Taarifa ya Spika wa bunge, ya chama cha mapinduzi CCM, na ya tume huru ya taifa ya uchaguzi zinasubiriwa kwa hamu na watanzania

Taarifa ya Spika wa bunge, ya chama cha mapinduzi CCM, na ya tume huru ya taifa ya uchaguzi zinasubiriwa kwa hamu na watanzania

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
kwa wakati huu,
shauku, bashasha, macho na maskio ya miongoni mwa wadau wa siasa, harakati na demakrasia nchini Tanzania, yameelekezwa zaidi katika kujua, kuelewa na kufahamu matokeo ya hatua muafaka ambazo taasisi imara sana za umma zimechukua dhidi ya vielelezo vya uthibitisho vilivyoibuliwa majuzi na miongoni mwa wabunge wa bunge la Tanzania na kuwasolishwa kwa spika..

kupitia kamati ya haki, maadili na madaraka ya bunge...
Je, wamebaini kitu gani kwenye vielelezo alivyowasilisha muungwana wa jimbo la kisesa? wamefikia uamuzi upi wa mwisho na kumshauri spika, kwa maslahi mapana ya taifa, heshima ya bunge la Tanzania, chama na serikali sikivu ya ccm?

na wamependekeza hatua gani muhimu za kuchukua kulingana na kazi nzito, wajibu na majukumu muhimu na mazito sana waliyopewa na bunge kupitia kiti cha spika..

lakini pia taarifa ya maamuzi ambayo ccm itayachukua dhidi ya mwanachama wake baada ya maamuzi ya bunge dhidi ya mbunge wa ccm. unadhani wanaweza chukua hatua gani kisiasa?

lakini pia jambo la mwisho muhimu,
ni kitu gani Tume Huru ya ya Taifa Uchaguzi itaarifiwa na ccm kuhusu mwanachama wake ambae ni mbunge, kisha na wao kulijulisha bunge na umma wa waTanzania?

unadhani nini kitatokea?
let's wait and see, muda utaongea :BASED:
 
"Upepo mbay, utapita"
"Na hili pia, mkalitazame"

Hi ndio awamu yake, mategemeo yapi hayo ya ajabu yatatokana na akili aribifu? Abdul kumpindua mam'ake?
 
shauku, bashasha, macho na maskio ya miongoni mwa wadau wa siasa, harakati na demakrasia nchini Tanzania, yameelezwa zaidi katika kujua, kuelewa na kufahamu matokeo ya hatua muafaka ambazo taasisi imara sana za umma zimechukua dhidi ya vielelezo vya uthibitisho vilivyoibuliwa majuzi na miongini mwa wa bunge wa bunge la Tanzania na kuwasolishwa kwa spika..
Report iyo itaibua hisia kwa wabunge wengi kwa haraka Kuna team Bashe na Team mpina hapa wapo akina msukuma n k
 
HAPA NI PUNDA AFE, MZIGO UFIKE. BORA KUMPOTEZA BASHE TUKAJENGA IMANI KWA WANANCHI KULIKO KUMTOSA MPINA NA KUPOTEZA KURA. IHIIIIIIIIII BAGOSHAAAA, NINGEKUWA MIMI, NAMTEUA MPINA KWENYE WIZARA HIYO HIYO KUCHUKUA NAFASI YA BASHE
 
Back
Top Bottom