Pre GE2025 Taarifa za ndani zinadai Mbowe anashinikiza Lissu akatwe kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa

Pre GE2025 Taarifa za ndani zinadai Mbowe anashinikiza Lissu akatwe kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bora wawe wavumilivu, muda huu wakimgusa Lissu watakosa uhalali wa kuaminiwa na jamii ya Watanganyika tulio na Imani juu ya Lissu.
Yamkini shida ya Mbowe sio kuaminiwa na Wananchi bali "mabilioni'. Moyo wa mtu kichaka!
 
Naiona chadema ikipasuka vipande viwili. Nusu itabaki chadema na nusu itasajili chama kipya. Mbowe hawezi kukubali boss wa chama awe mwingine afu yeye awe chini yake wakati chama ni mali ya baba mkwe.

Nadhani ni vizuri kina lisu wakati wanajipanga kugombe wawe wanatengeneza na mpango wa kusajili chama chao kwa sababu iko wazi mbowe hatakubali kumkabidhi lisu kiti kirahis eti ameshinda. Hiyo haiwezekani na inajionyesha wazi wazi kabisa.

Ni afadhali lisu na wenzake waanzishe chama kipya imara ambacho hakitakuwa mali ya mtu binafsi kama ilivo kwa chadema. Bali iwe ni mali ya umma yaani wanachama.
 
Gentleman,
chukua hiyo point itakusaidia sana na kukuondolea mstuko wakati muafaka 🐒
Hujui Dunia, chadema sio ccm , wakumkata lissu atakufa asema Bwana, alishindwa kukatwa na tume kipindi cha mwendazake iwe leo , ardhi ikikubali hakuna binadam yoyote awaye wa kupindua, chukua hii,
 
Pamoja na backup ya state bado hana amani?

Hizi sarakasi anazofanya ndio anazidi kujipotezea kura, atashindwa kwa kishindo hadi wakose maarifa ya kufanya.
Usicheche na Umma

Sauti ya Umma ni sauti ya Mungu
 
Hujui Dunia, chadema sio ccm , wakumkata lissu atakufa asema Bwana, alishindwa kukatwa na tume kipindi cha mwendazake iwe leo , ardhi ikikubali hakuna binadam yoyote awaye wa kupindua, chukua hii,
imani za kishirikina na ramli ni utumwa mbaya sana gentleman 🤣

kwahiyo kibaraka anaogopwa 🤣
 
Taarifa za ndani kabisa zinasema mbowe anashinikiza Mhe. Tundu Lissu aenguliwe kwenye kinyanga'nyiro cha ugombea uenyekiti ili abaki peke yake.

John Mnyika asijaribu kushiriki dhambi hiyo itamtafuna na kizazi chake. Mbowe must go, amechoka na amechokwa!
Hizo TV stations, mabalozi na viongozi wa dini watashuhudia nini siku ya tukio
 
Back
Top Bottom