Huu mwingine ni upuuzi na uKAJUJUwa hali ya juu,hayo mambo yenu na chama chenu yanatuhusu nini humu??mmeshindwa kumalizana wenyewe huko unaleta ripoti huku then sisi tukusaidie nini??Halafu unaweka tu ripoti eti ukweli umeonekana,ukwei upi na kwa nani??kuna mtu amekulalamikia akisema kuna uongo??Wasomi makanjanja wa aina yako ndo wanachangia kurudisha maendeleo ya nchi yetu nyuma maana mnatupotezea muda kusoma visivyotuhusu mkijifanya nyie watakatifu. Badala ya kuwaza unaimarishaje hicho chama chako kwa ushiriki wako wewe unakimbilia kuweka mambo ya auditing mtandaoni,Hivi wewe umeshawahi kuwa kiongozi katika hicho chama??au ndo wale wale mnaweka mikia yenu matakoni kama mbwa kwa uoga wenu wa kufukuzwa kazi mkisubiria wengine wapigike kuwatetea hata kwa mambo ya kawaida tu. Mkiona manufaa mnasahau kama yametokana na jasho lao na mnachelekea kama mazuzu tu. Wasomi wa Kitanzania bado wana safari ndefu sana ya kujitambua