Pre GE2025 Taarifa za ndani zinadai Mbowe anashinikiza Lissu akatwe kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa

Pre GE2025 Taarifa za ndani zinadai Mbowe anashinikiza Lissu akatwe kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Taarifa za ndani kabisa zinasema mbowe anashinikiza Mhe. Tundu Lissu aenguliwe kwenye kinyanga'nyiro cha ugombea uenyekiti ili abaki peke yake.

John Mnyika asijaribu kushiriki dhambi hiyo itamtafuna na kizazi chake. Mbowe must go, amechoka na amechokwa!
 
Taarifa za ndani kabisa zinasema mbowe anashinikiza Mhe. Tundu Lissu aenguliwe kwenye kinyanga'nyiro cha ugombea uenyekiti ili abaki peke yake.

John Mnyika asijaribu kushiriki dhambi hiyo itamtafuna na kizazi chake. Mbowe must go, amechoka na amechokwa!
kwa mujibu wa kanuni, sheria na katiba ya chadema, kibaraka wa mabenyenye ya Magharibi ataenguliwa hatua za mwanzo kabisaa uchaguzi wa chadema taifa 🐒
 
Taarifa za ndani kabisa zinasema mbowe anashinikiza Mhe. Tundu Lissu aenguliwe kwenye kinyanga'nyiro cha ugombea uenyekiti ili abaki peke yake.

John Mnyika asijaribu kushiriki dhambi hiyo itamtafuna na kizazi chake. Mbowe must go, amechoka na amechokwa!
Huyu Mbowe hii sacos itamfia kifo cha mbwa ambae amegogwa barabarani.
 
Watu wanauwawa yeye anaendekeza RUSHWA.
 
Mbowe ashindwe kwa jina la demokrasia..
 
Walio kuwa wanafanya deal chafu kwa mgongo wa chama,wanaweweseka maana wanatambua akiingia Lissu,hakutakuwa na busara za mwenyekiti kuficha mauvo kwa mgongo wa Siri za chama.
 
Back
Top Bottom