TAARIFA YA KUAMINIKA WANAOSUBILIA MKOPO NA TCU SELECTION 2nd BATCH&3rd BATCH!

TAARIFA YA KUAMINIKA WANAOSUBILIA MKOPO NA TCU SELECTION 2nd BATCH&3rd BATCH!

Lugano5

R I P
Joined
Jul 15, 2010
Posts
4,520
Reaction score
757
Ni kwamba bodi walikuwa wanaxubil majina ya walioomba kuhama vyuo,kwa hyo kwa kuwa wamemaliza kazi yao baada deadline kufikiwa,BODI WAMEXEMA MDA WOWOTE WATATOA MAJINA YA WALIOPATA MKOPO 2013/14.(chanzo cha habari ni kutoka bodi ya mkopo dar kitengo nyeti)..for more info usisite kumuuliza ->"[updated-boy]">'0768260834'
 
Hata sisi tunajua ni mda wowote, lakini specification ndio muhimu zaidi, sababu hzi porojo watu washazichoka,
 
Mtu anaweza kuwa kule kijijini kwetu nyantira lakini akawa ana update mambo ya dar.
 
kuna yule researcher wa Nigeria, alihusisha watu wanaotumia X kumaanisha S, na katabia gani kalee mnaokumbuka mtusaidie,,,,
 
Asa mambo ya 2nd na 3rd batch hujaongelea..

yeah,kuhusu 2nd +3rd batch ni kwamba tcu wame2ma majina kwenye vyuo huxika na wameshaanza kutoa majina ya 2nd batch xo go to website of chuo husika then chek kama bado jct wait wataweka tu soon [updated-boy]
 
Ni kwamba bodi walikuwa wanaxubil majina ya walioomba kuhama vyuo,kwa hyo kwa kuwa wamemaliza kazi yao baada deadline kufikiwa,BODI WAMEXEMA MDA WOWOTE WATATOA MAJINA YA WALIOPATA MKOPO 2013/14.(chanzo cha habari ni kutoka bodi ya mkopo dar kitengo nyeti)..for more info usisite kumuuliza ->"[updated-boy]">'0768260834'

Kawaida bodi huwa inatoa majina mwezi wa kumi, mara au muda mchache kabla UDSM hawajafungua. Hivyo subirieni tu bahati hailaliwi mlango wazi.
 
kuna yule researcher wa Nigeria, alihusisha watu wanaotumia X kumaanisha S, na katabia gani kalee mnaokumbuka mtusaidie,,,,

wait soon u ll be notified...wat u want to know [updated-boy]
 
Kawaida bodi huwa inatoa majina mwezi wa kumi, mara au muda mchache kabla UDSM hawajafungua. Hivyo subirieni tu bahati hailaliwi mlango wazi.

yeah,n kwel mbute bt ths year z different xo uciish kwa kukariri..mind u am [updated-boy]
 
Back
Top Bottom