Taarifa ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum kwa Jamii Kuzingatia Sheria ya Mtoto kudhibiti Mmomonyoko wa Maadili

Taarifa ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum kwa Jamii Kuzingatia Sheria ya Mtoto kudhibiti Mmomonyoko wa Maadili

[emoji1][emoji1][emoji1] pigeni tu mishale yote mm nipo pamoja nanyi hadi ukamilifu wa kazi niliyopewa. Ili mradi na maandiko yangu na nyie myasome na mtoe maoni, maana nikikimbia saiti yangu naenda wapi Sasa wakati hao ndiyo nawahitaji. Ila nimecheka kwa sauti.
Sawa mheshimiwa.
Ukienda mjengoni, mkumbushe arudi jukwaani na yeye ale spana zake.
 
Mh
[emoji1][emoji1][emoji1] pigeni tu mishale yote mm nipo pamoja nanyi hadi ukamilifu wa kazi niliyopewa. Ili mradi na maandiko yangu na nyie myasome na mtoe maoni, maana nikikimbia saiti yangu naenda wapi Sasa wakati hao ndiyo nawahitaji. Ila nimecheka kwa sauti.
.hongera sana kw jitihada zako. Unaupiga mwingi ,pokea maua yako!
Pamoja najitihada zako ,nashauri Pamoja na kushughulikia na matukio( Response) Bado kuna kazi unatakiwa kuifanya ya kutengeneza ...muundo mzuri wa kitaasisi wa kushughulikia masuala haya. Hali ilivyo Sasa ,haipo sawa na haiwezi kuleta Matokeo ya haraka na endelevu !
Please restructure your machinery particularly on provision of Social Welfare Services! Utiku mwaka!
 
Mh

.hongera sana kw jitihada zako. Unaupiga mwingi ,pokea maua yako!
Pamoja najitihada zako ,nashauri Pamoja na kushughulikia na matukio( Response) Bado kuna kazi unatakiwa kuifanya ya kutengeneza ...muundo mzuri wa kitaasisi wa kushughulikia masuala haya. Hali ilivyo Sasa ,haipo sawa na haiwezi kuleta Matokeo ya haraka na endelevu !
Please restructure your machinery particularly on provision of Social Welfare Services! Utiku mwaka!
Ahsante Sana kwa maoni yako, tafadhali funguka tu critically eneo lipi hasa liboreshwe kwa mujibu wa muundo wa sasa? Kwa sasa, kama zilivyo wizara ingine tunafuata DXD. Lakini Sasa huku wizarani idara ya ustawi itakuwa idara huru, inafanyiwa kazi.
Karibu sana na ubarikiwe. JamiiYetuFahariYetu, maoni ya jamii chachu ya mabadiliko 🇹🇿🤝
 
Ahsante Sana kwa maoni yako, tafadhali funguka tu critically eneo lipi hasa liboreshwe kwa mujibu wa muundo wa sasa? Kwa sasa, kama zilivyo wizara ingine tunafuata DXD. Lakini Sasa huku wizarani idara ya ustawi itakuwa idara huru, inafanyiwa kazi.
Karibu sana na ubarikiwe. JamiiYetuFahariYetu, maoni ya jamii chachu ya mabadiliko 🇹🇿🤝
Ahsante, Nitaandika nikutumie Mheshimiwa.
 
MUDA MREFU HUMU NILIKUWA NIKI COMMENT YA KUSEMA,TUNATENGENEZA TAIFA LA WAKATAJI MAUNO TU,NAONA SASA COMMENT YANGU IMEANZA KUELEWEKA

ova
 
MUDA MREFU HUMU NILIKUWA NIKI COMMENT YA KUSEMA,TUNATENGENEZA TAIFA LA WAKATAJI MAUNO TU,NAONA SASA COMMENT YANGU IMEANZA KUELEWEKA

ova
Kila jambo duniani kwa wakati wake, ahsante Sana kwa mchango wako. Tunasoma na kuchukua Kila komenti yenye kuleta mchango chanya kwenye safari ya maendeleo na ustawi wa jamii [emoji1241][emoji1666] ubarikiwe
 
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, leo Septemba 12, 2023 amezungumzia wajibu wa familia na jamii kwenye kudhibiti mmomonyoko wa maadili dhidi ya watoto kupitia Sheria ya Moto, Sura ya 13 mahsusi kifungu cha 158 cha Katazo la Jumla.

Dkt. Gwajima amesema kumekuwa na matukio ya uvunjaji wa sheria ya moto ambayo wizara imekuwa ikichukua hatua mbalimbali.

Hivi karibuni pia, imeonekana video fupi ikizunguka mitandaoni inayoonesha watoto wawili wa kike wakiwa wanashiriki kwenye shughuli ya maonesho katika harusi wakicheza wimbo usio na maudhui mazuri na staili isiyo na maadili kwa watoto wa umri wao kinyume na kifungu cha 158(1)(b) cha Sheria ya Moto na nuku kifungu hicho "No person shall- use a child in a wedding show, fashion show or any other similar shows performed during the night"

Pia, imeibuka tabia ya baadhi ya familia na wanajamii kuwatumia watoto kwenye shughuli za maonesho ya harusi, maonesho ya mitindo au maonesho mengine yoyote yanayofanana na hayo katika maeneo yasiyoruhusiwa hasa nyakati za usiku kinyume na kifungu hicho cha 158(b) cha Sheria ya Mtoto.

Matukio hayo kwa kiwango kikubwa huongozwa na washereheshaji kwa jina maarufu ma MC wakishirikiana na waongoza muziki maarufu kwa Ma DJ. Ni dhahiri kuwa kwenye shughuli za namna hiyo, waongozaji pamoja na wasimamizi wa watoto kwenye shughuli hizo hawazingatii takwa la kisheria la kutowaruhusu watoto kushiriki katika shughuli hizo nyakati za usiku wala kulinda maadili ya kitanzania kwa watoto.

Hali hii haikubaliki. Ikumbukwe, hata nyakati za mchana, haistahili kumweka mtoto kwenye mazingira yasiyo rafiki kwa ustawi wake.

Ameyakumbusha makundi yote katika jamii kuzingatia malezi na makuzi ya watoto kwa mujibu wa Sheria ya Moto na Sheria nyingine za nchi. Sheria ya Mtoto iko kwenye m a n d a o vema jamii ijishughulishe kuisoma, kuielewa na kuitekeleza.

Aidha, ameelekeza yafuatayo;
  1. Maafisa Ustawi wa Jami a Maafisa Maendeleo ya Jami katika ngazi za Mikoa na Halmashauri kwa kushirikiana na Wadau a Maendeleo na vyombo vya habari, polisi jamii na madawati ya jinsia ya wanawake na watoto ya jeshi la polisi kutekeleza mpango wa elimu kwa jami kuhusu Sheria ya Mtoto.
  2. Sambamba na elimu kwa jamii, naelekeza Maafisa Ustawi wa Jami na Maafisa Maendeleo ya Jami katika ngazi za Mikoa na Halmashauri wekeni mpango wa ufuatiliaji kuhakikisha kuwa hakuna Mwongoza Sherehe (MC) au Mwongoza Burudani ya Muziki (DJ) kwenye tukio lolote anayevunja Sheria ya Mtoto na Sheria nyingine za nchi;
  3. Wasanii wa Sanaa za aina zote kuanzia filamu, muziki wa aina mbalimbali nawakumbusha kuandaa maudhui ya kazi zenu yenye kulinda maadili na kuzingatia Sheria zinazomlinda Mtoto. Vilevile, watumiaji wa mitandao ya kijamii ya aina zote lindeni maadili na kutekeleza Sheria ya Moto;
  4. Naelekeza familia na jamii kwa ujumla kuhakikisha kwamba watoto wanalelewa na kukuzwa kwa kuzingatia Sheria zinazowalinda watoto na Sheria nyingine za chi ili watoto wake wakiwa salama na wenye maadili mema.
  5. Mtu yoyote atakayeona matendo yanayofanywa kwa watoto yanayovunja Sheria ya Mtoto na Sheria nyingine za chi, atoe taarifa kwenye Dawati la Jinsia na Watoto la Jeshi la Polisi au apige simu bila malipo kwa namba 116 inayopatikana masaa 24 kila siku. Vilevile, kwa masaa ya kazi za ofisi kuna simu ya Kituo cha Huduma kwa Wateja cha Wizara yetu namba 0734 986503 au 026 2160250.
Endapo kutakuwa na haja ya rufaa kwamba, labda kumekuwa na changamoto kwenye huduma hizo, tuma ujumbe kwake Waziri mwenye dhamana ya watoto kwenye namba 0765 345777 na kopi 0734 124191. Tunahitaji kutumia kila aina ya ubunifu katika kuwalinda watoto wetu.

View attachment 2746880View attachment 2746881View attachment 2746882View attachment 2746883
Maelekezo yazingatiwe na hatua kali zichukuliwe baada ya hapo.
 
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, leo Septemba 12, 2023 amezungumzia wajibu wa familia na jamii kwenye kudhibiti mmomonyoko wa maadili dhidi ya watoto kupitia Sheria ya Moto, Sura ya 13 mahsusi kifungu cha 158 cha Katazo la Jumla.

Dkt. Gwajima amesema kumekuwa na matukio ya uvunjaji wa sheria ya moto ambayo wizara imekuwa ikichukua hatua mbalimbali.

Hivi karibuni pia, imeonekana video fupi ikizunguka mitandaoni inayoonesha watoto wawili wa kike wakiwa wanashiriki kwenye shughuli ya maonesho katika harusi wakicheza wimbo usio na maudhui mazuri na staili isiyo na maadili kwa watoto wa umri wao kinyume na kifungu cha 158(1)(b) cha Sheria ya Moto na nuku kifungu hicho "No person shall- use a child in a wedding show, fashion show or any other similar shows performed during the night"

Pia, imeibuka tabia ya baadhi ya familia na wanajamii kuwatumia watoto kwenye shughuli za maonesho ya harusi, maonesho ya mitindo au maonesho mengine yoyote yanayofanana na hayo katika maeneo yasiyoruhusiwa hasa nyakati za usiku kinyume na kifungu hicho cha 158(b) cha Sheria ya Mtoto.

Matukio hayo kwa kiwango kikubwa huongozwa na washereheshaji kwa jina maarufu ma MC wakishirikiana na waongoza muziki maarufu kwa Ma DJ. Ni dhahiri kuwa kwenye shughuli za namna hiyo, waongozaji pamoja na wasimamizi wa watoto kwenye shughuli hizo hawazingatii takwa la kisheria la kutowaruhusu watoto kushiriki katika shughuli hizo nyakati za usiku wala kulinda maadili ya kitanzania kwa watoto.

Hali hii haikubaliki. Ikumbukwe, hata nyakati za mchana, haistahili kumweka mtoto kwenye mazingira yasiyo rafiki kwa ustawi wake.

Ameyakumbusha makundi yote katika jamii kuzingatia malezi na makuzi ya watoto kwa mujibu wa Sheria ya Moto na Sheria nyingine za nchi. Sheria ya Mtoto iko kwenye m a n d a o vema jamii ijishughulishe kuisoma, kuielewa na kuitekeleza.

Aidha, ameelekeza yafuatayo;
  1. Maafisa Ustawi wa Jami a Maafisa Maendeleo ya Jami katika ngazi za Mikoa na Halmashauri kwa kushirikiana na Wadau a Maendeleo na vyombo vya habari, polisi jamii na madawati ya jinsia ya wanawake na watoto ya jeshi la polisi kutekeleza mpango wa elimu kwa jami kuhusu Sheria ya Mtoto.
  2. Sambamba na elimu kwa jamii, naelekeza Maafisa Ustawi wa Jami na Maafisa Maendeleo ya Jami katika ngazi za Mikoa na Halmashauri wekeni mpango wa ufuatiliaji kuhakikisha kuwa hakuna Mwongoza Sherehe (MC) au Mwongoza Burudani ya Muziki (DJ) kwenye tukio lolote anayevunja Sheria ya Mtoto na Sheria nyingine za nchi;
  3. Wasanii wa Sanaa za aina zote kuanzia filamu, muziki wa aina mbalimbali nawakumbusha kuandaa maudhui ya kazi zenu yenye kulinda maadili na kuzingatia Sheria zinazomlinda Mtoto. Vilevile, watumiaji wa mitandao ya kijamii ya aina zote lindeni maadili na kutekeleza Sheria ya Moto;
  4. Naelekeza familia na jamii kwa ujumla kuhakikisha kwamba watoto wanalelewa na kukuzwa kwa kuzingatia Sheria zinazowalinda watoto na Sheria nyingine za chi ili watoto wake wakiwa salama na wenye maadili mema.
  5. Mtu yoyote atakayeona matendo yanayofanywa kwa watoto yanayovunja Sheria ya Mtoto na Sheria nyingine za chi, atoe taarifa kwenye Dawati la Jinsia na Watoto la Jeshi la Polisi au apige simu bila malipo kwa namba 116 inayopatikana masaa 24 kila siku. Vilevile, kwa masaa ya kazi za ofisi kuna simu ya Kituo cha Huduma kwa Wateja cha Wizara yetu namba 0734 986503 au 026 2160250.
Endapo kutakuwa na haja ya rufaa kwamba, labda kumekuwa na changamoto kwenye huduma hizo, tuma ujumbe kwake Waziri mwenye dhamana ya watoto kwenye namba 0765 345777 na kopi 0734 124191. Tunahitaji kutumia kila aina ya ubunifu katika kuwalinda watoto wetu.

View attachment 2746880View attachment 2746881View attachment 2746882View attachment 2746883
Haki nyingine inayotakiwa kupigiwa kelele ni ile ya watoto kupigiwa muziki wa nusu uchi na vitovu nje kwenye mabasi wanaposafiri
 
Ahsante Sana kwa maoni yako, tafadhali funguka tu critically eneo lipi hasa liboreshwe kwa mujibu wa muundo wa sasa? Kwa sasa, kama zilivyo wizara ingine tunafuata DXD. Lakini Sasa huku wizarani idara ya ustawi itakuwa idara huru, inafanyiwa kazi.
Karibu sana na ubarikiwe. JamiiYetuFahariYetu, maoni ya jamii chachu ya mabadiliko 🇹🇿🤝
Dkt,
Ndiyo maana akina Lisu na Chadema wanakwambia katiba hii haifai, si mambo ya kisiasa tu hata family values/maadili.
Msuya (waziri mkuu mstaafu) alipenedekeza "Ammendments" kwenye katiba kusiwe na katiba mpya bali hii hii iwe inafanyiwa marekebisho, kwa sababu hakuna Katiba ambayo iko permanent haibadiriki.

Tunarudi kule kule maadili yanaanzia nyumbani, kwenye familia,
== Suala la Single mothers liangaliwe kiundani, huwezi kuwa na Nchi maskini kama Tanzania kuwa na Single mothers wanaozidi 50%.
== Ndoa za wake wengi - Kuna udhaifu hapa, ati katiba inaruhusu mila za kidini na kimila, mtu kuwa na wake hadi 10, is that freedom? Sasa hii ni freedom au weakness? Hapo na cheti cha ndoa unapewa, ati mke wa tatu au wanne! Serikali lazima iingilie hapo, duniani kote ustaarabu hufuatwa, kuwe na regulations, siyo tuaishi kama ujima. Na viongozi wote ndiyo wa kwanza kuvunja hizi seheria
== Wazazi kuwajibika na watoto wanaowazaa, kuwatunza, shule na makuzi hadi wafikapo 18(adults, suffrage etc)
== Job creation: Huwezi kutegemea family zenye maadili kwa watu ambao hawana kipato, kila kitu kigumu kukipata, hata chakula. Employment siyo government/public sector, hapana; private sector iimarishwe.
 
Walio fanikiwa kudhibiti maadili ni baadhi ya nchi za mashariki ya kati na asia
Pamoja na kutuzidi maendeleo lakini maadili kwao yanazingatiwa

Hapa kwetu wasanii mitandao ya kijamii imekuwa sababu ya maadili kuporomoka.
 
Inashangaza sana mkuu mnajua kuna nyimbo hazina maadili alafu mwaziacha tu,pigeni ban hizo nyimbo zisizo na maadaili ndo mengineyo yafuate
 
Walio fanikiwa kudhibiti maadili ni baadhi ya nchi za mashariki ya kati na asia
Pamoja na kutuzidi maendeleo lakini maadili kwao yanazingatiwa

Hapa kwetu wasanii mitandao ya kijamii imekuwa sababu ya maadili kuporomoka.
Maadili is a blurred abstract concept, it's silly parents or delegates of those events call it wedding ceremonies are dressed half naked and video clips being scattered and accessible to kids or rather children at their disposal, and very often children are part of a larger audience even if they aren't show cased in the frontier role of the events it doesn't make sense hio kitu maadili. Total confusion
 
Dkt,
Ndiyo maana akina Lisu na Chadema wanakwambia katiba hii haifai, si mambo ya kisiasa tu hata family values/maadili.
Msuya (waziri mkuu mstaafu) alipenedekeza "Ammendments" kwenye katiba kusiwe na katiba mpya bali hii hii iwe inafanyiwa marekebisho, kwa sababu hakuna Katiba ambayo iko permanent haibadiriki.

Tunarudi kule kule maadili yanaanzia nyumbani, kwenye familia,
== Suala la Single mothers liangaliwe kiundani, huwezi kuwa na Nchi maskini kama Tanzania kuwa na Single mothers wanaozidi 50%.
== Ndoa za wake wengi - Kuna udhaifu hapa, ati katiba inaruhusu mila za kidini na kimila, mtu kuwa na wake hadi 10, is that freedom? Sasa hii ni freedom au weakness? Hapo na cheti cha ndoa unapewa, ati mke wa tatu au wanne! Serikali lazima iingilie hapo, duniani kote ustaarabu hufuatwa, kuwe na regulations, siyo tuaishi kama ujima. Na viongozi wote ndiyo wa kwanza kuvunja hizi seheria
== Wazazi kuwajibika na watoto wanaowazaa, kuwatunza, shule na makuzi hadi wafikapo 18(adults, suffrage etc)
== Job creation: Huwezi kutegemea family zenye maadili kwa watu ambao hawana kipato, kila kitu kigumu kukipata, hata chakula. Employment siyo government/public sector, hapana; private sector iimarishwe.
Ahsante Sana. Nimekusoma. Kuhusu ushiriki wa sekta binafsi kwenye kuongeza ajira Iko siku kwa upande wa Maendeleo na Ustawi tutawasilisha mjadala wa mwelekeo wa sekta kwenye kuongeza ajira kupitia PPP. Shukrani sana
 
Walio fanikiwa kudhibiti maadili ni baadhi ya nchi za mashariki ya kati na asia
Pamoja na kutuzidi maendeleo lakini maadili kwao yanazingatiwa

Hapa kwetu wasanii mitandao ya kijamii imekuwa sababu ya maadili kuporomoka.
Tunamshukuru Mungu jana tulikuwa na BASATA pamoja na wadau wa Sanaa zote chini yao ambapo, tunachukua mwelekeo wa kuimarisha uratibu wa kisekta Ili sasa tuwe tunaona nani huwa hafuati sheria, miongozo, kanuni na taratibu awe anaitwa mbele ya kamati atuambie upi ni mchango wake kati ya kuchochea kujenga maadili au kubomoa. Ni wakati Sasa wa Kila mdau kusimama kwenye nafasi yake kwa maendeleo na ustawi wa jamii. Inawezekana [emoji1241][emoji1666]
IMG_20230912_170011_228.jpg
 
Maadili is a blurred abstract concept, it's silly parents or delegates of those events call it wedding ceremonies are dressed half naked and video clips being scattered and accessible to kids or rather children at their disposal, and very often children are part of a larger audience even if they aren't show cased in the frontier role of the events it doesn't make sense hio kitu maadili. Total confusion
Tutaeleza, kufafanuliana, kujadiliana mwanzo mwisho hadi tufahamu nani wapi haelewi kwa Sababu zipi. Sheria zipo wazi kabisa kuanzia sheria ya mtoto na sheria za BASATA na vyombo vingine, sijui wazazi na Walezi nao shida nn hawafuati hadi tukimbizane. Mjadala wa wazi wa jamii utatupa njia ya ziada Kamati ya sekta zote Iko kazini kuja na mpango wa haraka 21 days.
 
Back
Top Bottom