Taarifa za mikopo midogo midogo ya kibiashara!

Taarifa za mikopo midogo midogo ya kibiashara!

nenda pbz islamic branch pale mtaa wa lumumba.
Hawatoi cash ila wanakukopesha vifaa.
Unachagua kifaa dukani au sehemu yoyote then unawaletea invc wanakulipia.
Interest yao ni ndogo sana, asilimia 14 kwa mwaka na wanakupa up to 5 yrs za kulipa mkopo.
Mfn mtu mwenye net salary ya 500000 wanaweza kukukopesha up to 14m ukalipia kwa miaka 5.
Kwa kifupi mkopo kupitia islamic banking yoyote iwe amana, kcb, pbz au nbc ni nafuu maradufu ya mabenki mengine yote.
Wadau wengine wanaweza kufafanua zaidi.
 
Habarini wana jamvi
kwa anayejua ni benki ipi inayotoa mkopo
kwa riba nafuu. Kwa anayefahamu please
mnisaidie
mi nimuajiriwa gvt

collateral unayo???
bank ya posta wana riba nafuu only 18%
tatizo inabidi uwe na akaunti kwao na ipite miezi miwili

access wanakupa mkopo fasta, hawahitaji ufungue akaunti na ikae miezi, ila tatizo wana riba kubwa
 
nenda pbz islamic branch pale mtaa wa lumumba.
Hawatoi cash ila wanakukopesha vifaa.
Unachagua kifaa dukani au sehemu yoyote then unawaletea invc wanakulipia.
Interest yao ni ndogo sana, asilimia 14 kwa mwaka na wanakupa up to 5 yrs za kulipa mkopo.
Mfn mtu mwenye net salary ya 500000 wanaweza kukukopesha up to 14m ukalipia kwa miaka 5.
Kwa kifupi mkopo kupitia islamic banking yoyote iwe amana, kcb, pbz au nbc ni nafuu maradufu ya mabenki mengine yote.
Wadau wengine wanaweza kufafanua zaidi.


tatizo unakuta mtu anataka akope pesa akafanye mambo mengine, biashara ya pembeni au dili la ghafla, hii ya kumnunulia mtu vifaa inambana mkopaji.

umegusia hapa net ya mshahara, mfano mtu anataka akope amlipie mtoto ada au amalize ujenzi. bado hii mikopo ya islamic bank inabana sana, haitoi uhuru wa pesa anayokopeshwa mkopaji.
 
nenda pbz islamic branch pale mtaa wa lumumba.
Hawatoi cash ila wanakukopesha vifaa.
Unachagua kifaa dukani au sehemu yoyote then unawaletea invc wanakulipia.
Interest yao ni ndogo sana, asilimia 14 kwa mwaka na wanakupa up to 5 yrs za kulipa mkopo.
Mfn mtu mwenye net salary ya 500000 wanaweza kukukopesha up to 14m ukalipia kwa miaka 5.
Kwa kifupi mkopo kupitia islamic banking yoyote iwe amana, kcb, pbz au nbc ni nafuu maradufu ya mabenki mengine yote.
Wadau wengine wanaweza kufafanua zaidi.

Mkuu vipi kwa wasio waislamu wanaweza kupata huo mkopo??
 
Habarini wana jamvi
kwa anayejua ni benki ipi inayotoa mkopo
kwa riba nafuu. Kwa anayefahamu please
mnisaidie
mi nimuajiriwa gvt

Sie kaka watumishi wa serikali kimbilio letu kwa mikopo ya riba nafuu ni DCB ndio ya kwanza na jamaa wanatoa mkopo kwa siku hata moja kama ukikamilisha kila kitu,wa pili ni Posta Benki ndio wana riba angalau,kwingne utaumia mkuu
 
collateral unayo???
bank ya posta wana riba nafuu only 18%
tatizo inabidi uwe na akaunti kwao na ipite miezi miwili

access wanakupa mkopo fasta, hawahitaji ufungue akaunti na ikae miezi, ila tatizo wana riba kubwa
Access sio sehemu ya kumshauli mtu akachukue mkopo . mkopo unapata isipokuwa niwasumbufu sana na pia wafanyakazi wao rushwa mbele;
 
FNB ipo poa.

Hiyo bank ya waislam kama nataka kununua basi kwa ajili ya daladala wananinulia? na faida ndio tunagawana sio au? wadau kama mpo!
 
mi naulizia benk ya amana ipo wapi nasikia hy ndo haina riba hata sh kumi ya kiislamu

wana branch kko pembeni ya soko, nyingine ni posta.
Pia nadhani arusha na mwanza wana matawi. Waweza tembelea website yao kwa maelezo zaidi.
Hawana riba ila wanafaida, watembelee utajua zaidi.
 
FNB ipo poa.

Hiyo bank ya waislam kama nataka kununua basi kwa ajili ya daladala wananinulia? na faida ndio tunagawana sio au? wadau kama mpo!

basi watakununulia, hamgawani faida ila ukishachagua basi wanakulipia then watakuuzia tena kwa faida kidogo ambayo utakuwa unalipia kidogo kidogo kwa muda mlokubaliana, up to 5 yrs.
 
tatizo unakuta mtu anataka akope pesa akafanye mambo mengine, biashara ya pembeni au dili la ghafla, hii ya kumnunulia mtu vifaa inambana mkopaji.

umegusia hapa net ya mshahara, mfano mtu anataka akope amlipie mtoto ada au amalize ujenzi. bado hii mikopo ya islamic bank inabana sana, haitoi uhuru wa pesa anayokopeshwa mkopaji.

hapana mkuu, kwa sasa wanafanya hivyo coz ndo wanaanza, wanatoa badhi tu ya huduma, kadri muda unavyosonga wanazidi kuongeza huduma coz wateja wanazidi kuongezeka.
 
basi watakununulia, hamgawani faida ila ukishachagua basi wanakulipia then watakuuzia tena kwa faida kidogo ambayo utakuwa unalipia kidogo kidogo kwa muda mlokubaliana, up to 5 yrs.

Nitaenda kuwapeleleza niuze yangu ya zamani yote
 
hapana mkuu, kwa sasa wanafanya hivyo coz ndo wanaanza, wanatoa badhi tu ya huduma, kadri muda unavyosonga wanazidi kuongeza huduma coz wateja wanazidi kuongezeka.

mkuu peri vilevile nilikwendaga amana bank wakasema hawatoi mikopo kwa watu binafsi, wanatoa kwa makampuni tu. pbz ndio wanatoa kwa watu binafs pia na makampuni. lakini bado mikopo ya staili yao sijaipenda.
 
Back
Top Bottom