Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I am thinking how honest is the Kikwete Ikulu? Kama Kikwete alipata nervous breakdown na kuzimia wangetuambia au wangetupa story kama hiyo hapo juu?
Huu uchovu uchovu gani? Jangwani napo? Mwanza I? Mwanza II? The several times he is reputed to have fainted in Ikulu? Mbona Nyerere, Mwinyi na Mkapa walikuwa hawazimiki zimiki hivi?
Tuambieni kweli jamani, kesho keshokutwa mkiumbuliwa na matatizo haya mtaonekana wajinga sana.
Cd4???
uchovu wa kazi hapunziki!!
Mkuu aliishaanguka na kupoteza kumbu kumbu mara kadhaa ulizieni jamaa aliokuwa nao Foreign affairs ha hata wizara ya fedha! Kuna kitu kinafichwa ni tatizo alilonalo muda tu, Shame on you Dr mumesahau profesional zenu na kuwa wanasiasa!
nani aliyetaka afya ya rais..wanajibu maswali ambayo haya kuulizwa na mtu yeyote..there is something fishy! Ukute wakatoliki wanataka kumwua maana chuki zao hazina kipimo nadadisi tu!
Hii haijakaa vizuri ndugu, hapa hapana maswala ya udini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Nani aliyetaka afya ya Rais..wanajibu maswali ambayo haya kuulizwa na mtu yeyote..there is something fishy! ukute wakatoliki wanataka kumwua maana chuki zao hazina kipimo nadadisi tu!
Ya nini tuwaulize tuambie wewe unaejua. Kusema alishaanguka na kupoteza kumbukumbu mara kadhaa ume generalise mno kuwa specific otherwise wewe ni mdaku tu. Dr Peter kaja na maelezo kamili ya kitaalam wewe hutaki unaleta porojo za kuanguka mara kadhaa na "kuelezeni wa wa foreign"
Shame on you!
Ya nini tuwaulize tuambie wewe unaejua. Kusema alishaanguka na kupoteza kumbukumbu mara kadhaa ume generalise mno kuwa specific otherwise wewe ni mdaku tu. Dr Peter kaja na maelezo kamili ya kitaalam wewe hutaki unaleta porojo za kuanguka mara kadhaa na "kaulizeni watu wa foreign"
Shame on you!