Taarifa ya polisi mlipuko Arusha; Victor Ambros kufikishwa mahakamani

Taarifa ya polisi mlipuko Arusha; Victor Ambros kufikishwa mahakamani

S/O Ambros kalisti na amefikishwa mahakamani leo kwa tuhuma za mauaji na kujaribu kuua.
 
Kesi zote maarufu za leo zinatajwa tena tarehe 27..eg ya lwakatare, ya Judith wambura , na Victor Ambrose!
 
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]
ABACA5.jpg

[/FONT]
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]
Mtuhumiwa Bomu Kanisani Arusha, Victor Ambrose Calist (20).​
[/FONT]

[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]
[/FONT]





[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]MTUHUMIWA mmoja kati ya tisa waliotiwa mbaroni na jeshi la polisi baada ya kutokea mlipuko wa bomu katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka 21 ya ma
[/FONT]

[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]uaji na kujaribu kuua.
[/FONT]

[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]Kesi ya mshtakiwa Victor Ambrose Calist (20) ambaye ni dereva wa bodaboda na mkazi wa eneo la Kwa Mromboo jijini Arushai amesomewa mashtaka yake mbele ya Hakimu mkazi, Devotha Kamuzora.CHANZO http://audifacejackson.blogspot.com

[/FONT]




 
Mi nilishaga jisemeaga kaujio ka mwishimigage kurudigi haraka na kupitilia Arusha kana kamaana kengine wajameni!
 
Hawa raia 4 wa kigeni wameachiwa huru kwamba hawahusiki, lakini hatujaambiwa ni kwa sababu zipi wenyeji wao 2 (watanzania) bado wanaendelea kushikiliwa?

Hawa raia wa kigeni walikuwa watalii wa siku moja tu? Kulikuwa na mazingira gani yaliyosababisha hadi wakamatwe pale Namanga?
 
hizo mil 50 amezitoa wapi mpaka agawe kwa m2 atakayemsema mhalifu wakati inafahamika kuwa mwananchi ni polisi jamii na mlinzi wa mwenzake.
Niliona hoja juu ya mishahara ya watumishi serikalini, sasa kakusanya miezi mingapi au atakusanya miezi mingapi ifike 50mil? Mmojawapo huyo jueni anapata kiasi gani!
 
mhhhhhh, kunakila dalili hii kesi kuja kugeuzwa kuwa ya kisiasa, usishangae kusikia ya lwakatare
Kwa Kinyakyusa tunasema
FIJANA FYA KYADEMA NDIFYO FILIFYO LIPULA BOMU, MWEE FYADEMA IFI FIBAYA MWEE.
BORA NIENDELEE KUNYWA KYAI KYA MASIWA KWENYE KIKOMBE KYA KYUMA

Hayo ndio maneno ya wana CCM wakianza kuibambikiza CDM mikesi
 
Kazi imeanza
watakuja na kusema mtuhumiwa amekiri kutumwa na chadema. nchi hii haishi vituko. bado sijapata sababu za pinda, nchimbi nk kutja jina la mkristo tu walipokuwa wanawataja watuhumiwa.
 
watakuja na kusema mtuhumiwa amekiri kutumwa na chadema. nchi hii haishi vituko. bado sijapata sababu za pinda, nchimbi nk kutja jina la mkristo tu walipokuwa wanawataja watuhumiwa.
walitaja kisiasa zaidi
 
"Muuwaji" si tayari wanae na wameshamshitaki! Kitendo cha kuweka dau la 50m ili watu wasaidie kufichua wahusika hakina mantiki. Kama huyo victor ni mmoja wao, si ni kazi rahisi zaidi kuingia nae "deal" ili ataje wenzake!? Kuna kila dalili kuwa victor anatumiwa tu ili angalau polisi isionekane imeshindwa kazi.
 
Mtu asinambie hapa nimekurupuka wakati ni jadi yetu kukurupuka. Bahati mbaya gharama ya kukurupuka kwetu inakuja kugharimu watu wasio na hatia kama kina Victor.

Waziri nchimbi alikurupuka bungeni
Waziri mkuu alikurupuka
Hata Rais pia alikurupuka.

Sasa, how to reverse it. Bora apelekwe mahakamani.
 
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]
ABACA5.jpg

[/FONT]
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]
Mtuhumiwa Bomu Kanisani Arusha, Victor Ambrose Calist (20).​
[/FONT]

[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]
[/FONT]





[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]MTUHUMIWA mmoja kati ya tisa waliotiwa mbaroni na jeshi la polisi baada ya kutokea mlipuko wa bomu katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka 21 ya ma
[/FONT]

[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]uaji na kujaribu kuua.
[/FONT]

[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]Kesi ya mshtakiwa Victor Ambrose Calist (20) ambaye ni dereva wa bodaboda na mkazi wa eneo la Kwa Mromboo jijini Arushai amesomewa mashtaka yake mbele ya Hakimu mkazi, Devotha Kamuzora.CHANZO http://audifacejackson.blogspot.com

[/FONT]





kijana mbaya sana huyo!!yaan analipua waumini wenzake!!!!!!ashughulikiwe ipasavyo!!
 
Kwa nini wageni hao walikamatwa na kuhusishwa na kadhia hiyo? Serikali iko tayari kuwalipa fidia kwa kuwachafua kwa tuhuma zisizowahusu? Kwa nini walikamatwa wao badala ya wengine waliokuwa eneo la tukio? Watz tuna maswali mengi juu ya jambo hili na tunaelekea kuamini maneno ya Card Pengo
iKuna kitu nlimiss. Naomb uniweke kwenye scene. Cardinal Pengo alisemaje?
 
Back
Top Bottom