wakusoza
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 628
- 648
kutoka kituo cha habari cha taifa TBC;
habari ya kitaifa :mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM mhe.Majambili Mafuru akili kushindwa na mgombea mwenza wa CHAUMA mhe.Bahati Mwakapogba
Habar za kimataifa:Marekani yaishukuru Tanzania kwa misaada yake iliyotoa kusaidia watu wasiojiweza nchini humo
Habar za biashara:viwango vya fedha duniani
1Tsh=124000$
1Tsh=834470€
Habari michezo:bingwa mtetezi wa kombe la uefa mara mbili mfululizo,Arsenal imefanya sherehe za kumbukumbu ya aliyekuwa kocha wao wa marehemu arsene wenger aliyeiaga dunia mapema mwaka 2025
Tanzania yaichapa brazil bao 5-0 katka mchezo wa fainali za kombe la dunia
Na katka mchezo wa masumbwi bondia wa kitanzania amebamizwa na bondia wa kivietnam had kukimbulia mawe japo na mawe yake bado bondia huyo wa kitanzania alichezea
mwisho wa taarifa ya habar
habari ya kitaifa :mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM mhe.Majambili Mafuru akili kushindwa na mgombea mwenza wa CHAUMA mhe.Bahati Mwakapogba
Habar za kimataifa:Marekani yaishukuru Tanzania kwa misaada yake iliyotoa kusaidia watu wasiojiweza nchini humo
Habar za biashara:viwango vya fedha duniani
1Tsh=124000$
1Tsh=834470€
Habari michezo:bingwa mtetezi wa kombe la uefa mara mbili mfululizo,Arsenal imefanya sherehe za kumbukumbu ya aliyekuwa kocha wao wa marehemu arsene wenger aliyeiaga dunia mapema mwaka 2025
Tanzania yaichapa brazil bao 5-0 katka mchezo wa fainali za kombe la dunia
Na katka mchezo wa masumbwi bondia wa kitanzania amebamizwa na bondia wa kivietnam had kukimbulia mawe japo na mawe yake bado bondia huyo wa kitanzania alichezea
mwisho wa taarifa ya habar