Taasisi hizi zinanihuzunisha

Taasisi hizi zinanihuzunisha

maishapopote

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2009
Posts
3,408
Reaction score
6,094
Kuna Taasisi zina Hali ambayo hairidhishi kwa kweli. Ziko hoi na zinaelekea pabaya. Sababu ndio nataka tuzijadili hapa, ila zinahuzunisha.

1. Taasisi ya ndoa - hii ndio ina hali mbaya sana
2. Taasisi ya familia - hii nayo inaelekea pabaya kabisa
3. Maadili, na adabu, desturi na mila
4. Weledi, uelewa, muono na kufikiri kwa kutumia akili tu na kujadiliana kwa hoja
5. Kujiamini - jinsia ya kiume kutokujiamini na ya kike kujiamini
6. Malezi na ushirikiano mtaani.

Hali ni Mbaya sana aisee!
 
Sidhani kwamba lengo la mkutano na agenda zake lilikuwa baya..shida ni wale waliochukulia kijuu juu madhumuni na maazimio ya ule mkutano..ki uhalisia haitakuja kutokea usawa kwa mwanamke na mwanaume na wala huwezi kuipractise hiyo hasa ukiwa ndani ya ndoa tena zetu hizi za kiafrika usawa huo utatokea katika kumuwezesha mwanamke katika masuala ya elimu afya,uchumi nk..binafsi ni mwanaharati wa haki za wanawake ninandoa ya zaidi ya miaka 10 nabehave kama mwanamke wa kiafrica ndani ya ndoa na tunaheshimiana kila mmoja anajua wajibu wake kwa mwenzie bila kutumia nguvu ama ubabe.
 
Sidhani kwamba lengo la mkutano na agenda zake lilikuwa baya..shida ni wale waliochukulia kijuu juu madhumuni na maazimio ya ule mkutano..ki uhalisia haitakuja kutokea usawa kwa mwanamke na mwanaume na wala huwezi kuipractise hiyo hasa ukiwa ndani ya ndoa tena zetu hizi za kiafrika usawa huo utatokea katika kumuwezesha mwanamke katika masuala ya elimu afya,uchumi nk..binafsi ni mwanaharati wa haki za wanawake ninandoa ya zaidi ya miaka 10 nabehave kama mwanamke wa kiafrica ndani ya ndoa na tunaheshimiana kila mmoja anajua wajibu wake kwa mwenzie bila kutumia nguvu ama ubabe.
Nilikua naangalia video moja jamaa akasema familia nyingi za kiafrica zinashindwa kuaccumulate na kupass wealth from gen to gen kwa reason moja kati ya nyingi...
Nayo ni competition
Aisee sa hv ndani ya familia kuna ushindani kila kitu...yaani kila kitu!
 
Sidhani kwamba lengo la mkutano na agenda zake lilikuwa baya..shida ni wale waliochukulia kijuu juu madhumuni na maazimio ya ule mkutano..ki uhalisia haitakuja kutokea usawa kwa mwanamke na mwanaume na wala huwezi kuipractise hiyo hasa ukiwa ndani ya ndoa tena zetu hizi za kiafrika usawa huo utatokea katika kumuwezesha mwanamke katika masuala ya elimu afya,uchumi nk..binafsi ni mwanaharati wa haki za wanawake ninandoa ya zaidi ya miaka 10 nabehave kama mwanamke wa kiafrica ndani ya ndoa na tunaheshimiana kila mmoja anajua wajibu wake kwa mwenzie bila kutumia nguvu ama ubabe.
Naomba nikuulize..Haki za wanawake ni zipi?
Si ndio Hizo za Beijing..Za Kina Getrude Mongella?
 
Naomba nikuulize..Haki za wanawake ni zipi?
Si ndio Hizo za Beijing..Za Kina Getrude Mongella?
Mojawapo ya malengo ni kumuwezesha mwanamke kutoka katika mila kandamizi aweze kuacess Elimu,uchumi apate huduma bora za kiafya ashiriki katak siasa pia nk kwa usawa kama mwanaume ..kwa uchachee ni hivo(hivo vitu vinachambuliwa kwa mapana yake)..kitu ambacho mwanamke hakuwa anakipata sababu za mfumo dume wa jamii uliojiwekea kabla ya hiyo conference..na hawakuambiwa washindane na waume zao mbona huyo Getrude anandoa yake mpaka leo pamoja na kwamba ni feminist..haki sawa ulaya huko inafanya kazi vizuri na kama huna ndoa ipractise tu dai usawa uwezavyo ila kwa ndoa za kiafrika hizi mh utatoka meno ya sebleni maana ataona kama mnacompete japo kila mmoja na hulka yake na maisha yake
 
Mojawapo ya malengo ni kumuwezesha mwanamke kutoka katika mila kandamizi aweze kuacess Elimu,uchumi apate huduma bora za kiafya ashiriki katak siasa pia nk kwa usawa kama mwanaume ..kwa uchachee ni hivo(hivo vitu vinachambuliwa kwa mapana yake)..kitu ambacho mwanamke hakuwa anakipata sababu za mfumo dume wa jamii uliojiwekea kabla ya hiyo conference..na hawakuambiwa washindane na waume zao mbona huyo Getrude anandoa yake mpaka leo pamoja na kwamba ni feminist..haki sawa ulaya huko inafanya kazi vizuri na kama huna ndoa ipractise tu dai usawa uwezavyo ila kwa ndoa za kiafrika hizi mh utatoka meno ya sebleni maana ataona kama mnacompete japo kila mmoja na hulka yake na maisha yake
Lkn na ww ukiangangalia kwa mila desturi na utaratibu wa kiafrika unaona zinapatch? Ni sawa? Pia je wewe ungekua mwanaume wa kiafrica ungekubaliana na mitizamo na vitendo vya wadada wa kiafrica?
 
Lkn na ww ukiangangalia kwa mila desturi na utaratibu wa kiafrika unaona zinapatch? Ni sawa? Pia je wewe ungekua mwanaume wa kiafrica ungekubaliana na mitizamo na vitendo vya wadada wa kiafrica?
Ukitaka kuheshimiwa timiza wajibu kama ww ni mwanaume na huwajibiki kama mume kwa mkeo na familia yako usitaraji heshima ..na usiombe mwanamke akatambua haki zake za msingi anazotakiwa kuzipata na we mwanaume umemkandamiza kwa mila potofu utaona ndoa chungu na ukute mwanamke mwenyew kanywa maji ya bendera ya beijing anaufenism umemkolea utaimba kwaya zote
 
Back
Top Bottom