Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo!Chama kimoja cha siasa (sina uhakika kama vingine navyo vinafanya hivi) kinaandikisha wanachama kwa kutumia kitambulisho cha NIDA.Je Chama hiki kitakuwa na uwezo wa kufikia taarifa binafsi za mwanachama?Nini faida na hasara zake?
Picha ulipigwaje😂😂😂 we baba weweCCM wana hila sana.
Mimi eti nadhituka wife ananiambia tukachukue kadi za CCM ziko tayari. Walimshawishi wife kaniandikisha bila ridhaa yangu
Kuna vile vya analogi picha wanabandika. Siku ya kufuata unakutana na kabinti choka mbaya na Infinix yake anakupiga picha ili waandae cha electronicPicha ulipigwaje😂😂😂 we baba wewe