Taarifa ya Kiintelijensia...Nesi huyu na Mgonjwa!

Taarifa ya Kiintelijensia...Nesi huyu na Mgonjwa!

Juzi nilitembelea Hospitali moja kubwa Nyanda za juu kusini Mkoani Iringa, inaitwa ILEMBULA, inayomilikiwa na Madhehebu ya Kilutheri.

Katika maongezi na jamaa zangu nilionyeshwa nesi mmoja ambaye niliambiwa kuwa ana skendo ya aina yake kwenye jumuia hiyo!
Niliambiwa kuwa nesi huyo ana tabia iliyokubuhu ya kufanya mapenzi na wagonjwa wa jinsia ya kiume.

Nilisimuliwa kuwa kuna mgonjwa aliyekuwa amevunjika mguu na hivyo kutundikiwa mawe ya kilo kadha, wenyewe wanaita traction, na kawaida wagonjwa hao hukaa hospitali kwa muda mrefu.
Nesi huyo bila ajizi aliingia mahusiano na mgonjwa huyo, na akafikia hatua ya kuomba apangiwe zamu za usiku.
Lakini cha ajabu kabisa ni kuwa nesi huyo inasemekana kuwa akiwa zamu za usiku anasukuma kitanda cha mgonjwa huyo kwa madai ya kwenda kumwogesha, lakini badala yake anamwingiza katika chumba fulani ambako anacontrol zoezi zima la kufanya penzi na mgonjwa huyo!, na hatimaye kumrudisha eneo lake baada ya makasheshe...😛arty:!

Nauliza kwa watu wa tasnia ya afya, je mgonjwa wetu huyu anapata athari za namna gani, na kama anatibika kisaikolojia kwa tendo hilo naomba mnijuze.

Tasnia ya MMU, mnalisemeaje hili?

Mbona wahanga wa ukware wake hawasemi...?!:tongue:
 
Juzi nilitembelea Hospitali moja kubwa Nyanda za juu kusini Mkoani Iringa, inaitwa ILEMBULA, inayomilikiwa na Madhehebu ya Kilutheri.

Katika maongezi na jamaa zangu nilionyeshwa nesi mmoja ambaye niliambiwa kuwa ana skendo ya aina yake kwenye jumuia hiyo!
Niliambiwa kuwa nesi huyo ana tabia iliyokubuhu ya kufanya mapenzi na wagonjwa wa jinsia ya kiume.

Nilisimuliwa kuwa kuna mgonjwa aliyekuwa amevunjika mguu na hivyo kutundikiwa mawe ya kilo kadha, wenyewe wanaita traction, na kawaida wagonjwa hao hukaa hospitali kwa muda mrefu.
Nesi huyo bila ajizi aliingia mahusiano na mgonjwa huyo, na akafikia hatua ya kuomba apangiwe zamu za usiku.
Lakini cha ajabu kabisa ni kuwa nesi huyo inasemekana kuwa akiwa zamu za usiku anasukuma kitanda cha mgonjwa huyo kwa madai ya kwenda kumwogesha, lakini badala yake anamwingiza katika chumba fulani ambako anacontrol zoezi zima la kufanya penzi na mgonjwa huyo!, na hatimaye kumrudisha eneo lake baada ya makasheshe...😛arty:!

Nauliza kwa watu wa tasnia ya afya, je mgonjwa wetu huyu anapata athari za namna gani, na kama anatibika kisaikolojia kwa tendo hilo naomba mnijuze.

Tasnia ya MMU, mnalisemeaje hili?

PJ, that is unethical and warranty summary dismissal plus criminal kama mgonjwa amebakwa

we should always remember that ubakaji si kwa wanaume tu, bali jinsia zote.... the nurse must be suffering some kind of psychological issues au ni mbakaji na angekua mwanaume ingekua balaa

the best move is to report her and make sure she is taken care of, otherwise kuna hatari hata ya maambukizi ya magonjwa ya zinaa na ukimwi

tukumbuke kwamba mwanaume aliyekaa wadini muda, anakua na kiu ya ajabu which may even impair him from rational thinking and protection mindset... he is vulnerable

ushauri ni kwamba huyo mtu apelekwe vyombo husika, na pia awekwe kwenye mtego

BTW, Ilembula pazuri sana... hivi kile chuo cha nursingbado kipo?
 
Kimey hebu panda Punda a.k.a XLR 250cc then kimbia Ilembula fasta, ukifika getini, iachie usivunjike mguu lakini....teguka tu, then nenda hospitali ukakague.....you never know....then utakuja kutupa findings.
 
Du hii kali, hapo huyo nesi ana kesi ya kujibu!
 
Kimey hebu panda Punda a.k.a XLR 250cc then kimbia Ilembula fasta, ukifika getini, iachie usivunjike mguu lakini....teguka tu, then nenda hospitali ukakague.....you never know....then utakuja kutupa findings.
hommie nimeicheki hii thread nikaona kuna maslai hapa....nipo gereji narekebisha plug, nikitoka hapa ni ilembula moja kwa moja...
ntajifanya nimeteguka kiuno....!! akienda kuniogesha atapata habari yake..lol:tongue:
 
PJ, hospitali nzuri sana hii na huyu nurse anapaswa asifiwe kwa kutoa tiba mbadala. Nipo kwenye sumry hapa itabidi nikifika Iringa tu niulizie hiyo hosp ilipo.
 
Juzi nilitembelea Hospitali moja kubwa Nyanda za juu kusini Mkoani Iringa, inaitwa ILEMBULA, inayomilikiwa na Madhehebu ya Kilutheri.

Katika maongezi na jamaa zangu nilionyeshwa nesi mmoja ambaye niliambiwa kuwa ana skendo ya aina yake kwenye jumuia hiyo!
Niliambiwa kuwa nesi huyo ana tabia iliyokubuhu ya kufanya mapenzi na wagonjwa wa jinsia ya kiume.

Nilisimuliwa kuwa kuna mgonjwa aliyekuwa amevunjika mguu na hivyo kutundikiwa mawe ya kilo kadha, wenyewe wanaita traction, na kawaida wagonjwa hao hukaa hospitali kwa muda mrefu.
Nesi huyo bila ajizi aliingia mahusiano na mgonjwa huyo, na akafikia hatua ya kuomba apangiwe zamu za usiku.
Lakini cha ajabu kabisa ni kuwa nesi huyo inasemekana kuwa akiwa zamu za usiku anasukuma kitanda cha mgonjwa huyo kwa madai ya kwenda kumwogesha, lakini badala yake anamwingiza katika chumba fulani ambako anacontrol zoezi zima la kufanya penzi na mgonjwa huyo!, na hatimaye kumrudisha eneo lake baada ya makasheshe...😛arty:!

Nauliza kwa watu wa tasnia ya afya, je mgonjwa wetu huyu anapata athari za namna gani, na kama anatibika kisaikolojia kwa tendo hilo naomba mnijuze.

Tasnia ya MMU, mnalisemeaje hili?

PJ Hii ni kali ya kuanzia 2011, natafakali then nitaingia kuchangia
 
Du..
Mkuu, hii ni habari mpya tena!
Unaposema MAPENZI YAWE NA KIPIMO, NI KIPIMO GANI SAHIHI CHA MAPENZI?...AU INATOFAUTIANA MTU NA MTU?

Kipimo ndugu hapo naongelea kwamba wasije wakawa wanakula tu raha wanasahau ya muhimu kama kupatiwa dawa nk...pia ni wazi kwamba mapenzi yanatofautiana kati ya mtu na mtu.
 
PJ, that is unethical and warranty summary dismissal plus criminal kama mgonjwa amebakwa

we should always remember that ubakaji si kwa wanaume tu, bali jinsia zote.... the nurse must be suffering some kind of psychological issues au ni mbakaji na angekua mwanaume ingekua balaa

the best move is to report her and make sure she is taken care of, otherwise kuna hatari hata ya maambukizi ya magonjwa ya zinaa na ukimwi

tukumbuke kwamba mwanaume aliyekaa wadini muda, anakua na kiu ya ajabu which may even impair him from rational thinking and protection mindset... he is vulnerable

ushauri ni kwamba huyo mtu apelekwe vyombo husika, na pia awekwe kwenye mtego

BTW, Ilembula pazuri sana... hivi kile chuo cha nursingbado kipo
?
Chuo bado kipo japokuwa kinakuwa White-Elephant kwasasa maana kinazalisha nurse-midwives, ambao kwasasa hawana ishu!
.
.Huyu Nesi mkuu ni jambazi in total!
The thing is, jamaa alikuwa na senti senti zake kiasi, kwahiyo hiyo imesaidia sana kumfanya huyu mama azidishe machezo kwa mgonjwa!
Mi nilishangaa hadi muda huu jambo hili lilikuwa halijawafikia wamiliki wa hospitali kwaajili ya disciplinary action!
I would do so but i had no substance in the name of evidence!
Naamini kuna watu wanaohusiana moja kwa moja na Hospitali hiyo hapa, na watafanya mitego kumnasa!..
 
PJ, hospitali nzuri sana hii na huyu nurse anapaswa asifiwe kwa kutoa tiba mbadala. Nipo kwenye sumry hapa itabidi nikifika Iringa tu niulizie hiyo hosp ilipo.

-Hakikisha unapata ajali na kuvunjika ugoko ili uwe eligible kukaa pale kwa muda mrefu!
-Hakikisha una senti za kutosha ili upate TLC(Tender-Love-Care)!
 
Kimey hebu panda Punda a.k.a XLR 250cc then kimbia Ilembula fasta, ukifika getini, iachie usivunjike mguu lakini....teguka tu, then nenda hospitali ukakague.....you never know....then utakuja kutupa findings.
Nakuhakikishia atakuja na kabrasha la habari za Intelijensia!
 
mmmmmmmmmmmmmmmmmhhhh,kina mama nasie tumo...........lol,full control!
 
PJ hiyo kali, lakini inaonekana na huyo mgonjwa nae karidhika na hiyo hali.
Vinginevyo si angekuwa wa kwanza kulalamika?
 
Kimey hebu panda Punda a.k.a XLR 250cc then kimbia Ilembula fasta, ukifika getini, iachie usivunjike mguu lakini....teguka tu, then nenda hospitali ukakague.....you never know....then utakuja kutupa findings.

Nadhani PJ ana ushuhuda zaidi ya huu aliotoa hapa.....hebu chekini na WL au preta.....wakakague miguu yake kama haijatoka kwa pop siku za karibuni....
 
Mh, hiinkali pj. lakini huyo mgonjwa anayetundikiwa mawe, anaogeshwa, halafu anasimamisha.... ni noma! atakuwa amepona ila amevutiwa na huduma 'endelevu' Kuhusu madhara; jamaa anaweza kuumwa zaidi sababu kuna secondary bacteria infection anawezapata achilia magonjwa yasabishwayo na virusi
 
Nadhani PJ ana ushuhuda zaidi ya huu aliotoa hapa.....hebu chekini na WL au preta.....wakakague miguu yake kama haijatoka kwa pop siku za karibuni....
Haha haaaa!

Mkuu, hii ni tuhuma nzito, tena isiyo ya Kiintelijensia!

Una uhakika gani kama nesi huyo si WL au Preta?..ha ha haaaa!:tinfoil3:
 
Haha haaaa!

Mkuu, hii ni tuhuma nzito, tena isiyo ya Kiintelijensia!

Una uhakika gani kama nesi huyo si WL au Preta?..ha ha haaaa!:tinfoil3:

Basi yaishe mkuu.....
Infact ninaomba radhi...lol
 
Kama mgonjwa ameridhia mwenyewe kuhusu tendo linalofanyika na nesi anatumia kinga hilo halina tatizo. Ila kiitikadi si sawa maana itaonekana kama vile nesi anatumia nafasi yake vibaya. Kiafya ni sawa kabisa maana kwasisi tuliopita fani ya utabibu tunasema hakuna tiba nzuri ya kiakili,kimwili,kimawazo zaidi ya mapenzi. Kwamba inasemekana watua wanaofanya mapenzi mara kwa mara wanaafya nzuri kuliko wasiofanya. Mapenzi ni kama dawa inavyotibi ila tuwe makini kwa athari zake kama obsession. Kama mgonjwa hakuwahi kupata mapenzi basi nafsi yake itakuwa safi kupokea penzi analopatiwa. Tunasema kwamba mapenzi yawe ya kipimo ili kuwa dawa.
Hivyo basi kama huyu nesi yuko kiukweli zaidi ni faida kwa mgonjwa ila kama ni feki basi ataumiza nafsi ya mgonjwa na itachangia kuchelewa kupona.

kumbe kupiga mpini sana kunaleta afya.
 
Back
Top Bottom