kazi ya Salva, kisa Mwanahalisi kaibua mashaka.

Jamani tangu tumepata uhuru, hii ndio mara yangu ya kwanza kuona taarifa ya hali ya rais ikiwekwa hadharani. Taarifa hiyo ni ya kweli but the man is also sick.Urefu wa taarifa hii unatia shaka kuwa kuna jambo linataka kufunikwa. Inanikumbusha siku ile ya uzinduzi upimaji wa hiari, Mzee Mengi alipopima tuu pale Angaza ya Amref, akatoka nje na kuonyesha cheti kuwa yuko salama.Wadadisi wa mambo wakawauliza Angaza, hivi mnatoa cheti kueleza fulani yuko salama, au majibu ni siri, wakajibu majibu ni siri na huwa hawatoi cheti, ila kwa vile mzee ni public figure, wametoa ili kuhamasisha upimaji.

Kitu ambacho kinajulikana, ukipima, unapewa majibu yako kwa siri, ila unauhuru wa kujitangaza hadharani kama unao au hauna na sio hii ya kupeana vyeti.

Hii taarifa ndefu ya daktari wa Ikulu ya nini lakini?! Liko jambo and time will tell. Cha muhimu tumuombee rais wetu, afya njema, angalau amalize salama 2010 tena madaktari msisitizieni apumzike baada ya 2010 ili kuilinda afya yake mgogoro, vinginevyo...

Get well Soon Mr. Presidaa and by the way sikupata nafasi jana, "Happy Birth Day"
 
Mkuu aliishaanguka na kupoteza kumbu kumbu mara kadhaa ulizieni jamaa aliokuwa nao Foreign affairs ha hata wizara ya fedha! Kuna kitu kinafichwa ni tatizo alilonalo muda tu, Shame on you Dr mumesahau profesional zenu na kuwa wanasiasa!


Ya nini tuwaulize tuambie wewe unaejua. Kusema alishaanguka na kupoteza kumbukumbu mara kadhaa ume generalise mno kuwa specific otherwise wewe ni mdaku tu. Dr Peter kaja na maelezo kamili ya kitaalam wewe hutaki unaleta porojo za kuanguka mara kadhaa na "kaulizeni watu wa foreign"

Shame on you!
 
Mh.Rais, jitahidi na watanzania wengine wawe wanapata ata nusu ya vipimo unavyopata wewe. pole na mitihani.
 
Nani aliyetaka afya ya Rais..wanajibu maswali ambayo haya kuulizwa na mtu yeyote..there is something fishy! ukute wakatoliki wanataka kumwua maana chuki zao hazina kipimo nadadisi tu!
 
kila mara nashangazwa na huo uchovu wanaouengelea, anachoshwa na nini? inavyoonyesha hawezi kuhandle pressure za urais so bora amalize salama, kuliko kila siku mnatuambia Rais kachoka wakati output hatuioni. Hatutaki Rais anayechoka bila hata ya kufanya kazi ati!!
 
nani aliyetaka afya ya rais..wanajibu maswali ambayo haya kuulizwa na mtu yeyote..there is something fishy! Ukute wakatoliki wanataka kumwua maana chuki zao hazina kipimo nadadisi tu!

unageuza hii mada udini! Udini! Udini!
 
Tatizo hapa wengi wanajifanya wajuaji...I'm taking the docs at face value. Now, should something happen in the future then I'll call them out and take them to task...mambo ya kujifanya unajua wakati hujui na unajua kuwa hujui ni ujuha!!!!
 
Hivi kikatiba hairuhusiwi Raisi kuwa na kifafa?
 
Nani aliyetaka afya ya Rais..wanajibu maswali ambayo haya kuulizwa na mtu yeyote..there is something fishy! ukute wakatoliki wanataka kumwua maana chuki zao hazina kipimo nadadisi tu!
Hii haijakaa vizuri ndugu, hapa hapana maswala ya udini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Nilitegemea hili toka kwenu wanaCCM, Mwenyekiti wenu mgonjwa jamani!
 

Hapa sasa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…