Taarifa ya daktari wa rais

Hii ni katika kuweka mambo sawa na siamini Daktari atasema uongo mkubwa hadharani, angekuwa ana matatizo ya afya well wangekaa kimya wala asingeongea mtu, so nothing wrong hapo, tunataka na mambo mengine yawe wazi namna hiyo kuzumngumzia sijui utumbo wa raisi ni mzima etc sasa hawa kina Luhanjo nao wawataje watu namna hiyo ya uwazi wa kina mafisadi tujue kuwa hapo ikulu pia ni safi kama afya ya raisi ilivyo safi,well nimeburudika kufahamu hilo!
 
hawakuwa wachapa kazi kama kikwete, hawakuwa wanafuatilia mambo kama kikwete, kikwete ameweka "historia" kwa kuwa rais mfuatiliaji wa mambo ya TZ ndani na nje ya nchi

HIYO BARUA IMETOA UFUNUO WA KWAMBA SAFARI NYINGI ZA MUHESHIMIWA RAIS NJE YA NCHI NI ZA MATIBABU, NA KAMA SAFARI NYINGI NI ZA MATIBABU BASI ANA MATATIZO MAKUBWA YA KIAFYA AMBAYO YANAFICHWA.
PIA INAONYESHA RAIS AMEKUWA AKIAMA DR/HOSPITALI MARA UFARASA, MARA USA, MARA GERMANY NA HII NI DALILI YA MTU ANAYETAFUTA TIBA YA KITU KINACHOMSUMBUA
 
Kwani ana Ugonjwa gani Mkuu?
Labda weye wajua hebu tudokeze na wengine!!

Ana ugonjwa wa kuzimika.

Anaanguka na/au kuzimika. Kama ulisoma ile story ya mwananchi, Kikwete alidata - yaani hadi kichwa kikageukia kushoto kama zombie fulani vile.

Watu wangapi wanalima na kufanya makazi masaa kibao lakini hawatokewi na hicho?
 

Unajua hata Mugabe wa Zimbabwe na Castro wa Cuba huwa wanapass kwa flying colors kwenye report zao. Kuulizia au kutilia mashaka taarifa ya daktari hapa, ni kumwambia mfalme kuwa yuko uchi na sio vinginevyo.
 
Kama tatizo ni uchovu kwanini hamkumshauri mapema Rais?
Madakitari mmesubiri mpaka aanguke ndiyo mseme hayo yote?
Sijawaelewa madakitari. Kiini Machoooo...........
 
Nani aliyetaka afya ya Rais..wanajibu maswali ambayo haya kuulizwa na mtu yeyote..there is something fishy! ukute wakatoliki wanataka kumwua maana chuki zao hazina kipimo nadadisi tu!

Uta toaje kauli nzito kama hiyo halafu useme "nadadisi tu"? Na unapo sema Wakatoliki una maanisha wakina nani haswa? Vatican? Kanisa? Wakatoliki wote? Achan chuki za kijinga jinga. Yote hayo ni kiburi kwa sababu JF identity zinakua siri. Usije uka ropoka ropoka hivyo mtaani mkuu for your own good. Mimi sometimes ndiyo maana naamini watu wa design yako hamna akili na mna tafuta mchawi hata ambapo mna jiloga wenyewe.
 
nadhani tuna mambo mengi ya kujadili......kafa nyerere aje yeye?? Wengine si wapowatachukua madaraka??
 
Dr.Mfisi taratibu bwana na kauli zako.Tatizo ukisha kuwa Dr. wa rais tu basi umeshakuwa mwanasiasa na porojo nyiiiiiiiiiiiingi,kama ethics za udaktari zinakataa kutoa taarifa za mbona leo unazivunja na kutoa taarifa hiyo?ina maana na mimi nikitaka tupige deal ambayo itapelekea uvunje ethics zako udaktari utakubali? au sheria inavunjwa na mkubwa,mlala hoi ukivunja basi keko yako?
Na mwisho huyu mkuu mbona? mbona? mbona?
Huu uchovu uchovu gani? Jangwani uchovu? Mwanza uchovu? Mwanza tena uchovuuu ? Mbona Nyerere, Mwinyi na Mkapa walikuwa sio wachovu hiviiiiiiiiiiiiiii??
Na pia napenda kukushukuru Dr. kwa kutufahamisha katika report yako mahiri huku ukibainisha tarehe mbalimbali za jinsi mkuu alivyokuwa na safari nyingi kwa ajili ya uchovu wake kiafya.
 
Hata Mengi nilisikiaga ana mdudu tokea mwaka '94 lakini huyo bado anapeta tu...

Mijitu kwa ku speculate afya za watu tu...aaarrrggh
 

Muonzi wa Buluu,

Tushukuru at last wameliongelea la shingo ambao hilo ndilo la kweli hasa ile mambo ya nyeusi nje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…