Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Kuna mtu anauliza taasisi ipi inatoa mikopo kwa wastaafu na terms zikoje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inashangaza! We ulikuwa wapi wakati wenzio wanafanya biashara kipindi wapo kazini? Kwahiyo kiinua mgongo kimeisha? Au kama kawaida yenu waalimu kupenda kukopa? Au mademu wamekupigq na kitu kizito? Kubwa jinga!Kuna mtu anauliza taasisi ipi inatoa mikopo kwa wastaafu na terms zikoje.
Akili yako unaijua mwenyewe na ujimga wako kama uliona haifai si ungekaa kimya badala ya kujidhalilisha akili yako.Inashangaza! We ulikuwa wapi wakati wenzio wanafanya biashara kipindi wapo kazini? Kwahiyo kiinua mgongo kimeisha? Au kama kawaida yenu waalimu kupenda kukopa? Au mademu wamekupigq na kitu kizito? Kubwa jinga!
Sawa mwalimu! Vp umepata feedback?Akili yako unaijua mwenyewe na ujimga wako kama uliona haifai si ungekaa kimya badala ya kujidhalilisha akili yako.
Mkuu VP ulipata nicheki tuyajenge ZaidKuna mtu anauliza taasisi ipi inatoa mikopo kwa wastaafu na terms zikoje.