Taarifa ya kanusho

Taarifa ya kanusho

tecnohailali

Senior Member
Joined
May 15, 2017
Posts
168
Reaction score
76
.." Jamani taarifa zilizozagaa mitandaoni kuwa nimeteuliwa kuwa waziri wa Nishati na Madini mzipuuze siyo za kweli.!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
.." Jamani taarifa zilizozagaa mitandaoni kuwa nimeteuliwa kuwa waziri wa Nishati na Madini mzipuuze siyo za kweli.!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Weka chanzo cha habari yako tetetetetetete
 
.." Jamani taarifa zilizozagaa mitandaoni kuwa nimeteuliwa kuwa waziri wa Nishati na Madini mzipuuze siyo za kweli.!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kama ambavyo tunaipuuza hii taarifa yako ya kanusho.
 
Hivi kwanini rais alianzisha mchakato wa kufukuza watumishi hewa kabla ya kupanua hospitali ya Mirembe? Ona wanakoelekea!
 
Mnamlaumu nin mleta mada? Au mmesahau kuwa Bashite ndiye kiongozi wake, sasa yeye atakuwaje
 
Back
Top Bottom