Pre GE2025 Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Abdul Nondo akiwa hospitalni au baada ya kupatikana coco beach.
Kuna taarifa kuwa alipatikana ametupwa makao makuu ya chama chke, Mchinjita anasema amepatikana Coco beach! hawa watu ni waongo, ni drama za Zito na mdini mwenzake!
 
Kuna taarifa kuwa alipatikana ametupwa makao makuu ya chama chke, Mchinjita anasema amepatikana Coco beach! hawa watu ni waongo, ni drama za Zito na mdini mwenzake!
Bado anafanya rehearsal ya mtu mahututi kabla ya kutoa video, hawa walivyo na kimbelembele mpaka sasa hakuna picha.
 
ACT kwa kubalance mambo hawajambo!

Any way Zitto hakupata hata mtaa mmoja huko Kazulamimba kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa ila amefungua Kesi 62 za kupinga matokeo!
 
Kwamba wamuone ofisini katupwa hata picha tu tukose tokea jana usiku Daaah hii inafikirisha
 
Bado anafanya rehearsal ya mtu mahututi kabla ya kutoa video, hawa walivyo na kimbelembele mpaka sasa hakuna picha.
Kungelikuwa na ukweli, wangelikuwa wametoa picha kuonesha alivyo hali yake kwa umma. kama alivyofanya sativa...
 
Kuna taarifa nyingine inasema amepatikana makao makuu ya chama chake ACT
Wasamaria wema walimwokota Coco Beach na kumpeleka na bajaji ofisini badala ya hosipitali. Na hapo ofisini hadi hospitali hakuna cha picha iliyopigwa wala nini, naanza kupata wasiwasi. Kwanini hakuna hata picha yeyote??
 
ACT kwa kubalance mambo hawajambo!

Any way Zitto hakupata hata mtaa mmoja huko Kazulamimba kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa ila amefungua Kesi 62 za kupinga matokeo!
Utani wa ngumi huu bosi🤣🤣
 
Maswali ni mengi sana kuliko majibu.
 
Kuna taarifa kuwa alipatikana ametupwa makao makuu ya chama chke, Mchinjita anasema amepatikana Coco beach! hawa watu ni waongo, ni drama za Zito na mdini mwenzake!
Na polisi wanasema Nondo alisimamisha bajaj akiwa coco Beach akamwambia ampeleke makao makuu ya ACT
 
Wasamaria wema walimwokota Coco Beach na kumpeleka na bajaji ofisini badala ya hosipitali. Na hapo ofisini hadi hospitali hakuna cha picha iliyopigwa wala nini, naanza kupata wasiwasi. Kwanini hakuna hata picha yeyote??
ACT waongo, kuna kitu wana ubia na watekaji ambao sasa wanajulikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…