Taarifa za kuugua kwa Prof. Mwesiga Baregu

Taarifa za kuugua kwa Prof. Mwesiga Baregu

Hospitali ya Muhimbili imeboreshwa sana na jemedari wetu rais wa mfano duniani Dk Magufuli.

Bila shaka prof Baregu atapata huduma bora kabisa na akitoka hapo atakuwa balozi mwema wa juhudi za rais Magufuli katika kuboresha maisha ya watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekosea kutoa maelezo yako. Uboreshaji ni jukumu la serikali. Labda Kikubwa cha kujiuliza leo, hosp yetu hii inaaminiwa kutibu mkamanda wetu hawa? Kwa nini chama kisifanye mpango kumpeleka Nairobi?
 
Prof ugua pole. Mungu atakuponya mapema tuendelee kuipigania demokrasia ya kweli Tanzania na Afrika.
 
Maombi yetu ni Mungu wetu mwenye huruma umjalie afya njema Prof. Baregu ili aendelee kuwa na wanafamilia wake na sisi sote.
 
Hospitali ya Muhimbili imeboreshwa sana na jemedari wetu rais wa mfano duniani Dk Magufuli.

Bila shaka prof Baregu atapata huduma bora kabisa na akitoka hapo atakuwa balozi mwema wa juhudi za rais Magufuli katika kuboresha maisha ya watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hizo pesa alikuwa anazitoa mfukoni mwake au ni KODI ya watanzania wote?
 
Back
Top Bottom