Pre GE2025 Taarifa za Kiintelijensia ndani ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu

Pre GE2025 Taarifa za Kiintelijensia ndani ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Impactinglife

Member
Joined
Apr 15, 2019
Posts
41
Reaction score
99
Za ndani kabisa imefichuka kuwa Kuna Kila Dalili ya makundi matatu yenye nguvu kuungana na kupinga mwenyekiti aliyepo madarakani kugombea URAIS tena 2025. Lengo lao ni kuvunja matabaka na tofauti zao na kumsimamisha mtu mmoja ambaye ni mgeni ndani ya chama.

Na hili Ili litokee wameandaa watu watatu wa kujitoa mhanga Kudai nao wanataka URAIS mmoja wapo ni yule aliyesimama Jana Kudai MAFANIKIO YA ILANI YA CHAMA yajadiliwe mwenyekiti na viongozi wa kuu wa chama wakiwa wametoka nje ya ukumbi Ili kutoa nafasi ya watu kutoa hoja zao Kwa uhuru.

Pili Ili ku counterpart mashambulizi team ya mwenyekiti imesukwa kumnadi na kutaka mkutano huu utoke na jina la mgombea URAIS 2025 na haya yote tutashuhudia praise team ikiimba Kila wimbo leo.

KUMEANZA KUCHANGAMKA.... MPIRA UPO KATI.
 
Na hili Ili litokee wameandaa watu watatu wa kujitoa mhanga Kudai nao wanataka URAIS mmoja wapo ni yule aliyesimama Jana Kudai MAFANIKIO YA ILANI YA CHAMA yajadiliwe mwenyekiti na viongozi wa kuu wa chama wakiwa wametoka nje ya ukumbi Ili kutoa nafasi ya watu kutoa hoja zao Kwa uhuru.
Du!!
Yalitokea haya!!
 
Na hili Ili litokee wameandaa watu watatu wa kujitoa mhanga Kudai nao wanataka URAIS mmoja wapo ni yule aliyesimama Jana Kudai MAFANIKIO YA ILANI YA CHAMA yajadiliwe mwenyekiti na viongozi wa kuu wa chama wakiwa wametoka nje ya ukumbi Ili kutoa nafasi ya watu kutoa hoja zao Kwa uhuru.
Je na huyo Livingstone Lusinde ni mmojawapo!!?

Mbona kama ametoa Rai wajumbe watoke nje ili secretariet ifanye maamuzi fulani!!?
 
Hakuna wakushindana na Mama, Mimi binafsi namkubali sana mama na atapata kura za kishindooo 2025
 
Yaani wanaume wanamgwaya mwanamke wa kutoka nchi jirani ya Zanzibar hakika CCM ni adui wa Watanganyika
Mtatokwa na nnya mwaka maamamamamamae, pambaneni na Hali yenu huko. Michuki yenu inazidi kumpaisha siku baada ya siku.......Kila anachokigusa Sasa kinageuka kuwa dhahabu.
 
Za ndani kabisa imefichuka kuwa Kuna Kila Dalili ya makundi matatu yenye nguvu kuungana na kupinga mwenyekiti aliyepo madarakani kugombea URAIS tena 2025. Lengo lao ni kuvunja matabaka na tofauti zao na kumsimamisha mtu mmoja ambaye ni mgeni ndani ya chama.

Na hili Ili litokee wameandaa watu watatu wa kujitoa mhanga Kudai nao wanataka URAIS mmoja wapo ni yule aliyesimama Jana Kudai MAFANIKIO YA ILANI YA CHAMA yajadiliwe mwenyekiti na viongozi wa kuu wa chama wakiwa wametoka nje ya ukumbi Ili kutoa nafasi ya watu kutoa hoja zao Kwa uhuru.

Pili Ili ku counterpart mashambulizi team ya mwenyekiti imesukwa kumnadi na kutaka mkutano huu utoke na jina la mgombea URAIS 2025 na haya yote tutashuhudia praise team ikiimba Kila wimbo leo.

KUMEANZA KUCHANGAMKA.... MPIRA UPO KATI.
Mnashabikia mgogoro wa CHADEMA lakini soon utaanza na kwenu. Huu ni mwaka wa mitikisiko mjiandae tu!
 
Kama wapinzani ni kweli wanaamini Samia ni mwepesi basi wafurahie uteuzi wake
 
Za ndani kabisa imefichuka kuwa Kuna Kila Dalili ya makundi matatu yenye nguvu kuungana na kupinga mwenyekiti aliyepo madarakani kugombea URAIS tena 2025. Lengo lao ni kuvunja matabaka na tofauti zao na kumsimamisha mtu mmoja ambaye ni mgeni ndani ya chama.

Na hili Ili litokee wameandaa watu watatu wa kujitoa mhanga Kudai nao wanataka URAIS mmoja wapo ni yule aliyesimama Jana Kudai MAFANIKIO YA ILANI YA CHAMA yajadiliwe mwenyekiti na viongozi wa kuu wa chama wakiwa wametoka nje ya ukumbi Ili kutoa nafasi ya watu kutoa hoja zao Kwa uhuru.

Pili Ili ku counterpart mashambulizi team ya mwenyekiti imesukwa kumnadi na kutaka mkutano huu utoke na jina la mgombea URAIS 2025 na haya yote tutashuhudia praise team ikiimba Kila wimbo leo.

KUMEANZA KUCHANGAMKA.... MPIRA UPO KATI.
Kwa kweli kile kilichofanyika mchana huu ni maajabu.Hata Nyerere pamoja na kuwa na Mamlaka makubwa mno hakudiriki kuburuza wajumbe kiasi hicho.
Jambo hilo litaleta mgogolo ndani ya chama.
 
Za ndani kabisa imefichuka kuwa Kuna Kila Dalili ya makundi matatu yenye nguvu kuungana na kupinga mwenyekiti aliyepo madarakani kugombea URAIS tena 2025. Lengo lao ni kuvunja matabaka na tofauti zao na kumsimamisha mtu mmoja ambaye ni mgeni ndani ya chama.

Na hili Ili litokee wameandaa watu watatu wa kujitoa mhanga Kudai nao wanataka URAIS mmoja wapo ni yule aliyesimama Jana Kudai MAFANIKIO YA ILANI YA CHAMA yajadiliwe mwenyekiti na viongozi wa kuu wa chama wakiwa wametoka nje ya ukumbi Ili kutoa nafasi ya watu kutoa hoja zao Kwa uhuru.

Pili Ili ku counterpart mashambulizi team ya mwenyekiti imesukwa kumnadi na kutaka mkutano huu utoke na jina la mgombea URAIS 2025 na haya yote tutashuhudia praise team ikiimba Kila wimbo leo.

KUMEANZA KUCHANGAMKA.... MPIRA UPO KATI.
January inakawia kwisha kiwake
 
Back
Top Bottom