Taarifa za mikopo midogo midogo ya kibiashara!

Taarifa za mikopo midogo midogo ya kibiashara!

Naomba wadau wa jukwaa hili tusaidiane kuweka taarifa muhimu za kibenki ili ziwasaidie wadau wanaohitaji mikopo midogo midogo na ile ya kati kwa ajili kuendesha biashara. Natamani tungekuwa na business directory ila sijui kama ipo ....(wenye taarifa watatusaidia).

Nimeweza kukusanya hizi taarifa na naomba wadau muongeze kile mnachokijua,

1. CRDB Bank Ltd...Mikopo midogo midogo (may be 1-20 mil), interest rate (with insurance) ni 20%, na lazima mtu awe na hati ya kiwanja au nyumba

2. FINCA .....Nimepata taarifa kuwa mtu akikopa 15mil anatakiwa kurudisha 1.7mil kwa mwezi ambayo inatupa interest ya 33.3%

3. NBM.....Kuna mtu kachukua loan ya 30mil ambayo atailipa kwa miaka 4; interest + other charges imefikia 12mil (40%)
........Nimepata taarifa za NMB kwamba small loans (100K-5mil) interest rates in 24% (2% per month)

4. TIB (Tanzania investment Bank)...Wanatoa mikopo ya kati na mikubwa...Nasikia wanaanzia USD 150K

5. SACCOS...SACCOS ambayo mie ni mwanachama inatoza 13% ila wanatoa pesa ndogo ndogo (1-10mil) na lazima ukae kwenye queue kwa karibu miezi 6!

7. NBC...Wanatoa mikopo kwa riba ya 20-24% ila iko based on overdraft. Unatakiwa kuwa na hati ya nyumba au dhamana nyingine. Kwa ujumla nimependa package yao ingawa riba bado iko juu sana!!

8. Exim wanatoa mikopo ya biashara kwa riba ya 19%. Unaweza kuchukua zote au kwa overdraft!!

9. Barclays bank wanatoa mikopo ya kati na mikubwa tu (>50mil). Interest yao ni 25%.

10. Stanbic wanatoa mikopo ya biashara pia...interest rates zao ni 21% na matakwa mengine ni kama kwa banks nyingine (hati ya nyumba, leseni ya biashara, audited accounts etc)!! Hawa nao wanatoa overdraft facilities!

11. Kenya Commercial Bank (KBC)....wana mikopo ya biashara kuwanzia 10mil na interest rates zao ni 19%. Masharti mengine ni kama banks nyingine na wanakubali overdraft..Ila sikuweza kupata details za interest rates per month kwenye overdraft!

12. Equity Bank....Inasemekana watakuwa na masharti nafuu ila bado hawajaanza kufanya biashara rasmi. Tutazidi kuwafuatilia!


Mwenye taarifa zaidi atuwekee hapa ili tuweza ku-update hii page ili iwasadie wale wanaohitaji mikopo ili wajikwamue!

Babu DC!!

Updates

Important information (TIB)





Equity Bank
Asante sana kwa taarifa, nitaifuatilia.
 
Tafadhali ninaomba taarifa za mikopo kutoka benki ya Advance, nimesikia kuwa hawana mambo meeengiiii. Msaada please.:cool2:
 
Tafadhali ninaomba taarifa za mikopo kutoka benki ya Advance, nimesikia kuwa hawana mambo meeengiiii. Msaada please.:cool2:


Nimejaribu kupitia kwenye website yao

Nimekutana na maelezo haya kuhusu mikopo,

Advans Bank Tanzania offers easily accessible business loans ranging from Tzs 200,000 up to Tzs 150,000,000 with flexible guarantees. The loan application process is quick and easy with an answer in maximum 15 days but often faster.

Na matawi yao ni hayo hapo,

[h=1]Our Growing Branch Network[/h]
clear.gif


Manzese Branch
Plot No. 93 Morogoro Road, Manzese Darajani
Po. Box 34459-Dar es Salaam
Tel: +255 (0) 22 240 11 76

Kariakoo Branch
Kariakoo street/ Lumumba opp. Harare Inn Hotel,
Po. Box 34459-Dar es Salaam
Tel. +255 (0) 22 218 5312

Temeke branch
Plot No. 137, Opposite Temeke primary court,
Po. Box 34459-Dar es Salaam
Tel. +255 (0) 22 286 1913

Mwanza Branch
Lumumba road opp. Mayi Hotel,
Po. Box 11142-Mwanza
Tel. +255 (0) 28 254 2432

Mbeya Branch
Soweto, Former Royal Zambezi opposite Kiwira Motel,
Po. Box 85-Mbeya
Tel. 0769 439602




[h=1]Opening hours[/h]
clear.gif


[h=1][/h]Monday to Friday: 8.30 am until 4.00 pm

Saturday: 9.00 am until 12.30 pm
 
Jarb kuitembelea AccessBank ni wazuri pia. Mikopo yao ni kwa wajasiliamari kuanzia 100,000 to 25,000,000 kwa mteja mpya. Na collateral items ni vtu vya ndani na biashara. Mikopo waweza toa ndan ya siku tatu tuu
 
Eti vipi kuhusu hawa BancABC mtawazungumziaje kuhusu mikopo yao?
 
Jarb kuitembelea AccessBank ni wazuri pia. Mikopo yao ni kwa wajasiliamari kuanzia 100,000 to 25,000,000 kwa mteja mpya. Na collateral items ni vtu vya ndani na biashara. Mikopo waweza toa ndan ya siku tatu tuu
Access hawafai hao riba zao kubwa sana na usiwadanganye watu kuwa collateral ni vitu vya ndani na biashara tu labda kama ni mkopo wa laki 5! riba ni 4.5% per month . Advance pia hawafai riba 5% wasumbufu sana .
Bank ya posta na NMB ndo mpango mzima kwa wajasiliamali wadogo.
 
safi sana! pia kwa micro finance institutions wanatoa riba kati ya 8-25% kwa mwezi! ila collateral ni muhimi kama kadi ya gari!
 
Eti vipi kuhusu hawa BancABC mtawazungumziaje kuhusu mikopo yao?
 
Naomba wadau wa jukwaa hili tusaidiane kuweka taarifa muhimu za kibenki ili ziwasaidie wadau wanaohitaji mikopo midogo midogo na ile ya kati kwa ajili kuendesha biashara. Natamani tungekuwa na business directory ila sijui kama ipo ....(wenye taarifa watatusaidia).

Nimeweza kukusanya hizi taarifa na naomba wadau muongeze kile mnachokijua,

1. CRDB Bank Ltd...Mikopo midogo midogo (may be 1-20 mil), interest rate (with insurance) ni 20%, na lazima mtu awe na hati ya kiwanja au nyumba

2. FINCA .....Nimepata taarifa kuwa mtu akikopa 15mil anatakiwa kurudisha 1.7mil kwa mwezi ambayo inatupa interest ya 33.3%

3. NBM.....Kuna mtu kachukua loan ya 30mil ambayo atailipa kwa miaka 4; interest + other charges imefikia 12mil (40%)
........Nimepata taarifa za NMB kwamba small loans (100K-5mil) interest rates in 24% (2% per month)

4. TIB (Tanzania investment Bank)...Wanatoa mikopo ya kati na mikubwa...Nasikia wanaanzia USD 150K

5. SACCOS...SACCOS ambayo mie ni mwanachama inatoza 13% ila wanatoa pesa ndogo ndogo (1-10mil) na lazima ukae kwenye queue kwa karibu miezi 6!

7. NBC...Wanatoa mikopo kwa riba ya 20-24% ila iko based on overdraft. Unatakiwa kuwa na hati ya nyumba au dhamana nyingine. Kwa ujumla nimependa package yao ingawa riba bado iko juu sana!!

8. Exim wanatoa mikopo ya biashara kwa riba ya 19%. Unaweza kuchukua zote au kwa overdraft!!

9. Barclays bank wanatoa mikopo ya kati na mikubwa tu (>50mil). Interest yao ni 25%.

10. Stanbic wanatoa mikopo ya biashara pia...interest rates zao ni 21% na matakwa mengine ni kama kwa banks nyingine (hati ya nyumba, leseni ya biashara, audited accounts etc)!! Hawa nao wanatoa overdraft facilities!

11. Kenya Commercial Bank (KBC)....wana mikopo ya biashara kuwanzia 10mil na interest rates zao ni 19%. Masharti mengine ni kama banks nyingine na wanakubali overdraft..Ila sikuweza kupata details za interest rates per month kwenye overdraft!

12. Equity Bank....Inasemekana watakuwa na masharti nafuu ila bado hawajaanza kufanya biashara rasmi. Tutazidi kuwafuatilia!


Mwenye taarifa zaidi atuwekee hapa ili tuweza ku-update hii page ili iwasadie wale wanaohitaji mikopo ili wajikwamue!

Babu DC!!

Updates

Important information (TIB)





Equity Bank

Dark City vipi kuhusu bank ya posta? sijaona mnaiongelea humu!
 
Last edited by a moderator:
Access hawafai hao riba zao kubwa sana na usiwadanganye watu kuwa collateral ni vitu vya ndani na biashara tu labda kama ni mkopo wa laki 5! riba ni 4.5% per month . Advance pia hawafai riba 5% wasumbufu sana .
Bank ya posta na NMB ndo mpango mzima kwa wajasiliamali wadogo.

hapo kwenye bank ya posta fafanua kidogo mkuu riba zao zikoje? na masharti yao ya mkopo yako vipi?
 
Nina eka kumi ya miti ya mbao ya mwaka mmoja na nina hati miliki ya kimila je naweza kupata mkopo nmb au crdb.
 
Nina eka kumi ya miti ya mbao ya mwaka mmoja na nina hati miliki ya kimila je naweza kupata mkopo nmb au crdb.

Hati miliki ya kimila ni ngumu kukubalika bank. Hata hivyo, nenda kaongee nao.
 
Jaman jiungen na vicoba endelevu muweze kupata mkopo wa riba ndogo kabisa ya 10% kuliko kulalamika weee
Naomba msaada wa kupata ukweli kuhusu FOCUS VICOBA, kama ni ipo na inatoa mikopo kweli kama wanavyo pambanua katika link hii www.focusvicoba-tanzania.wapka.mobi. Nimechelea kujiunga ili nipate uhakika kwa mnaojua.
 
Hawa wajamaa wa TIB naona kama wako vyema vp namna ya kuwapata
 
Naomba wadau wa jukwaa hili tusaidiane kuweka taarifa muhimu za kibenki ili ziwasaidie wadau wanaohitaji mikopo midogo midogo na ile ya kati kwa ajili kuendesha biashara. Natamani tungekuwa na business directory ila sijui kama ipo ....(wenye taarifa watatusaidia).

Nimeweza kukusanya hizi taarifa na naomba wadau muongeze kile mnachokijua,

1. CRDB Bank Ltd...Mikopo midogo midogo (may be 1-20 mil), interest rate (with insurance) ni 20%, na lazima mtu awe na hati ya kiwanja au nyumba

2. FINCA .....Nimepata taarifa kuwa mtu akikopa 15mil anatakiwa kurudisha 1.7mil kwa mwezi ambayo inatupa interest ya 33.3%

3. NBM.....Kuna mtu kachukua loan ya 30mil ambayo atailipa kwa miaka 4; interest + other charges imefikia 12mil (40%)
........Nimepata taarifa za NMB kwamba small loans (100K-5mil) interest rates in 24% (2% per month)

4. TIB (Tanzania investment Bank)...Wanatoa mikopo ya kati na mikubwa...Nasikia wanaanzia USD 150K

5. SACCOS...SACCOS ambayo mie ni mwanachama inatoza 13% ila wanatoa pesa ndogo ndogo (1-10mil) na lazima ukae kwenye queue kwa karibu miezi 6!

7. NBC...Wanatoa mikopo kwa riba ya 20-24% ila iko based on overdraft. Unatakiwa kuwa na hati ya nyumba au dhamana nyingine. Kwa ujumla nimependa package yao ingawa riba bado iko juu sana!!

8. Exim wanatoa mikopo ya biashara kwa riba ya 19%. Unaweza kuchukua zote au kwa overdraft!!

9. Barclays bank wanatoa mikopo ya kati na mikubwa tu (>50mil). Interest yao ni 25%.

10. Stanbic wanatoa mikopo ya biashara pia...interest rates zao ni 21% na matakwa mengine ni kama kwa banks nyingine (hati ya nyumba, leseni ya biashara, audited accounts etc)!! Hawa nao wanatoa overdraft facilities!

11. Kenya Commercial Bank (KBC)....wana mikopo ya biashara kuwanzia 10mil na interest rates zao ni 19%. Masharti mengine ni kama banks nyingine na wanakubali overdraft..Ila sikuweza kupata details za interest rates per month kwenye overdraft!

12. Equity Bank....Inasemekana watakuwa na masharti nafuu ila bado hawajaanza kufanya biashara rasmi. Tutazidi kuwafuatilia!


Mwenye taarifa zaidi atuwekee hapa ili tuweza ku-update hii page ili iwasadie wale wanaohitaji mikopo ili wajikwamue!

Babu DC!!

Updates

Important information (TIB)





Equity Bank

Nitawpataje hawa wa TIB naona kama wananhusu
 
Jaribu J Mall Samora Avenue au uliza maeneo ya katikati ya mji.
 
Back
Top Bottom