Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza shobo na mihemko ya kiarabu wewee.Hadithi:
Mtume Muhammad (S.A.W) amesema:
"Mwenye nguvu si yule anayemshinda mwenzake kwa mieleka, bali mwenye nguvu ni yule anayejizuia wakati wa hasira."
(Imepokelewa na Bukhari na Muslim)
Kuna taarifa kuwa alipatikana ametupwa makao makuu ya chama chke, Mchinjita anasema amepatikana Coco beach! hawa watu ni waongo, ni drama za Zito na mdini mwenzake!Abdul Nondo akiwa hospitalni au baada ya kupatikana coco beach.
Bado anafanya rehearsal ya mtu mahututi kabla ya kutoa video, hawa walivyo na kimbelembele mpaka sasa hakuna picha.Kuna taarifa kuwa alipatikana ametupwa makao makuu ya chama chke, Mchinjita anasema amepatikana Coco beach! hawa watu ni waongo, ni drama za Zito na mdini mwenzake!
Kungelikuwa na ukweli, wangelikuwa wametoa picha kuonesha alivyo hali yake kwa umma. kama alivyofanya sativa...Bado anafanya rehearsal ya mtu mahututi kabla ya kutoa video, hawa walivyo na kimbelembele mpaka sasa hakuna picha.
Au hata hospitalini wamezuiwa kumpiga picha?Kwamba wamuone ofisini katupwa hata picha tu tukose tokea jana usiku Daaah hii inafikirisha
Kuna taarifa nyingine inasema amepatikana makao makuu ya chama chake ACTCoco beach 🐼
Wasamaria wema walimwokota Coco Beach na kumpeleka na bajaji ofisini badala ya hosipitali. Na hapo ofisini hadi hospitali hakuna cha picha iliyopigwa wala nini, naanza kupata wasiwasi. Kwanini hakuna hata picha yeyote??Kuna taarifa nyingine inasema amepatikana makao makuu ya chama chake ACT
Hii picha ni kweli kabisa, huyo mama nadhani yeye hujiona yupo sawa ila matendo yake ni zaidi ya Idd
Utani wa ngumi huu bosi🤣🤣ACT kwa kubalance mambo hawajambo!
Any way Zitto hakupata hata mtaa mmoja huko Kazulamimba kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa ila amefungua Kesi 62 za kupinga matokeo!
Maswali ni mengi sana kuliko majibu.Viongozi wa ACT Wazalwndo itakuwa ni bussra mkatoa picha ya Abdul Nondo akiwa hospitalni au baada ya kupatikana coco beach.
Mpaka sasa naona mmechelewa sana kutoa picha zake walau watu wajiridhishe na kuondoa mashaka waliyonayo baadhi ya watu.
Actions speak louder than words.
Na polisi wanasema Nondo alisimamisha bajaj akiwa coco Beach akamwambia ampeleke makao makuu ya ACTKuna taarifa kuwa alipatikana ametupwa makao makuu ya chama chke, Mchinjita anasema amepatikana Coco beach! hawa watu ni waongo, ni drama za Zito na mdini mwenzake!
Yanajirudia ya Coco Beach kulikokuwa kunaokotwaga viroba! Mungu piga pigo Moja kwa wadharimu wajue wewe ni Bwana!Coco beach 🐼
ACT waongo, kuna kitu wana ubia na watekaji ambao sasa wanajulikanaWasamaria wema walimwokota Coco Beach na kumpeleka na bajaji ofisini badala ya hosipitali. Na hapo ofisini hadi hospitali hakuna cha picha iliyopigwa wala nini, naanza kupata wasiwasi. Kwanini hakuna hata picha yeyote??