TAARIFA YA KUAMINIKA WANAOSUBILIA MKOPO NA TCU SELECTION 2nd BATCH&3rd BATCH!

Si kweli, ilikuwa mwezi wa kumi. Vyuo kama SAUT na matawi yake huwa wanafungua tarehe 23 Septemba, na huwa loans board hajatoa majina.

noop, walitoa september.,mind u i was,i am and i ll be [updated-boy]
 

Ata cc tunajua ni any time,,,,kumbuka,kuandika hisia hapa sio kitu kizuri......
 
Kijana uko right,japo wa2 wamechoka kusubir lakn tukubar zis tz things never be straight as it is!!!
 
hz ni porojo tu kama za SODOKA

cio porojo sodoka,mfano vyuo kama teku wametoa transfer,bodi ardh wametoa 2nd year xo hz n dalili ya kutoka majbu ya mkopo [updated-boy]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…