Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti wa jumuia ya Afrika mashariki ni Mseven, hufuatilii mambo kaa kimya, pili mbona kila siku bidhaa za mamilioni zilizoingizwa nchini bila kufuata sheria toka china zinateketezwa hupigi kelele, kama vifaranga hao wakenya walikataa visirudishwe kwasababu havikupitia katika njia wanazozifahamu huko Kenya, ulitaka vipelekwe wapi?Acheni maamuzi ya Kibabe kwa watu wa mataifa mengine. Mahusiano bora ni mtaji wa kibiashara na kukuza uchumi, ukimkwaza jirani nani atakuhifadhi wakati wa shida?
Sheria zinaweza kubadilishwa muda wowote, lakini upendo ukipotea chuki hutawala.
Mwambieni Sizonje kuwa uenyekiti wa Afrika Mashariki isiwe sababu ya kufanya ubabe kwa wengine.
Mkibanwa na utawala mbovu mnakimbilia kwenye Sheria mbovu mbovu.
Gharama ya kuchunguza ungetoa wewe? Fanya biashara halali ndugu acha biashara za wizi kutegemea huruma.Serikali ijue sehemu kubwa ya wajasiriamali huwa wanafanya biashara zao kati ya Kenya na Tanzania na hiyo imesaidia sana masuala ya ajira. TRA miaka yote huwa inatoza faini kwa mtu anapokuwa amevunja utaratibu kwa mfano wale vifaranga wangechunguzwa na kukutwa hawana ugonjwa TRA walikuwa wanauwezo wa kumpiga faini mwenye vifaranga kufuatana na thamani ya mzigo na kumpa vifaranga vyake. Tuache kutumia lugha ya kuteketeza ama kutaifisha.
Matokeo yake ni kufilisi hawa wafanyabiashara wadogo
Sheria tunasubiri The day of Judgement si sehemu yeyote hapa duniani Wacha kuwa na Roho Mbaya Kama KunguniGharama ya kuchunguza ungetoa wewe? Fanya biashara halali ndugu acha biashara za wizi kutegemea huruma.
Hii ni awamu ya tano sheria lazima zifuatwe.
Sasa povu la nini sasa. Unataka ulazimishe matakwa yako binafsi. Ona sasa unavyojiaibisha. Unaongozwa na mihemko. Leta point hapa kwanini wasichomwe? Je, gharama ya kuwafanyia uchunguzi utatoa wewe? Mbona vifaa vingi tu toka china vinachomwa?Sheria tunasubiri The day of Judgement si sehemu yeyote hapa duniani Wacha kuwa na Roho Mbaya Kama Kunguni
Sasa wewe na familia yako mulifaidi nini uchomaji wa Vifaranga hivyo kama sio mihemko ya kuwa na IQ zeroSasa povu la nini sasa. Unataka ulazimishe matakwa yako binafsi. Ona sasa unavyojiaibisha. Unaongozwa na mihemko. Leta point hapa kwanini wasichomwe? Je, gharama ya kuwafanyia uchunguzi utatoa wewe? Mbona vifaa vingi tu toka china vinachomwa?
Acha ushamba.
Faida niliyopata ni kutopata magonjwa yatokanayo na ndege. Au wewe unaangalia familia yako tu kupata pesa? Tuliza munkali dogo. Mihemko haijengi.Sasa wewe na familia yako mulifaidi nini uchomaji wa Vifaranga hivyo kama sio mihemko ya kuwa na IQ zero
Unalalamika nini mbona mambo yapo wazi?, kama wewe na familia yako hamna tabia ya kufuata sheria na maadili mliyojiwekea hilo ni lako, pigia kelele serikali na watendaji wasiofuata sheria, sio kulalamikia watu wanaofanya kazi kwa mujibu wa taratibu tulizojiwekea, mwisho utasema majambazi walioiba Kenya wakiingia Tanzania, mali walizokamatwa nazo zitozwe kodi na waachwe waondoke na mali zao.Sasa wewe na familia yako mulifaidi nini uchomaji wa Vifaranga hivyo kama sio mihemko ya kuwa na IQ zero
Sio kulalamika miaka yote vifaranga na mayai hutoka Kenya sasa huyo binti kupata hasara ya milioni 12 ni furaha kwenu. Haya maswala ya wafanyabiashara ndogo ndogo ni very common sehemu nyingi dunia ndio maana TRA wanasheria maalumu ndogo ya kuwaadhibu sio kuwafilisiUnalalamika nini mbona mambo yapo wazi?, kama wewe na familia yako hamna tabia ya kufuata sheria na maadili mliyojiwekea hilo ni lako, pigia kelele serikali na watendaji wasiofuata sheria, sio kulalamikia watu wanaofanya kazi kwa mujibu wa taratibu tulizojiwekea, mwisho utasema majambazi walioiba Kenya wakiingia Tanzania, mali walizokamatwa nazo zitozwe kodi na waachwe waondoke na mali zao.
Wewe umeambiwa hata huko Kenya hivyo vifaranga havikupitia njia halali, je kama vimeibiwa huko Kenya tutajuaje huku?, vingekuwa huko Kenya vimepitia njia halali na amevilipia ushuru na kodi husika, hiyo gharama ya kuvipima angelipia huko Kenya, japo sisi tusingeviruhusu kuongia, lakini vonherudishwa huko Kenya huenda angerudishiwa japo sehemu ya pesa zake
Wewe unajua sheria za TRA pekee siyo?Sio kulalamika miaka yote vifaranga na mayai hutoka Kenya sasa huyo binti kupata hasara ya milioni 12 ni furaha kwenu. Haya maswala ya wafanyabiashara ndogo ndogo ni very common sehemu nyingi dunia ndio maana TRA wanasheria maalumu ndogo ya kuwaadhibu sio kuwafilisi
Sasa afadhali hata nyumbu wanaohamia Kenya na kurudi Tanzania tuwazuie wasilete ugonjwa. Akili yako inawaza wizi tu lakini haifikirii ujirani mwema na majirani zetu. Tumeuza ngombe zao 1300 wao wamekamata ngombe 4000 wameachia. Kwasababu ya roho mbaya mliyonayo ndio maana hata maisha na uchumi unazidi kuporomoka.Wewe unajua sheria za TRA pekee siyo?
Hebu soma vizuri maelezo ya Wizara ya mambo ya nje hapo juu. Tabia za wizi ndio zinawaponza. Acheni wizi vijana, Fanyeni biashara halali. Vifaranga wanaweza kuwa na GMO diseases utaweza kuwatibu watu kansa?
Acha ushamba wewe, serikali haiendeshwi na matakwa ya mtu binafsi anayevunja utaratibu, inaendeshwa na sheria.
Acha utoto bana, unatakiwa ukue kiakili.
Hapo ndipo uwezo wako ulipogota kufikiriaMwenyekiti wa jumuia ya Afrika mashariki ni Mseven, hufuatilii mambo kaa kimya, pili mbona kila siku bidhaa za mamilioni zilizoingizwa nchini bila kufuata sheria toka china zinateketezwa hupigi kelele, kama vifaranga hao wakenya walikataa visirudishwe kwasababu havikupitia katika njia wanazozifahamu huko Kenya, ulitaka vipelekwe wapi?
Kwani na wewe unakulaga kuku na mayai?Faida niliyopata ni kutopata magonjwa yatokanayo na ndege. Au wewe unaangalia familia yako tu kupata pesa? Tuliza munkali dogo. Mihemko haijengi.
Basi mkumbushe mchumba wako Sizonje aache kujiona bado ni mwenyekiti wa EAC.Mwenyekiti wa jumuia ya Afrika mashariki ni Mseven, hufuatilii mambo kaa kimya, pili mbona kila siku bidhaa za mamilioni zilizoingizwa nchini bila kufuata sheria toka china zinateketezwa hupigi kelele, kama vifaranga hao wakenya walikataa visirudishwe kwasababu havikupitia katika njia wanazozifahamu huko Kenya, ulitaka vipelekwe wapi?
Kuitwa binadamu ni pamoja na kuwa na uwezo wa kutambua ubaya na uzuri kwa kila jambo unaloamua, sheria zipo na zimetungwa na wanadamu, je wewe una amini kila jambo litatuliwa kwa sheria?, utu wa mwanadamu ni pamoja na maamuzi ya busara, je ingekuwa mtoto wako kafanya kosa kubwa kwa jirani,ungetaka sheria ifuate au mazungumzo?Faida niliyopata ni kutopata magonjwa yatokanayo na ndege. Au wewe unaangalia familia yako tu kupata pesa? Tuliza munkali dogo. Mihemko haijengi.