Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Mzee mbuya wakilema baada ya.kuona wanawe wote wako.nje awaji.xmass kamwe akanyanyua.simu akapiga kwa mwanae joy wa s.africa
joy kuanzia kesho nimeamua kuachana.na.mama yenu kabisaa..pemben sauti ya kilio mama akilia..joykaomba baba asubiri anapiga kwa grace washngton
grace kapiga.kwa jose.kakayao wa bulgaria na mwenzao.wa swaziland wakakubaliana kwenda moshi wote
akanyanyua simu kapigakwa baba naomba.usifanye ktu tunakuja wote keshokutwa
mzee mbuya:mama si nilikwambia awa watoto awaji mpaka nilianzoshe sasa xmass na watoto wote..weka pipa la mbege
chamecha mbuya
joy kuanzia kesho nimeamua kuachana.na.mama yenu kabisaa..pemben sauti ya kilio mama akilia..joykaomba baba asubiri anapiga kwa grace washngton
grace kapiga.kwa jose.kakayao wa bulgaria na mwenzao.wa swaziland wakakubaliana kwenda moshi wote
akanyanyua simu kapigakwa baba naomba.usifanye ktu tunakuja wote keshokutwa
mzee mbuya:mama si nilikwambia awa watoto awaji mpaka nilianzoshe sasa xmass na watoto wote..weka pipa la mbege
chamecha mbuya