hawakuwa wachapa kazi kama kikwete, hawakuwa wanafuatilia mambo kama kikwete, kikwete ameweka "historia" kwa kuwa rais mfuatiliaji wa mambo ya TZ ndani na nje ya nchiI am thinking how honest is the Kikwete Ikulu? Kama Kikwete alipata nervous breakdown na kuzimia wangetuambia au wangetupa story kama hiyo hapo juu?
Huu uchovu uchovu gani? Jangwani napo? Mwanza I? Mwanza II? The several times he is reputed to have fainted in Ikulu? Mbona Nyerere, Mwinyi na Mkapa walikuwa hawazimiki zimiki hivi?
Tuambieni kweli jamani, kesho keshokutwa mkiumbuliwa na matatizo haya mtaonekana wajinga sana.
Kwani ana Ugonjwa gani Mkuu?
Labda weye wajua hebu tudokeze na wengine!!
Hivi kikatiba hairuhusiwi Raisi kuwa na kifafa?
Tatizo la wabongo bwana Daktari kaongea mnataka aseme kitakacho kufurahisha aina ya mawazo mabovu,pure sudist mind mnaambiwa hana Tatizo ooooooooooo semeni mtaaibika Nchi ngumu kukubali ukweli HAUMWIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII KAFANYENI KAZI AU MZEE UNATAKA NAFASI YAKE I MEAN WOTE WENYE MAWAZO KAMA WEWE
Nilitegemea hili toka kwenu wanaCCM, Mwenyekiti wenu mgonjwa jamani!
Vipi kuhusu M/kiti wenu wa Chadema aliefeli semester ya kwanza tu HULL mzima kichwani?
vipi kuhusu m/kiti wenu wa chadema aliefeli semester ya kwanza tu hull mzima kichwani?
Masatu unataka kusema kuwa Kikwete alifeli mtihani pia?
Nani aliyetaka afya ya Rais..wanajibu maswali ambayo haya kuulizwa na mtu yeyote..there is something fishy! ukute wakatoliki wanataka kumwua maana chuki zao hazina kipimo nadadisi tu!
I am thinking how honest is the Kikwete Ikulu? Kama Kikwete alipata nervous breakdown na kuzimia wangetuambia au wangetupa story kama hiyo hapo juu?
Huu uchovu uchovu gani? Jangwani napo? Mwanza I? Mwanza II? The several times he is reputed to have fainted in Ikulu? Mbona Nyerere, Mwinyi na Mkapa walikuwa hawazimiki zimiki hivi?
Tuambieni kweli jamani, kesho keshokutwa mkiumbuliwa na matatizo haya mtaonekana wajinga sana.
Wala haihusikiCd4???