OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Utopolo next level
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ni tarehe 4 mwezi wa 2 nyani huna akili kabsa wewe, bango lenu limeandikwa 4/01/2021!Hawa manyani ko muwazoee. Press release ya Jana tarehe ya leo.
Ila mambumbumbu yameelewa mujarab.Manyani kwa sababu ni uneducated hawataelewa
Umeandika nini sasa, ujaona press release wameitoa jana afu inaonesha imeandikwa trh 4Leo ni tarehe 4 mwezi wa 2 nyani huna akili kabsa wewe, bango lenu limeandikwa 4/01/2021!
Umeandika nini sasa, ujaona press release wameitoa jana afu inaonesha imeandikwa trh 4
Tambwe Fc,Nyani Fc,Mbwa FC,Utopolo Fc. Unateseka ukiwa sehemu gani ya Nchi?Badala ya kumwambia mo atoe b20 umekazana fedha ya Tambwe sasa amelipwa na usajili upo palepale sijui kwanini Bodaboda/Mbumbumbu/Mipaka wana akili nzito isiyochambua mambo ndio maana hata uwanja mnaodai ni umeandikwa Mo Arena hamna chenu pale shauri ya umbumbumbu wenu
Atoe Bil 20 ya nini? Akae nayo tu.anayoyafanya simba kwa sasa ni makubwa sana. Mi nadhani apewe tu team.Badala ya kumwambia mo atoe b20 umekazana fedha ya Tambwe sasa amelipwa na usajili upo palepale sijui kwanini Bodaboda/Mbumbumbu/Mipaka wana akili nzito isiyochambua mambo ndio maana hata uwanja mnaodai ni umeandikwa Mo Arena hamna chenu pale shauri ya umbumbumbu wenu
akitoa 20b nyie uto baby mtapata ngapiBadala ya kumwambia mo atoe b20 umekazana fedha ya Tambwe sasa amelipwa na usajili upo palepale sijui kwanini Bodaboda/Mbumbumbu/Mipaka wana akili nzito isiyochambua mambo ndio maana hata uwanja mnaodai ni umeandikwa Mo Arena hamna chenu pale shauri ya umbumbumbu wenu
Yetu macho.Mashabiki wanao amini ushindi wa uwanjani unapatikana kupitia MAPAKA SHUME wanafurahia kweli! Wamesahau wana deni la dola laki 2 za Kichuya!!
Si ni tumilioni 44 tu!! Hiyo kwa Wananchi ni hela ya mboga tu!! Tunasubiri Viongozi wetu watoe mwongozo kwanza. Mbona kila Mwananchi akitoa buku, timu inapata bilioni kadhaa. Kama tuliibeba timu yetu wakati ule, tutashindwaje wakati huu?
Mbumbumbu+ hizo ni typing error kea kuwa hata Shule kwako ni shida basi unaona shida. Mbona ninyi Hilo bangor jana mmebndika wachezaji 10? Je Jana mechi na Dodoma mlianza na wachezaji 10?Manyani kwa sababu ni uneducated hawataelewa
Siwezi kubishana na manyani yanayobweka kama mbwa tena uneducatedMbumbumbu+ hizo ni typing error kea kuwa hata Shule kwako ni shida basi unaona shida. Mbona ninyi Hilo bangor jana mmebndika wachezaji 10? Je Jana mechi na Dodoma mlianza na wachezaji 10?View attachment 1695550