Tipstipstor
JF-Expert Member
- Nov 29, 2021
- 1,528
- 3,352
Nikiwa kama muajiriwa wa serikali naomba kufahamu ni taasisi gani ya kifendha inatoa mikopo ya pesa isiyokuwa na RIBA kwa watumishi wa Serikali?
Mwenye kufahamu naomba anifahamishe jinsi gani naweza kunufaika na huo mkopo.
Mwenye kufahamu naomba anifahamishe jinsi gani naweza kunufaika na huo mkopo.