Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
- Je ni kweli kuna miili mingine mitatu iliokotwa sambamba na marehemu Kibao?
- Kama ni kweli, kwa nini polisi haitoi taarifa kuhusu kupatikana miili hiyo?
Soon miili inaweza kuhamishwa ama kuzikwa as unadentified bodies.
Code with uncoded.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana