Taarifa za mikopo midogo midogo ya kibiashara!


Wote naona interest zao ni about 20%
 
Imeongelewa mikopo toka benki na taasis za fedha, mikopo toka kampuni za simu ipo, lakini itawafilisi watu na serikali inatazama. Riba ni tishio, kwa mfano mikopo ya timiza ni 14.5% kwa siku 21! Kwa mwaka nawaachia wachumi waendelee.
 
Je hii ya lazima uwe na dhamana wakati ndo unaanza ipoje TUNAPENDA SANA KUKOPA TATIZO MASHARTI YAKE MAGUMU KATIKA BANK NYINGI TZ
 
Benki Bora ya kukopa ni NMB tu ila kuupata utatembea miezi mitatu, watakuzungusha ili uwabip na rushwa, ukichukua 10,000,000/= jua 1mil au laki sita 600
 
Sasa wengine hizo shule za asilimia hatujui nambie nikikopa laki sita au millioan moja narejesha ngapi fedha !
 
Tanzania Womens Bank riba zao ni nafuu Sana ni 12.5%, na mikopo yao ipo ya miezi sita 200,00/= hadi 400,000/= na mwaka mmoja hadi miwili 500,000/= hadi milioni 3.
 
Habari,jaman Mimi Nina Kiwanja Kipo Iringa Mjini-ISAKALILO Hakina Hati(nlijaribu Kufuatilia Hati Wakanizungusha Sana Pia Nikashindwa),naomba Kwa Yeyote Au Anaejua Wapi Nitapata Mkopo Wa Milioni 1 Security Ni Hicho Kiwanja Na Ntailipa Ndani Ya Miezi 6 Nahitaji Nifanye Kilimo Eneo La Mgololo..Shamba Nimeshakodi Na Kukulima Hvyo Bado Mbegu Na Madawa Tu.Naombeni Sana Kwa Yeyote Anisaidie Ili Nijikwamue Kimaisha
0769868915
 
je hakuna kabisa zinazotoa japo kwa dhamana wa kiwanja bila hati lakini
 
Samahanini kwa anayefaham hili kwa kina anifahamishe Je ni kweli Bayport wanakopesha simu za smartphone na ofisi zao ziko wapi
 
Samahanini wana jf mimi nina vifaa vya salon ya kike nina kila kitu sasa nachohitaji ni bank gani inayoweza kunipatia mkopo wa laki 5 tu nataka nikodishe flem nifungue salon problem yangu ni kodi vifaa ninavyo na wateja ninao ni mzoefu wa kazi ya salon
 
Imeongelewa mikopo toka benki na taasis za fedha, mikopo toka kampuni za simu ipo, lakini itawafilisi watu na serikali inatazama. Riba ni tishio, kwa mfano mikopo ya timiza ni 14.5% kwa siku 21! Kwa mwaka nawaachia wachumi waendelee.

m power ya voda mikopo yao ni nafuu sana ukiliganisha na airtel maana voda wao ni 9% ndo riba na unarejesha ndani ya mwezi mmoja
 
Hili bandiko naomba tuliupdate mwenye taarifa za sasa hivi anisaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…